Dodoma FM
Dodoma FM
5 October 2025, 6:40 pm
Baadhi ya wachangiaji wa mada.Picha na Anna Mhina “Tunashindwa kuhudhuria kwasababu hawatekelezi ahadi zao” Na Anna Mhina na Roda Elias Baadhi ya wanawake wa mtaa wa Mpadeko uliopo kata ya Makanyio wilayani Mpanda mkoani Katavi wameiomba mamlaka husika kutoa elimu…
3 October 2025, 3:11 pm
Mwenyekiti wa CHAUMA Katavi akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Mpanda mjini. Picha na Betord Chove “Tunakwenda kuwatafutia mahali pa kufanya biashara zenu” Na Betord Chove Mgombea wa ubunge kupitia chama cha ukombozi wa umma {CHAUMA} Massanja Musa Katambi amesema…
1 October 2025, 16:03
Karibu kusikiliza Makala ya wanawake na uchaguzi ambapo leo tunaangazia suala la vitendo vya udhalilishaji wa wanawake wanasiasa hasa katika kipinidi cha kampeni kueleke uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
September 29, 2025, 5:50 pm
Wamiliki wa nyumba za kulala wageni wilayani Muleba wameaswa kutekeleza wajibu wao wa ulipaji kodi, pamoja na kutumia mashine za kielektroniki ili kulipa kodi sahihi kwa mamlaka ya mapato nchini TRA. Na Anold Deogratias Mamlaka ya Mapato Tanzania – TRA…
23 September 2025, 6:33 pm
Wakulima Ifakara wamefundishwa umuhimu wa kupima udongo na kutumia mbolea kulingana na mahitaji halisi ya udongo. Na; Isidory Mtunda Wakulima katika halmashauri ya mji wa Ifakara, wilaya ya Kilombero, wamepatiwa mafunzo juu ya kanuni bora za kilimo, hususan umuhimu wa…
23 September 2025, 09:13 am
TANESCO kuongeza uzalishaji wa umeme kwa MW 20 katika kituo cha Hiari, Mtwara, kukabiliana na upungufu wa umeme Lindi na Mtwara. Mashine mpya itakamilika ndani ya mwezi mmoja, ikiongeza uzalishaji hadi MW 70 Na Musa Mtepa Mtwara, Tanzania – Shirika…
19 September 2025, 9:39 pm
Na Loveness Daniel. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Ruangwa limeanza rasmi utekelezaji wa mradi mkubwa wa laini ya umeme wa msongo wa kilovoti 33 (KV 33), kutoka mjini Ruangwa kuelekea kijiji cha Namungo kupitia Chingumbwa – eneo muhimu…
19 September 2025, 12:38 pm
Baadhi ya washiriki wakiwa kwenye mjadala, aliyesimama ni mtangazaji wa Mpanda radio FM Betord Chove. Picha na Benny Gadau “Ili niweze kupiga kura cha kwanza niwe na kitambulisho” Na Betord Chove na Benny Gadau Mpanda radio FM kwa kushirikiana taasisi…
September 17, 2025, 11:29 am
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Perresi Magiri amewaasa wananchi wa Nyasa kuwa na tabia ya kuzichungulia fursa mbalimbali kwa kutazama changamoto zilizopo katika jamii. Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Perresi Magiri amewaasa wananchi wa Nyasa kuwa na tabia…
16 September 2025, 3:56 pm
MNEC Gilbert Sampa kulia akimnadi mgombea ubunge jimbo la Nsimbo Anna Lupembe. Picha na Samwel Mbugi “Tufanye kampeni za kistaarabu hakuna sababu za kutumia kejeli wala matusi” Na Samwel Mbugi Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kimezindua kampeni jimbo…