Kilimo
22 April 2022, 1:32 pm
Ongezeko la bajeti laleta tumaini katika kuboresha kilimo cha umwagiliaji
Na;Mindi Joseph. Serikali imesema ina matarajio makubwa ya utekelezaji wa Miradi ya Kilimo cha Umwagiliaji kutokana na ongezeko kubwa la Bajeti ya fedha za miradi ya Maendeleo kwa Mwaka wa fedha 2022 – 2023. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa…
15 February 2022, 4:27 pm
Wakulima washauriwa kulima mazao ya muda mfupi
Na; Neema Shirima. Kutokana na kuwa na mvua za wastani katika mwaka huu wananchi wa mkoa wa Dodoma wameshauriwa kulima mazao ya muda mfupi na yanayostahimili mvua za wastani Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa mtaa wa Pinda kata ya Zuzu…
9 February 2022, 2:58 pm
Wakulima watakiwa kuendelea na shughuli za kilimo bila kuhofia mvua
Na; Benard Filbert. Licha ya mvua kuwa chini ya wastani msimu huu imeelezwa bado kuna uwezekano mkubwa wa kupata mazao yakutosha kwa wakulima wa mazao mbalimbali kanda ya kati. Hayo yanajiri kufuatia baadhi ya wakulima kuwa na wasiwasi wa kupata…
14 December 2021, 1:50 pm
Teknolojia ya kisasa kilimo cha umwagiliaji yawanufaisha wakulima
Na; Mindi Joseph. Wakulima katika skimu za kilimo cha umwagiliaji wametaja kunufaika na teknolojia ya kisasa ambayo ni mbadala wa matumizi ya rasimali maji. Baadhi ya wakulima kutoka Kiwere na Mafuruto, wamesema wamenufaika na teknolojia hiyo maarufu kwa jina la…
8 December 2021, 1:07 pm
Tume ya Taifa ya umwagiliaji imesema itaendelea kujenga miundonu pamoja na mabwa…
Na;Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imesema itaendelea kukabiliana na maadiliko ya tabianchi kwa kutumia teknolojia zinazotumia maji kidogo na kujenga miundombinu pamoja na mabwawa ya kutunza maji. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume hiyo Bw. Daudi Kaali amesema mabadiliko…
2 November 2021, 11:28 am
Wakulima wa kanda ya kati washauriwa kuandaa mbegu zinazo stahimili ukame
Na; Benard Filbert. Kufuatia taarifa za mamlaka ya hali ya hewa msimu huu kuwa na mvua chini ya wastani kanda ya kati wakulima wameshauriwa kuandaa mbegu zinazoendana na hali hiyo. Hayo yameelezwa na mkuu wa idara ya kilimo wilaya ya…
21 October 2021, 1:49 pm
Serikali ya Tanzania yaendelea kuimarisha ushirikiano na nchi jirani ikiwemo ka…
Na; Selemani Kodima. Serikali ya Tanzania imeendelea na juhudi zake za kuimarisha ushirikiano na nchi jirani ikiwemo Burundi ambapo pamoja na mambo mengine imekusudia kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya kilimo. Kufuatia ushirikiano huo Waziri wa kilimo Mhe…
1 October 2021, 12:20 pm
Mfumo dume unavyo waathiri wanawake katika uzalishaji wa mazao wilayani Bahi
Mwandishi Mhindi Joseph. Mfumo Dume ni matokeo ya dhana za kurithi, imani za kidini, mila na tamaduni ambazo zinamkandamiza mwanamke katika uzalishaji wa mazao. Mchango wa wanawake katika uhakika wa upatikanaji wa chakula na lishe ni mkubwa kwani asilimia 72…
23 August 2021, 1:26 pm
Ushirikishwaji wa wanawake katika uzalishaji mazao waongezeka kwa asilimia 70 Do…
Na;Mindi Joseph . Ushirikishwaji wa wanawake katika uzalishaji wa mazao kwenye sekta ya kilimo umetajwa kuongezeka kutoka asilimia 10 hadi 70 Mkoani Dodoma. Akizungumza na taswira ya habari afisa kilimo kata ya kigwe wilayani Bahi Bw,Dominica Sabangi Afisa kilimo halmashauri…
2 August 2021, 1:12 pm
Wachambuzi wa sera watarajia kukutana na wadau wa kilimo
Na; Mariam Matundu. Kikundi cha wachambuzi wa sera na Wadau wa kilimo wanatarajia kukutana katika kongamano la saba la mwaka kujadili masuala mbalimbali yenye lengo la kuongeza tija katika sekta hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa kikundi cha…