Dodoma FM

Kilimo

15 February 2022, 4:27 pm

Wakulima washauriwa kulima mazao ya muda mfupi

Na; Neema Shirima. Kutokana na kuwa na mvua za wastani katika mwaka huu wananchi wa mkoa wa Dodoma wameshauriwa kulima mazao ya muda mfupi na yanayostahimili mvua za wastani Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa mtaa wa Pinda kata ya Zuzu…

2 August 2021, 1:12 pm

Wachambuzi wa sera watarajia kukutana na wadau wa kilimo

Na; Mariam Matundu. Kikundi cha wachambuzi wa sera na Wadau wa kilimo wanatarajia kukutana katika kongamano la saba la mwaka kujadili masuala mbalimbali yenye lengo la kuongeza tija katika sekta hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa kikundi cha…