Dodoma FM
Dodoma FM
11 April 2024, 4:59 pm
Vitendo vya uhujumu wa miundombinu ya umeme vinakwamisha jitihada za Serikali za kutoa huduma ya uhakika ya umeme kwa wananchi. Na Fred Cheti.Watu watatu wanashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya shirika la umeme…
30 August 2023, 7:54 am
Udhalilishaji ni vitendo ambavyo vinapigiwa kelele siku hadi siku katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo ni vyema kuhakikisha tunashirikiana kwa pamoja kutokomeza suala hili ambalo limekuwa likirejesha nyuma maendeleo. Na Mwiaba Kombo Afisa mkuu wa mawasiliano na uchochemuzi kutoka Chama cha…
10 August 2023, 2:41 pm
Kutokana nakuongezeka vitendo vya udhalilishaji SOS yaamua kutoa mafunzo hayo Na Ali Khamis Jamii imetakiwa kuyaendeleza mafunzo wanayotolewa na wadau mbalimbali hasa katika kudhibiti masuala ya udhalilishaji ili kuona viashiria na vitendo hivyo vinaondoka nchini. Mratibu wa Program ya malezi…
22 February 2023, 11:26 am
NA Amina Masoud WAZAZI na walezi kisiwani Pemba wamezishukuru taasisi za kiharakati zinazo ongozwa na wanawake kwa kuwapatia elimu ya kutoa ushahidi Mahakamani ili kuepuka kumaliza kesi za udhalilishaji katika ngazi za familia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wazazi…