Dodoma FM
Dodoma FM
29 October 2025, 10:49 am
Mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema, amesema hali ya usalama katika wilaya yake imeimarika katika vituo vyote vya kupigia kura na kuwataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura Ili wawachague viongozi wanaowataka. Na Mzidalfa Zaid Mwema amesema hayo wilayani Kiteto…
27 October 2025, 10:20 am
Wilaya ya babati imeimarisha ulinzi katika kata zote za mkoa wa Manyara na hawatomfumbia macho mtu yeyote atakayeleta fujo siku ya uchaguzi” Mh Emmanuela Kaganda Na Mzidalfa Zaid Wazee wa kimila, Machifu, Malaigwanani, na viongozi wa dini wa kata ya…
22 October 2025, 3:09 pm
Zikiwa zimebaki siku chache Tanzania kufanya uchaguzi mkuu wa kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani, baadhi ya wanawake mkoani Manyara wameonekana kuwa mstari wa mbele kushiriki uchaguzi mkuu na kuwachagua viongozi wanaowataka. Na Mzidalfa Zaid, Hawa Rashid Fm Manyara imekuandalia makala…
21 October 2025, 5:30 pm
Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Babati mjini Simon Mumbee ametoa elimu ya upigaji kura kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october 29 mwaka huu, ambapo amewataka wananchi kufika kwenye vituo vya kupigia kura kuanzia saa moja kamili asubuhi hadi saa…
21 October 2025, 4:52 pm
Mkuu wa mkoa wa manyara, Queen Sendiga, amewaonya wananchi mkoani Manyara kuepuka vitendo vyovyote vinayoashiria vurugu, uchochezi au uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 29 mwaka huu. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na…
20 October 2025, 4:35 pm
Mkuu wa wilaya ya babati Emmanuela kaganda amewataka wananchi kujitokeza October 29 kupiga kura na kumchagua Kiongozi wanaemtaka atakaeleta maendeleo amani na utulivu. Na Mzidalfa Zaid Kaganda ametoa kauli hiyo Leo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, amesema…
14 October 2025, 5:07 pm
Na Isack Dickson Katika kukabiliana na takwimu za vifo zaidi ya milioni 1.3 vinavyotokana na ajali za barabarani duniani kila mwaka, Jeshi la Polisi nchini, kupitia kitengo cha usalama barabarani, limesisitiza kwa madereva wote kuhakikisha vyombo vyao vinakaguliwa kabla ya…
14 October 2025, 10:02 am
Wakati sahihi kwa viongozi wa dini kutoa ujumbe unaowaunganisha Watanzania, badala ya maneno yanayoweza kuchochea chuki au migawanyiko. Na Ayoub Sanga Waandishi wa habari na viongozi wa dini Mkoani Iringa wametakiwa kutumia nafasi zao kuhimiza amani na umoja wa kitaifa,…
13 October 2025, 1:05 pm
Karibu msikilizaji katika makala maalum inayozungumzia udhibiti wa rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ambapo Taaisisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU inaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuepuka rushwa kabla,wakati na baada ya uchaguzi. Karibu usikilize makala
27 August 2025, 4:45 pm
Uchumi wa wananchi wa Nyawilimilwa unategemea kilimo hivyo mikakati madhubuti inatakiwa kuwawezesha wananchi. Na Mrisho Sadick: Wakulima wa mazao ya mpunga, mihogo na mahindi katika Kijiji cha Nyawilimilwa wilaya ya Geita Mkoani Geita wamedai kukabiliwa na changamoto za kupunjwa na…