Dodoma FM
Dodoma FM
8 April 2025, 11:27 am
Mkuu wa shule ya Sekondari Keni Renatus Lyimo( picha na Salma Sephu) Katika mahafali ya kwanza ya kidato cha sita ya shule ya sekondari Keni iliyopo wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wazazi na walezi wamekumbushwa kuwarejesha shule wanafunzi wote walioacha…
28 March 2025, 5:19 pm
Mary Julius. Katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya nane katika sekta ya elimu, Halotel wamekabidhi madawati kwa skuli ya Kibweni.Akizungumza katika hafla ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika skuli ya Kibweni, iliyopo Mtoni, wilaya ya Magharib A, Naibu…
27 March 2025, 8:36 pm
Kutokana na kuwepo kwa ajali nyingi zinazotokana na waendesha bodaboda, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Jimbo la Hai wamekutana na kuzungumza na waendesha bodaboda hao kwa lengo la kuhakikisha wanabaki salama. Na Elizabeth Mafie Maafisa wasafirishaji…
25 March 2025, 10:31 am
Na Joel Headman; Arusha Tanzania imepunguza maambukizi mapya ya ugonjwa wa Kifua Kikuu kwa asilimia 40 hatua inayoiweka nchi katika mwelekeo sahihi wa kufanikisha lengo la kutokomeza ugonjwa huo ifikapo mwaka 2030. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu…
22 March 2025, 5:07 pm
Na Mary Julius. Mwakilishi wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahmada Salum ameahidi kutoa chakula kwa skuli zote zilizopo katika jimbo hilo kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha sita wanakuwa kambini kwa maandalizi ya mitihani. Mwakilishi Ahmada ameyasema hayo katika…
21 March 2025, 5:23 pm
Wilaya ya Kati. Walimu wanatakiwa kufanya tathmin mara kwa mara ili kufahamu wapi kuna Changamoto ili kuweza kuzitatua Changamoto hizo mapema kabla ya kufika muda wa kufanya mitihani ya Taifa. Hayo ameyasema Afisa Taaluma Sekondari Wilaya ya Kati HAMDU ZUBEIR…
3 March 2025, 4:20 pm
Na Mary Julius. Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Tunu Juma Kondo, amewataka watu wenye ulemavu kufuata taratibu na vigezo vya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri ili waweze kufaidika. Naibu Katibu Mkuu UWT Tunu Ameyasema…
19 February 2025, 3:32 pm
Kwa mujibu wa taarifa ,Mtuhumiwa huyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi huku Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma ikiendelea na kampeni ya usitishaji wa huduma ya maji kwa wateja ambao ni wadaiwa sugu. Mamlaka ya Majisafi na Usafi…
29 January 2025, 2:45 pm
Changamoto hiyo inawaathiri baadhi ya wananchi wa vitongoji hivyo hali inayopelekea hitaji la maji kuwa kubwa zaidi . Na Victor Chigwada.Wananchi wa kitongoji cha Nzelenze Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuongeza visima vya maji safi na salama…
23 January 2025, 6:06 pm
Wakieleza namna ambavyo kukosekana kwa maji safi na salama kunawaathiri wananchi hao, wameiomba serikali kutatua adha hiyo. Na Victor Chigwada.Wananchi wa vitongoji vya Chidobwe, Kaunda na Liwangama Kolimba wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na…