Dodoma FM

Uncategorized

29 April 2021, 1:15 pm

Serikali yajipanga kuondoa mgao wa maji Nchini

Na;Yussuph Hans Serikali imesema inaendelea kujipanga kuhakikisha inaondoa adha ya mgao wa Maji kwa Wananchi katika maeneo mbalimbali hapa Nchini. Hayo yamebainishwa leo Bungeni na Naibu Waziri wa Maji Mh MarryPrisca Mahundi wakati akijibu swali la Mbunge wa Ndanda Mh…

29 April 2021, 6:35 am

Serikali kutunga sheria uvunaji wa viungo

Na;Yussuph Hans. Naibu Waziri wa Afya, Godwin Mollel, amesema kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya upandikizaji wa viungo Nchini, Serikali imeandaa Muswada wa kutunga Sheria itakayoongoza taratibu za uvunaji, utunzaji na upandikizaji wa viungo Ameeleza hayo bungeni jijini Dodoma wakati akimjibu Mbunge…

29 April 2021, 6:17 am

Zahanati ya Chanhumba yakabiliwa na ukosefu wa dawa

Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji Cha Chanhumba Kata ya Handali Wilayani Chamwino wamelalamikia ukosefu wa dawa katika Zahanati ya Kijiji hicho hali inayowalazimu kununua dawa katika maduka ya dawa. Hayo yameelezwa na wakazi wa Kijiji hicho wakati wakizungumza na…

29 April 2021, 6:00 am

Diwani Nkonko aahidi kuwasaidia vijana kupatiwa mkopo na halmashauri

Na; Seleman Kodima. Diwani wa kata ya Nkonko wilayani Manyoni Ezekiel Samwel amesema ataendelea kupambana na kuhakikisha Vijana katika kata yake  wanachangamka na  Kupata mkopo unaotolewa Halmashauri kwa kundi la   wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kujikwamua kiuchumi, kujiongezea…

27 April 2021, 9:21 am

Wananchi waomba kupatiwa elimu juu ya katiba

NA; Shani  Nicoalus                Wananchi jijini Dodoma wametoa wito wa kupatiwa elimu juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kutokana na kutoifahamu ipasavyo. Hatua hii imefikiwa baada ya hivi karibuni Halmashauri kuu ya Chama cha…

27 April 2021, 6:22 am

Nagulo Bahi Zahanati bado kizungumkuti

Na; Seleman Kodima. wakazi wa Nagulo Bahi wamelalamikia kukosa huduma ya Afya kijijini hapo hali inayopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta huduma ya Afya. Wananchi hao wameelezea jinsi walivyo jitahidi kufanya juhudi ili wapate kituo cha Afya kijijini hapo lakini…

27 April 2021, 6:10 am

Tanzania yaadhimisha miaka 57 ya muungano

Na,Mariam Matundu. Ikiwa Tanzania imeadhimisha miaka 57 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ,imeelezwa kuwa changamoto 15 kati ya 25 za muungano zimetatuliwa . Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango wakati akifungua kongamano la maadhimisho ya miaka…

23 April 2021, 2:58 pm

Rais Samia Suluhu afanya uteuzi mwingine

Na; Ikulu Mawasiliano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Hedwiga Swai kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania. Dkt. Swai anashika wadhifa huo kwa kipindi cha pili baada ya kipindi…