Uncategorized
10 June 2022, 3:56 pm
Sejeli yaiomba serikali kusaidi ujenzi wa vyumba vya madarasa
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mbande Kata ya Sejeli Wilaya ya Kongwa wameiomba Serikali kuwasaidia ujenzi wa vyumba vya madarasa kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi kwa sasa Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na Taswira ya habari wamesema…
19 May 2022, 3:12 pm
Wabunifu waiomba serikali kuendelea kuwawezesha
Na;Mindi Joseph. Wabunifu wameiomba serikali kuendelea kuwawezesha ili kuendeleza Bunifu zao kutoka hatua moja kwenda nyingine kwa maendeleo ya Taifa. Taswira ya habari imezungumza na Mkufunzi wa mafunzo ya matengenzo ya ndege kutoka chuo cha taifa cha usafirishaji Juma Msofe…
10 May 2022, 4:10 pm
Wakazi wa kisisi walazimika kutumia maji ya visima vya asili
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Kisisi Wilayani Mpwapwa wanalazimika kutumia maji ya visima vya asili kutokana na kukosa huduma ya maji Safi na salama Wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa licha ya kuchota maji ya visima vya…
6 May 2022, 3:05 pm
Baadhi ya wakazi wa Ihumwa wakosa uelewa juu ya alama za mipaka
Na; Victor Chigwada. Baadhi ya Wananchi wa Ihumwa wametajwa kuwa na uelewa mdogo juu ya utunzaji wa Mali na miundombinu inayowekwa na Serikali kwa lengo la kuwanufaisha wananchi. Kutokana na hayo wananchi wa Ihumwa wamesisitizana juu ya suala la kulinda…
4 April 2022, 1:28 pm
Wananchi watakiwa kujiunga na bima za Afya ili kujipatia matibabu kwa gharama na…
Na;Victor Chigwada. Serikali katika kuboresha huduma za afya imekuwa na mpango wa kutoa elimu na hamasa ya wananchi kujiunga na bima za afya zitakazo saidia kupatiwa matibabu kwa gharama nafuu Hatahivyo pamoja na wananchi kuhamasika na bima za afya lakini…
26 August 2021, 1:00 pm
Baadhi ya vijana walalamikiwa kushindwa kurudisha mikopo inayotolewa na halmasha…
Na; Benard Filbert. Licha ya Serikali kupitia Halmashauri mbalimbali Nchini kutoa mikopo kwa makundi mbalimbali imeelezwa kuwa moja ya changamoto kubwa ni baadhi ya vijana kushindwa kurudisha mikopo hiyo. Hayo yameelezwa na afisa maendeleo Jiji la Dodoma Bw. Daniel Manyama…
25 August 2021, 12:42 pm
Serikali kuongeza jitihada ya kutatua changamoto za wafanyakazi Nchini
Na;Mindi Joseph. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa amesema serikali itaongeza jitihada za kutatua changamoto zinazowakabili wafanyakazi nchini. Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa kufungua mkutano wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa Tanzania…
16 August 2021, 2:12 pm
Serikali yazindua mfumo wa kielectroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli…
Na; Fred Cheti. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri mkuu (Sera ,bunge,kazi,ajira,vijana na watu wenye ulemavu) leo Agosti 16 imezindua mfumo wa kielektroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za serikali. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dodoma waziri mwenye…
22 July 2021, 8:45 am
Wafanyabiashara waliopo mnada wa Dabalo wametakiwa kufuata taratibu ili kujiking…
Na; Benard Filbert. Wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali wanaofanya shughuli zao katika mnada wa Dabalo wilaya ya Chamwino wametakiwa kufuata maelekezo yaliyotolewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma kila mmoja kuvaa barakoa na kuzingatia kuweka maji ya kunawa ili kujikinga na…
14 July 2021, 1:28 pm
Mwanamke ana haki ya kumiliki mali na kuuza chochote kwaajili ya familia
Na; Shani Nicolous. Imeelezwa kuwa mwanamke anahaki ya msingi ya kumiliki ardhi kama ilivyo kwa upande wa mwanaume katika familia kwa mjibu wa sheria. Akizungumza na Dodoma fm msaidizi wa kisheria kutoka halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw. Yona Sakaza…