Dodoma FM

malaria

31 January 2024, 10:08 pm

Watoto wadaiwa kutumika biashara ya dawa za kulevya

Watoto wamekuwa wakitumiwa kusafirisha dawa hizo na kuwasababishia athari mbalimbali. Na Thadei Tesha.Kundi la watoto limetajwa kutumika kwa sehemu kubwa katika biashara haramu ya usafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Hayo yamesemwa na kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na…

18 August 2023, 10:00

Vijana Kigoma watakiwa kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya

Na, Tryphone Odace Shirika la Maendeleo ya Vijana Mkoani Kigoma,  KIVIDEA limewataka vijana kujiepusha na makundi yanayoweza kusababisha kutofikia ndoto zao kwani makundi hayo yanaweza kusababisha kutumbukia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya. Hayo yameelezwa na Afisa Program wa KIVIDEA,…

28 June 2023, 2:30 pm

Jamii inaamini nini kuhusu waraibu wa dawa za kulevya?

Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…

30 November 2022, 18:07 pm

Ufafanuzi juu ya adhabu za kujihusisha na Dawa za kulevya

Na Musa Mtepa, Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya imejipanga kuweka adhabu kali kwa watu wote wanaojihusisha  uuzaji na madawa ya kulevya ikiwemo  Walimaji na watumiaji wa Bangi nchini. Wakiwa kwenye Wiki ya Maadhimisho ya siku ya…