korosho
10 January 2024, 12:04 am
Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti
Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…
15 December 2023, 7:40 am
Programu ya makuzi, malezi na maendeleo ya awali ya mtoto yatakiwa kusimamiwa bi…
Mafanikio ya utekelezaji wa programu hiyo kwa takribani miaka 2 tangu uzinduliwe mwaka 2021 hayakuletwa na Serikali pekee. Na Mariam Kasawa.Watekelezaji wa programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi,Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto wametakiwa kwenda kusimamia ipasavyo mipango waliyojiwekea…
19 November 2023, 10:53 am
Asilimia 11 ya akina mama nchini hujifungua kabla ya wakati kila mwaka
Siku ya watoto waliozaliwa kabla ya wakati ilianzishwa kwa nia ya kuelimisha kuhusu kujifungua watoto ambao bado hawajakomaa. Na Mindi Joseph. Maadhimisho ya siku ya watoto wanozaliwa kabla ya wakati yalifanyika Nov 17 katika hospital ya benjamini mkapa yakiwa yamebeba…
13 November 2023, 4:31 pm
Ubakaji, ulawiti kwa watoto wakithiri Dodoma
Ripoti hiyo ni kwa mujibu wa Kituo cha One stop center kwa mwezi Septemba 2023 ambapo takwimu zimebainisha kuwa mkoa wa Dodoma matukio ya ukatili wa kijinsia kwa watoto 130 kwa matukio ya ubakaji huku watoto 69 wakilawitiwa. Na Seleman…
15 September 2023, 7:12 am
Zaidi ya wananchi 1500 wafikiwa na elimu ya malezi
Program jumuishi ya malezi, makunzi na maendeleo ya awali ya mtoto ilizinduliwa mwaka 2021 na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ambapo wadau mbalimbali wanatekeleza program hiyo. Na Mariam Matundu. Zaidi ya wananchi elfu moja na…
5 September 2023, 3:35 pm
Watoto wasaidiwe kuvuka barabara ili kuepusha ajali
Kundi la watoto ni miongoni mwa makundi yanayohitaji misaada hususani pale wanapokuwa katika maeneo ya barabara ili kuepukana na ajali zinazoweza kutokea. Na Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kushiriki katika suala la kuwasadia watoto pale wanapoelekea shuleni na maeneo mengine ya…
21 August 2023, 6:15 pm
Jinsi ajira kwa watoto zinavyoathiri maisha ya mtoto
Alfred Bulahya amezungumza na binti ambaye aliajiriwa katika umri mdogo lakini mwajiri wake aliamua kumuendeleza kielimu. Na Alfred Bulahya. Ajira kwa watoto inarejelea unyonyaji wa watoto kupitia aina yoyote ya kazi ambayo inawanyima utoto wao, inaingilia uwezo wao wa kuhudhuria shule ya kawaida, na inawadhuru kiakili,…
6 July 2023, 5:22 pm
Serikali kupitia JKT kuwafundisha stadi za kazi watoto waishio katika makao ya w…
Jeshi la Kujenga Taifa JKT limekabidhi msaada wa mchele, sukari, mafuta ya kupikia, chumvi na unga wa ugali unaozalishwa na vijana walioko kwenye kambi mbalimbali za JKT nchini. Na Mariam Matundu. Serikali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) imeandaa mkakati…
16 June 2023, 1:28 pm
Siku ya mtoto Afrika huadhimishwa kuangalia maslahi mapana ya watoto
Siku ya mtoto wa Afrika inaadhimishwa kwa lengo la kuangalia maslahi mapana ya watoto wa Afrika na huwapasa watu wazima kujitolea kwa hali na mali ili kushughulikia changamoto zinazokabili watoto katika bara zima la Afrika pamoja na kulindwa dhidi ya…
5 May 2022, 2:11 pm
Mkoa wa Dodoma kuendelea kusaidia watoto wanao ishi katika mazingira magumu
Na;Mindi Joseph. Mkoa wa Dodoma umesema utaendelea kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira Magumu na hatarisha kwa kuhakikisha wanapata mahitaji muhimu. Taswira ya habari imezungumza na Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Dodoma Bi Honoratha Rwegasira amesema uwepo wa Baraza la…