biashara
11 May 2021, 11:15 am
Serikali kuimarisha na kufungua mipaka ya masoko katika Nchi za kanda ya Afrika…
Na;Mindi Joseph. Serikali imeahidi kuendelea kuwa na uchumi imara kwa kuimarisha na kufungua mipaka ya masoko katika nchi za kanda ya Africa mashariki na maziwa makuu. Akizungumza katika Mahojiano na Taswira ya habari Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud…
11 May 2021, 10:54 am
Wakazi jijini Dodoma wamehamasishwa kujiunga na Bank ya Amana.
Na; Mariam Kasawa. Wakazi jijini Dodoma wamehamasishwa kufungua akaunt katika Bank ya Amana kwani ni nafuu na rahisi kutoa huduma kwa jamii. Akizungumza na kapu kubwa la Dodoma fm meneja wa bank ya Amana tawi la Dodoma Bw. Athuman Julius…
4 May 2021, 1:40 pm
Wafanyabiashara, wajasiriamali wapigwa msasa matumizi ya vipimo
Na; Alfred Bulahya Watumiaji wa vipimo mbalimbali jijini Dodoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia vipimo kwa mujibu wa sheria ili kuongeza thamani ya bidhaa zao. Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na katibu tawala wa Mkoa wa Dodoma Bi.Aziza Muba, wakati akizungumza na…
30 April 2021, 12:59 pm
Kushuka kwa bei ya mchele neema kwa walaji
Na; Salim Kimbesi. Imeelezwa kuwa kwa sasa bei ya mchele imeshuka sana sokoni kutokana na zao hilo kupatikana kwa wingi. Hayo yamesemwa na wafanyabiashara wa mchele walipo kuwa wakizungumza na Dodoma fm ambapo wamesema mchele kwa sasa unapatikana kwa wingi…
23 April 2021, 10:42 am
Uhaba wa Alizeti wachangia mafuta ya kula kupanda bei
Na; SALIM KIMBESI. Wafanyabiashara wa mafuta ya kupikia katika soko la Majengo jijini Dodoma wamesema kuwa uhaba wa zao la alizeti ndio umechangia bei ya bidhaa hiyo kupanda. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wafanyabiashara hao wamesema kuwa, upatakanaji wa…
21 April 2021, 10:27 am
Vitunguu kupanda bei , baada ya msimu wake kwisha
Na; Tosha Kavula. Imeelezwa kuwa uchache wa zao la vitunguu sokoni hivi sasa, unasababishwa na msimu wake wa mavuno kupita. Wakizungumza na Dodoma Fm wafanyabiashara wa zao hilo katika soko la Majengo wamesema hali hii imechangia bei ya zao hilo…
20 April 2021, 12:42 pm
Wafanyabishara Soko la Majengo, “bei za bidhaa hazijapanda”
NA; RAMLA SHABAN Wakati wafanyabiashara wa viazi vitamu jijini Dodoma wakisema bei ya zao hilo haijapanda katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan,wanunuzi wengi wameendelea kulalamikia kupanda kwa bei hizo. Wakizungumza na Dodoma fm baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Majengo …
19 April 2021, 2:01 pm
(UDART) Mkurugenzi wa Fedha na Maendeleo ya Biashara asimamishwa kazi na Waziri…
Na;Mindi Joseph Chanzo Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Fedha na Maendeleo ya Biashara wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka nchini (UDART) Bi.Suzana Chaula. Hayo yanajiri baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha karakana ya mabasi…
19 April 2021, 11:43 am
Serikali yaombwa kupunguza bei nishati mbadala
Na; Thadei Tesha. Gharama kubwa za nishati rafiki kwa mazingira ikiwemo gesi, zimetajwa kuchangia uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutozimudu. Hali hii imechangia wananchi wengi kuendelea kutumia nishati ya mkaa na kuni ambazo zinasababisha uharibifu wa mazingira. Wananchi…
16 April 2021, 9:57 am
Vifungashio mbadala ni changamoto kwa wafanyabiashara Majengo
Na; Shani Nicolous. Wafanyabiashara wa soko la majengo wamelalamikia kukosekana kwa vifungashio mbadala vilivyo elekezwa na Serikali vitumike . Akizungumza na Taswira ya habari Mwenyekiti wa soko la Majengo Bw.Hamis Bomu amesema kuwa vifungashio mbadala vinavyo takiwa kutumika havipatikani kwa…