Dodoma FM

biashara

1 June 2021, 6:09 am

Wafanyabishara waiomba serikali kurahisisha usafirishaji wa mizigo

Na; Benjamin Suluwano. Wafanyabiashara wa soko la sabasaba wameiomba serikali kutafuta njia mbadala ya kurahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka soko la Job Ndugai kwenda sokoni . Wakizungumza na Dodoma fm baadhi ya wafanyabiashara wamesema wanaomba wapunguzie ushuru na serikali iongeze…

28 May 2021, 12:41 pm

TIRA yawataka wamiliki wa bima kuzingatia vitu muhimu

Na; SHANI NICOLOUS. Mamlaka ya usimamizi wa bima Tanzania TIRA wametoa wito kwa wamiliki wa bima kuzingatia vitu muhimu vinavyohitajika wakati wakileta madai yao ili kupatiwa huduma sahihi itakayosaidia kutatua madai hayo. Akizungumza na Dodoma fm Afisa mwandamizi wa bima…

25 May 2021, 11:20 am

Bei ya nguo za mitumba yashuka

Na; Tosha Kivula Bei ya nguo za mitumba imeendelea kuwa ya wastani ikilinganishwa na miezi kadhaa iliyopita.. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wanunuzi wa nguo hizo kwa bei ya reja reja wamesema bei hiyo imezidi kuwanufaisha ambapo kwa…

20 May 2021, 2:06 pm

Mradi wa Bomba la mafuta utasaidia kuongeza pato la Taifa .

Yussuph Hans Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan, amesema mradi mkubwa wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga utasaidia kuvuta Wawekezaji Ukanda wa Afrika Mashariki, kuongeza ajira pamoja na pato la Taifa. Amebainisha hayo…

18 May 2021, 7:58 am

Biashara ya ulezi yashamiri jijini Dodoma

Na; Ramla Shabani Baadhi ya wafanyabiashara wa ulezi jijini Dodoma wameelezea namna biashara hiyo inavyoshamiri kutokana na watumiaji wengi wa zao hilo wamesema kuwa zao la ulezi linatumiwa kwa wingi. Wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa watu wengi wanatumia…