Uncategorized
29 April 2021, 1:36 pm
Wafanyakazi waeleza matarajio yao kuelekea siku ya wafanyakazi (Mei mosi)
Na; Benard Filbert. Kuelekea maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Mei mosi matarajio ya wafanyakazi wengi nchini ni kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja ili kuboresha utendaji kazi kwa maslahi yao na nchi. Hayo yamesemwa na Bw.Yusuph Mhindi ambaye ni mmoja wa…
29 April 2021, 1:15 pm
Serikali yajipanga kuondoa mgao wa maji Nchini
Na;Yussuph Hans Serikali imesema inaendelea kujipanga kuhakikisha inaondoa adha ya mgao wa Maji kwa Wananchi katika maeneo mbalimbali hapa Nchini. Hayo yamebainishwa leo Bungeni na Naibu Waziri wa Maji Mh MarryPrisca Mahundi wakati akijibu swali la Mbunge wa Ndanda Mh…
29 April 2021, 6:35 am
Serikali kutunga sheria uvunaji wa viungo
Na;Yussuph Hans. Naibu Waziri wa Afya, Godwin Mollel, amesema kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya upandikizaji wa viungo Nchini, Serikali imeandaa Muswada wa kutunga Sheria itakayoongoza taratibu za uvunaji, utunzaji na upandikizaji wa viungo Ameeleza hayo bungeni jijini Dodoma wakati akimjibu Mbunge…
29 April 2021, 6:17 am
Zahanati ya Chanhumba yakabiliwa na ukosefu wa dawa
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji Cha Chanhumba Kata ya Handali Wilayani Chamwino wamelalamikia ukosefu wa dawa katika Zahanati ya Kijiji hicho hali inayowalazimu kununua dawa katika maduka ya dawa. Hayo yameelezwa na wakazi wa Kijiji hicho wakati wakizungumza na…
29 April 2021, 6:00 am
Diwani Nkonko aahidi kuwasaidia vijana kupatiwa mkopo na halmashauri
Na; Seleman Kodima. Diwani wa kata ya Nkonko wilayani Manyoni Ezekiel Samwel amesema ataendelea kupambana na kuhakikisha Vijana katika kata yake wanachangamka na Kupata mkopo unaotolewa Halmashauri kwa kundi la wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kujikwamua kiuchumi, kujiongezea…
27 April 2021, 9:21 am
Wananchi waomba kupatiwa elimu juu ya katiba
NA; Shani Nicoalus Wananchi jijini Dodoma wametoa wito wa kupatiwa elimu juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kutokana na kutoifahamu ipasavyo. Hatua hii imefikiwa baada ya hivi karibuni Halmashauri kuu ya Chama cha…
27 April 2021, 6:22 am
Nagulo Bahi Zahanati bado kizungumkuti
Na; Seleman Kodima. wakazi wa Nagulo Bahi wamelalamikia kukosa huduma ya Afya kijijini hapo hali inayopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta huduma ya Afya. Wananchi hao wameelezea jinsi walivyo jitahidi kufanya juhudi ili wapate kituo cha Afya kijijini hapo lakini…
27 April 2021, 6:10 am
Tanzania yaadhimisha miaka 57 ya muungano
Na,Mariam Matundu. Ikiwa Tanzania imeadhimisha miaka 57 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ,imeelezwa kuwa changamoto 15 kati ya 25 za muungano zimetatuliwa . Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango wakati akifungua kongamano la maadhimisho ya miaka…
26 April 2021, 5:52 am
Wakazi wilayani Chamwino wanatarajia kunufaika na mradi wa boresha lishe
Na; Selemani Kodima. Wakazi wa kijiji cha Chanhumba wilayani Chamwino wamesema wanatarajia kupata Elimu zaidi juu ya Lishe bora kupitia mfululizo wa Vipindi vya Redio vya Dodoma fm ili kusaidia kupunguza hali ya udamavu katika maeneo yao . Wakizungumza na…
23 April 2021, 2:58 pm
Rais Samia Suluhu afanya uteuzi mwingine
Na; Ikulu Mawasiliano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Hedwiga Swai kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania. Dkt. Swai anashika wadhifa huo kwa kipindi cha pili baada ya kipindi…