afya
5 July 2021, 11:32 am
Jamii imeshauriwa kutumia vyakula mchanganyiko ili kupunguza magonjwa yasiyo na…
Na; Shani Nicolous. Jamii imeshauriwa kutumia vyakula mchanganyiko vya kujenga mwili ili kupunguza magonjwa yasiyokuwa na ulazima pamoja na madhara mengine ambayo yanatokana na uzito wakupindukia. Akizungmza na Dodoma FM Dr. Mathew kutoka Poly Clinic Jijini Dodoma amesema kuwa kumekuwa…
5 July 2021, 9:49 am
Wakazi wa Mlebe walia na changamoto ya upungufu wa madawa na wahudumu wa Afya
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlebe Kata ya Msamalo wanakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya katika zahanati yao hali inayodhoofisha utoaji wa huduma za matibabu hasa kwa akina mama wajawazito. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira…
25 June 2021, 1:24 pm
Serikali kuendeleza maboresho sera ya matibabu bure kwa wazee
Na;Yussuph Hans. Serikali imesema katika kuhakikisha wazee wanapata huduma bora ya matibabu, inaendeleza zoezi la utambuzi na kuwapatia vitambulisho ambapo mpaka kufikia Machi 2020/2021 Asimilia 87 ya makadirio ya Wazee wote nchini wamepatiwa Vitambulisho hivyo. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini…
24 June 2021, 1:44 pm
Wizara ya Afya yazindua mpango mkakati wa miaka mitano utakao gharimu shilingi t…
Na;Mindi Joseph. Wizara ya Afya,Maendeleo ya jamii jinsia,wazee na Watoto kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo,imezindua mpango mkakati wa miaka mitano utakaogharimu Tsh.Trilioni 9.4 kila mwaka. Akizungumza katika uzinduzi mkakati huo leo Juni, 24,2021 Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii…
24 June 2021, 10:53 am
Mlowa bwawani yatarajia kutoa elimu kwa wananchi wake juu ya kujikinga na virusi…
Na; Benard Filbert. Uongozi wa kata ya Mlowa bwawani hii leo unataraji kukutana na wananchi wa eneo hilo ili kuwapatia elimu pamoja na kuwahimizi kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vinavyo sababisha homa ya mapafu. Hayo yameelezwa na diwani wa kata…
24 June 2021, 9:38 am
EWURA yatoa msaada wa mashuka 431 katika vituo vinne jijini Dodoma
Na; Mindi Joseph . Katika kuhitimisha wiki ya utumishi wa umma mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) imetoa msaada wa mashuka 431 kwa vituo vinne vya afya jijini Dodoma kwa lengo la kusaidia kuboresha huduma za…
24 June 2021, 8:15 am
Serikali yaombwa kutatua changamoto ya watumishi wa zahanati
Na; Victor chigwada Wananchi wa mtaa wa Chololo Kata ya Kikombo jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwatatulia changamoto ya uhaba wa watumishi kwenye zahanati na Shule ya msingi.Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema pamoja na kupaza sauti…
23 June 2021, 11:25 am
Tanzania yafikia 90% ya udhibi wa dawa za kulevya
Na; Mindi Joseph Kuelekea siku ya kimataifa ya kupambana na dawa za kulevya Tanzania imetajwa kufikia zaidi ya asilimia 90 ya udhibiti na kupambana na dawa hizo. Hii ni kwa mujibu wa Riporti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la…
22 June 2021, 11:55 am
Jamii imetakiwa kuimarisha Afya kwa kuzingatia inakula makundi matano ya chakula
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuacha kusubiri ushauri katika suala la kutumia makundi matano ya vyakula na badala yake kujijengea tabia hiyo ili kuimarisha afya zao. wito huo umetolewa na wakazi wa kijiji cha Solowu wilayani Chamwino mkoani Dodoma wakati…
7 June 2021, 12:37 pm
Waziri Gwajima atoa siku 30 kwa kamati ya mpito kufanikisha uchaguzi mkuu wa ma…
Na; Mariam Matundu. WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii,jinsia Wazee na watoto Dkt.Dorothy Gwajima ametoa siku 30 kwa kamati ya mpito kufanikisha uchaguzi mkuu wa baraza la taifa la mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kuzingatia hadidu rejea zitakazotolewa kwa kazi…