Dodoma FM
Dodoma FM
4 February 2025, 11:19 am
‘‘Hivi hatuwezi kumaliza migogoro ya ardhi,mirathi na ndoa kwenye jamii zetu sheria zinasemaje kwa mtu ambaye atafanya kesi za aina kama hiyo kama changamoto ni sheria zetu basi tuziboreshe na kama ni elimu ndogo ya kisheria kwa wananchi wetu vyombo vinavyohusika…
27 January 2025, 4:00 pm
Utekelezaji miradi ya kilomita ishirini na tano kwa kiwango cha changarawe imesaidia kuunganisha Vijiji hivyo. Na Victor Chigwada.Ukarabati wa miundombinu ya barabara kutoka wilunze mpaka manzilanzi na Majeleko umesaidia kuleta unafuu wa mawasiliano katika vijiji vya kata ya Majeleko. Hayo…
23 December 2024, 8:36 pm
“Pamoja na kwamba maandiko matakatifu yanasema kuwa mkamate sana elimu usimwache aende zake mshike maana yeye ni uzima wako Mithali 4:13 lakini wazazi wameendelea kuwa vikwazo kwa wanafunzi kutimiza ndoto zao”. Na, Daniel Manyanga Wanafunzi 213 walifanya mtihani wa kumaliza…
12 December 2024, 3:51 pm
Wadau na wanaharakati wa haki za binadamu Duniani na Nchini Tanzania wameendelea na harakati za kuhakikisha kuwa usawa kwa wote unafikiwa,licha yakuwepo na wimbi la taarifa za ukatili wa kijinsia unaoripotiwa kwenye maeneo mengi Nchini na Duniani kwa ujumla. Na,…
18 November 2024, 08:44
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Kisena Mabuba amewahakikishia madiwani wa Manispaa hiyo kuwa anasimamia kwa nguvu ili kuhakikisha maeneo ya wazi yanayomilikiwa na Manispaa yanapatiwa hati miliki ili kuepuka maeneo hayo kuvamiwa na watu wasio waaminifu. Na, Lucas Hoha…
6 November 2024, 9:03 pm
Shirika la Bufadeso linatoa miche ya miti bure kwa taasisi ambazo zinatoa huduma kwa watu kama vile shule, vituo vya kutolea huduma za afya miongoni mwa taasisi zingine. Na Adelinus Banenwa Wakazi wa mtaa wa Maini kata ya Kabasa Halmashauri…
25 October 2024, 4:29 pm
Katika harakati za baadhi ya wanandoa wilaya ya Pangani mkoani Tanga kuhakikisha wanalinda mahusiano yao hulazimika kushiriki kinyume na maumbile ili kuwaridhisha wenzao wao. Ungana na msimulizi wetu Hamisi Makungu kupata kisa hicho ambapo utapata nafasi ya kuwasikia viongozi wa…
24 October 2024, 11:04 pm
Jamii ya watanzania imeendelea kukumbushwa kuchukua tahadhari juu ya matukio ya ukatili wa kijinsia,kwakutoa taarifa nakuendelea kuwaelimisha watoto walio majumbani na wanafunzi ili kuwanusuru watoto hao na athari za ukatili wa kijinsia. Na,Alex Sayi. Wanafunzi wa shule ya sekondari Masela…
6 September 2024, 5:32 pm
Kutokana na uhitaji mkubwa wa matibu halmashauri ya Babati inatarajia kushirikiana zaidi na mashirika mbali mbali yanayotoa huduma za afya kufanya kambi kwa kila robo ya mwaka ili kuwafikia wenye changamoto mbalimbali za afya kwenye maeneo yao katika halmashauri hiyo.…
2 September 2024, 5:49 pm
Kambi ya siku tano ya matibabu imeanza leo katika kata za Galapo na Qash kwa ufadhili wa shirika la So they can, kwa kutibu magonjwa mbali mbali ikiwemp kutibu watoto wenye changamoto ya miguu kifundo. Na Marino Kawishe Zaidi ya…