Dodoma FM
Dodoma FM
12 December 2025, 18:11
Wadau mbalimbali wa masuala ya ukatili wa kijinsia kwa kushirikiana na Serikali wametakiwa kuendelea kutoa elimu na mikakati ya kukabiliana na vitendo vya ukatili Na Hagai Ruyagila Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Hassan Rugwa, amewataka wadau wa maendeleo kuendelea…
December 3, 2025, 5:51 pm
Wafanya biashara wa nyama katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameeleza namana soko la nyama linavyoendelea pamoja na kubainisha kuwa bei ya nyama kupanda ni kutokana na soko la ng’ombe kuwa juu. Na; Sharifat Shinji Wafanya biashara wa nyama katika soko…
December 3, 2025, 1:06 pm
Baadhi ya wananchi wa maisha ya chini wamewaomba Wafanyabiashara wa Mchele katika masoko ya Halamashauri ya Mji Kasulu kupunguza bei ya bidhaa hiyo kutokana na gharama kupanda na baadhi ya wananchi kushindwa kumudu gharama hizo. Na; Emily Adam Wafanyabiashara wa…
November 25, 2025, 11:18 pm
NGOs katika Wilaya ya Kasulu wapongeza jitihada za Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kwa kuwapa elimu na kuwakumbusha kanuni na sheria za kodi kupitia semina iliyoendeshwa katika wilaya hiyo. Na; Sharifat Shinji Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Kigoma…
25 November 2025, 17:08
Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili kwenye jamii, wanamabadiliko wa masuala ya ukatili wa kijinsia wamepewa baiskeli ili waweze kuwafikia wahanga wa vitendo hivyo. Na Hagai Ruyagila Shirika la Kivulini kwa kushirikiana na shirika la Plan International chini ya ufadhili…
18 November 2025, 13:04
Vitendo vya ukatili kwa vijana ni tabia au matendo yanayowadhuru kimwili, kihisia, kijinsia, au kijamii na ukatili huu unaweza kufanywa na watu wazima, wenzao, au hata mamlaka. Na Sadick Kibwana Vijana katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameiomba Serikali kuendelea kutoa…
27 October 2025, 12:24 pm
Ni wanachama wa umja wa watu wenye ulemavu Wilaya ya kaskazini “A” Unguja wakipatiwa mafunzo ya elimu ya mpiga kura Mkwajuni Wilaya ya kaskazini A: “Jamii ijitokeze kuwasaidia watu wenye ulemavu kwa kuwafikisha kwenye vituo vya kupigia kura ili wa…
23 October 2025, 12:41
Licha ya jitihada mbalimbali za Serikali na wadau kutoa elimu ya masuala ya ukatili bado ukatili kwa njia ya mitandao umeonekana kuwa tatizo kwenye jamii Na Mwandishi wetu Makundi yenye jukumu la malezi katika jamii yametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya…
23 October 2025, 12:27 pm
Na Ivan Mapunda. Wanaharakati na wadau wa watu wenye ulemavu nchini wameiomba Serikali kuridhia itifaki ya masuala ya watu wenye ulemavu Afrika ili kuondokana na vitendo vya ubaguzi na kunyimwa haki zao za kibinadamu. Hayo yameelezwa Unguja , Afisa Sheria…
16 October 2025, 3:07 pm
ikiwa ni takwa la kikatiba wananchi wametakiwa kwenda kuwachagua viongozi wanao wataka siku ya uchaguzi mkuu RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Rungwe mkoani Mbeya kujitokeza kupiga kura ifikapo octoba 29.2025 kwa wote wenye sifa za kupiga…