Dodoma FM
Dodoma FM
31 January 2024, 10:08 pm
Watoto wamekuwa wakitumiwa kusafirisha dawa hizo na kuwasababishia athari mbalimbali. Na Thadei Tesha.Kundi la watoto limetajwa kutumika kwa sehemu kubwa katika biashara haramu ya usafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Hayo yamesemwa na kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na…
18 August 2023, 10:00
Na, Tryphone Odace Shirika la Maendeleo ya Vijana Mkoani Kigoma, KIVIDEA limewataka vijana kujiepusha na makundi yanayoweza kusababisha kutofikia ndoto zao kwani makundi hayo yanaweza kusababisha kutumbukia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya. Hayo yameelezwa na Afisa Program wa KIVIDEA,…
28 June 2023, 2:30 pm
Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…
11 January 2023, 2:35 pm
Na; Mariam Matundu. Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya kwa mwaka 2021 iliyotolewa Juni 2022 na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imesema ingawa hakuna takwimu halisi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini waraibu…
30 November 2022, 18:07 pm
Na Musa Mtepa, Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya imejipanga kuweka adhabu kali kwa watu wote wanaojihusisha uuzaji na madawa ya kulevya ikiwemo Walimaji na watumiaji wa Bangi nchini. Wakiwa kwenye Wiki ya Maadhimisho ya siku ya…
4 November 2021, 12:19 pm
Na;Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuzingatia njia za kujikinga na ugonjwa wa malaria katika kipindi hiki cha masika. Akizungumza na Taswira ya habari Dr. Chesco Muhema kutoka hospitali ya mkoa wa Dodoma amesema kuwa wakati mvua ni hatari kwa…