Dodoma FM

Maabara

4 December 2025, 5:28 pm

Kanoni: Madiwani zingatieni maadili ya kazi yenu

Madiwani wa manispaa ya Mpanda. Picha na Samwel Mbugi “Maadili ndio msingi wa maendeleo yetu katika manispaa yetu ya Mpanda” Na Samwel Mbugi Baraza la madiwani la manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limempitisha diwani wa kata ya Magamba Charles Philipo…

25 November 2025, 7:01 pm

DC Jamila awaasa wananchi kudumisha amani

“Sisi tunathamini mchango mnapokuwa na jambo lolote mtufikie” Na John Benjamin Wananchi wa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wameaswa kudumisha amani na mshikamano utakaokuwa nyenzo muhimu wa kufanya shughuli za maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa masirahi taifa kwa ujumla.…

15 October 2025, 16:52

Waajiri Mbeya watakiwa kusajili wafanyakazi NSSF

Wakuu wa taasisi binafsi na serikali wametakiwa kuwanufaisha wasajili wao na Mfuko Hifadhi ya Jamii wa Taifa (NSSF). Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Beno Malisa amewataka waajiri kutimiza takwa la kisheria la kuwasajili wafanyakazi wao katika Mfuko…

11 September 2025, 7:14 pm

DC Kyobya ahamasisha amani kuelekea uchaguzi

‘Tuendelee kuhamasishana kushiriki kampeni za uchaguzi bila kusababisha taharuki wala kuvuruga amani’ Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, ameendelea kusisitiza umuhimu wa kudumisha amani na utulivu katika kipindi hiki cha kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa…

30 August 2025, 1:10 pm

Bodaboda Katavi walia na wauguzi hospitalini

“Hatuna utaratibu wa kuwakata wagonjwa wetu miguu” Na Anna Mhina Baadhi ya madereva pikipiki maarufu kama bodaboda wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuingilia kati suala la kupatiwa haki ya huduma za kiafya pindi wanapopata ajali. Wakizungumza na…

24 August 2025, 7:00 pm

TAMESO (T) yabaini elimu duni kwa waganga wa tiba asili

Chama cha waganga wa tiba asili nchini TAMESO (T) kimebaini changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na ushiriki mdogo wa waganga kwenye vikao vya kuwapatia elimu Na Mwandishi wetu Chama cha waganga wa tiba asili nchini TAMESO (T) ambacho kimeungana na…

August 16, 2025, 12:59 pm

Kodi zahatarisha biashara mpaka wa Tunduma

Wafanyabiashara Tunduma waomba serikali kuboresha mfumo wa kodi mpakani ili kurahisisha biashara na kuongeza ushindani. Na Emmanuel Mkondya Wafanyabishara wa Tunduma wameiomba kuweka mifumo rafiki ya kodi katika  mpaka wa Tanzania na Zambia ili waweze kunufaika na bishara ya mpakani…

24 July 2025, 4:18 pm

Hospitali ya Mpwapwa yaboresha huduma za maabara

kufuatia ithibati  hiyo watatoa Huduma  bora Kwa wakazi wa mpwapwa na viunga vyake. Na Steven Noel. Uongozi wa hospitali ya wilaya ya Mpwapwa imeboresha Huduma za kimaabara  kufuatia kupatia kupatiwa ithibati  na wizara  ya Afya  na kuanza kutoa Huduma ambazo…

16 July 2025, 10:45 am

Pangani wakiri kuchangia kupungua kwa kiwango cha mvua

“Kuna watu wanasema miti na binadamu inategemeana sasa tukiikata hii miti tutaishije?” Na Catherine Sekibaha Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga wametakiwa kutunza mazingira ili kunusuru hali ya uharibifu iliyopo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho. Wakizungumza wakati wa…