Uncategorized
20 May 2021, 2:31 pm
Wakala wa vipimo wafanya ukaguzi wa mizani Jijini Dodoma
Na;MARIAM MATUNDU. Ikiwa leo ni siku ya vipimo Duniani wakala wa vipimo Mkoani Dodoma wametembelea na kufanya ukaguzi wa mizani katika maeneo ya hospitali na sehemu za kufanyia mazoezi. Akizungumza katika ukaguzi huo kaimu meneja wa wakala wa vipimo Mkoa…
10 May 2021, 11:58 am
Kitabu cha mzee Mwinyi kitakuwa msaada kwa viongozi mbalimbali katika kuhudumia…
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa kitabu kilichozinduliwa hivi karibuni cha Raisi wa awamu ya pili ya jamhuri ya muungano wa Tanzania Ally Hassan Mwinyi ambacho kinaeleza historia ya maisha yake katika kipindi cha utawala wake kitawasaidia viongozi wa serikali…
10 May 2021, 10:27 am
Wakazi wa kata ya Mpalanga walalamikia uchache wa miundombinu ya maji safi na sa…
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya upatikanaji wa maji imekuwa tatizo kubwa katika baadhi ya vijiji hali inayo pelekea wakazi wa maeneo hayo kutumia muda mwingi katika utafutaji wa maji. Taswira ya habari ilitembelea Kata ya Mpalanga Wilaya ya Bahi katika…
6 May 2021, 1:56 pm
Jamii imetakiwa kuwasaidia watu wenye mahitaji maalum.
Na; Benard Filbert. Jamii inaaswa kutoa msaada kwa watu wenye mahitaji maalumu ikiwepo watoto wanaoishi katika mazingira magumu hali itakayosaidia kukidhi mahitaji yao ya msingi. Wito huo umetolewa na mratibu wa shirika la Charity Vision Tanzania Mariam Mbijima mara baada…
5 May 2021, 10:13 am
Waziri Ummy awataka Viongozi wa Mikoa na Wilaya kuendelea kuchapa kazi
Na; Nteghenjwa Hosseah Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa Mhe.Ummy Mwalimu amewataka Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kuendelea kuchapa kazi kama awali na sio kukaa…
4 May 2021, 9:44 am
Uongozi wa secondary ya Hombolo bwawani wakanusha taarifa ya kuadhibu wanafunzi…
Na; Benard Filbert Uongozi wa shule ya secondary Hombolo bwawani jijini Dodoma umekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wanafunzi wa kidato cha tano kuadhibiwa hadi kufikia hatua za kulazwa hospitali kutokana na uharibifu wa mali za shule. Akizungumza…
3 May 2021, 1:37 pm
Elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia imesaidia kuondoa ukimya kwa jamii
Na; Mindi Joseph Imeelezwa kuwa elimu ya kuzuia vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto imechangia wengi kuripoti hususani watoto wa kike katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Taswira ya Habari imezungumza Askari polisi wa Dawati la jinsia…
3 May 2021, 7:05 am
90,025 kuanza mitihani kidato cha sita
Na; James Justine KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dk. Charles Msonde amesema, takribani wanafunzi 90,025 wameanza kufanya mtihani wa Kidato cha Sita kuanzia leo Jumatatu tarehe 3 hadi 25 Mei 2021. Dk. Msonde ametoa taarifa hiyo…
30 April 2021, 1:22 pm
RAIS SAMIA SULUHU ASHINDA KWA KISHINDO UENYEKITI CCM
Na; Alfred Bulaya. Mkutano mkuu maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao umefanyika jijini Dodoma hii leo, umemchagua Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwa Mwenyekiti mpya wa CCM Taifa. Rais Samia Suluhu Hassan ameteuliwa na…
30 April 2021, 8:57 am
Wakazi Iyumbu wataka ufafanuzi wa asilimia 45 makato ya viwanja
Na; Mariam Kasawa. Wakazi wa mtaa wa Iyumbu Jijini Dodoma wameutaka uongozi wa mtaa huo kutoa ufafanuzi wa makato ya asilimia 45 wanazokatwa na jiji kwa kila kiwanja wanachopewa baada ya upimaji wa hivi karibuni bila kujali kipo kwenye makazi…