Dodoma FM
korosho
3 August 2021, 1:55 pm
Wakulima wa korosho Masinyeti walalamikia upuliziaji dawa kuwa hafifu
Na; Selemani Kodima. Licha ya Serikali ya wilaya ya Kongwa kutoa kipaumbele katika kilimo cha korosho lakini inaelezwa kuwa upuliziaji wa dawa ni changamoto kwa baadhi ya wakulima katika kijiji cha Masinyeti hali inayosababisha mikorosho mingi kuduma. Akizungumza na Taswira…