Fursa za ajira
17 May 2023, 3:54 pm
Taasisi za vijana zakutana kujadili jinsi ya kufanya kazi pamoja
Mkutano huo umeandaliwa na umoja wa vijana hao kwa kushirikiana na shirika la Foundation for Civil Society FCS. Na Alfred Bulahya. Umoja wa vijana kutoka taasisi zinazofanya kazi kwenye afua za vijana, zimekutaka jijini Dodoma kujadili namna zinavyoweza kufanya kazi…
10 April 2023, 3:19 pm
Vijana wakumbushwa kujiwekea akiba
Mara kadhaa kumekuwepo na baadhi ya vijana ambao wamekuwa wakihinda vijiweni pasipo kuwa na ajira huku wengi wao wakisema kuwa mitaji ni miongoni mwa changamoto zinazopelekea kushindwa kujiajiri. Na Thadei Tesha. Vijana wametakiwa kutumia vyema nafasi waliyonayo katika kuwekeza kidogo…
30 March 2023, 6:14 pm
Vijana wazungumzia changamoto za mikopo halmashauri
Vijana hao wamesema kuwa kumekuwa na changamoto na usumbufu mkubwa kwani wanatumia muda mwingi kufuatilia fedha hizo. Na Victor Chigwada . Baadhi ya vijana wa kutoka Wilaya ya Chamwino wamezungumzia changamoto wanazozipata katika Halmashauri pindi wanapoenda kuchukua mikopo inayotengwa na serikali…
10 June 2022, 2:31 pm
Taasisi za Serikali na binafsi zatakiwa kuwatumia vijana wanao zalishwa vyuoni
Na;Mindi Joseph . Waziri Ofisi ya Makamu wa Raisi,Muungano na Mazingira Mhe. Selemani Jafo amezitaka taasisi za serikali na binafsi kufungua milango na kuwatumia vijana wanaozalishwa vyuoni ili kujenga umahiri kwa Vijana Nchini Akizungumza leo katika ufunguzi wa Maonesho ya…
8 June 2022, 2:28 pm
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa
Na; Lucy Lister . Vijana jijini Dodoma wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza na kuacha tabia ya kuchagua kazi. Akizungumza na Dodoma fm Bw. Charles Mathias ambaye anajishughulisha na suala la kuongeza thamani kupitia biashara ya…
18 May 2021, 7:41 am
Wazazi: Vijana wageuze elimu zao kuwa chanzo cha ajira
Na; Alfredy Sanga Baadhi ya vijana wameeleza jinsi ambavyo kijana anaweza kujiajiri na kutafuta fursa mbali mbali katika kujikwamua kimaisha, badala ya kutegemea kuajiriwa kutokana na ukosefu wa ajira nchini. Wakizungumza na taswira ya habari vijana hao wamesema kitu kikubwa…
17 May 2021, 1:22 pm
kujengwa kwa soko la kimataifa Kongwa kutaongeza fursa za ajira
Na; Benard Filbert Kujengwa kwa chuo cha kilimo pamoja na soko la mazao la kimataifa katika Kata ya Mtanana Wilaya ya Kongwa imeelezwa itaongeza fursa nyingi za ajira kwa wananchi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa na diwani wa Kata hiyo…