Dodoma FM
Dodoma FM
10 December 2025, 10:50 pm
Na Mary Julius. Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) upande wa Zanzibar Saleh Haji Pandu amesema serikali imekuwa ikipoteza mapato kutokana na ukosefu wa uelewa katika uuzaji wa rasilimali, hususan kwa wale wanaohusika moja kwa moja na mchakato…
10 December 2025, 9:06 pm
Na Mary Julius. Katika harakati za kuimarisha mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI Zanzibar, Afisa Ufuatiliaji na Tathmini wa Tume ya UKIMWI Zanzibar, Khamis Haroun Hamad, ameibuka na kampeni kabambe inayolenga moja kwa moja wanafunzi wa vyuo vikuu,…
1 December 2025, 1:26 pm
Jamii yaaswa kuachana na mitazamo hasi dhidi ya watoto wenye mahitaji maalumu. Na Elizabeth Mafie Hai -Kilimanjaro Jamii imetakiwa kuondoa mitazamo hasi ya kuwaficha watoto wenye mahitaji maalumu, kwani watoto hao wana uwezo wa kujitegemea na kusimama wenyewe iwapo watapata…
25 October 2025, 3:16 pm
Makarani waongozaji wapiga Kura katika Jimbo la Maswa Mashariki na Jimbo la Maswa Magharibi wameaswa kuzingatia Kanuni, Miongozo na Sheria za Uchaguzi zilizotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ili kuepuka migogoro isiyokuwa ya lazima Nasaha hizo zimetolewa na …
14 October 2025, 12:13 pm
Hatua ya kufungwa kwa transifoma mpya katika kijiji cha Chanhumba italeta faraja kwa wananchi waliokuwa wakikabiliwa na upungufu wa maji. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Chanhumba, Kata ya Handali, Wilaya ya Chamwino, wameanza kupata matumaini juu ya utatuzi…
October 7, 2025, 7:48 pm
Na Oscar Mwakipesile Katika semina iliyoandaliwa na Butiama FM siku ya pili tangu kuanza kwa semina hiyo wamefundishwa namna bora ya kuandika habari zinazoweza kuwekwa katika mtandao wa portal ili kuwawezesha kuwa na uelewa juu ya umuhimu wa kuandika habari…
5 October 2025, 8:27 am
Na Ivan Mapunda. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu ili kuhakikisha taifa linafikia malengo ya Dira ya Maendeleo ya 2050. Akizungumza katika mahafali ya tano ya Turkish Maarif Kindergarten yaliyofanyika Mombasa,…
30 September 2025, 12:53 pm
Changamoto kubwa ni kukosekana kwa umeme wa kutosha wa kusukuma mashine za visima vilivyopo. Na Victor Chigwada.Wananchi wa kijiji cha Iwondo, Kata ya Dabalo, Wilaya ya Chamwino wameiomba Mamlaka ya Usimamizi wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA)…
28 September 2025, 9:01 am
Katika kutekeleza msingi wa tano wa vyama vya ushirika wa Elimu ,mafunzo na taarifa Hai Teacher’s Saccos wafanya mkutano na kukusanya dondoo zitakazotumika katika mkutano mkuu wa mwaka 2025. Na Elizabeth Noel Hai -Kilimanjaro Chama cha Akiba na Mikopo cha…
16 September 2025, 6:02 pm
Na wilaya ya Kati. Mkuu wa wilaya ya kati Rajab Ali Rajab, amewataka walimu katika Wilaya ya hiyo kuanzisha vyama vya Skauti katika skuli zao ili kuwajenga wanafunzi kuwa wazalendo, wenye maadili na kuwasaidia kuwa raia wema wa baadaye. Akizungumza…