Dodoma FM

afya

25 June 2021, 1:24 pm

Serikali kuendeleza maboresho sera ya matibabu bure kwa wazee

Na;Yussuph Hans. Serikali imesema katika kuhakikisha wazee wanapata huduma bora ya matibabu, inaendeleza zoezi la utambuzi na kuwapatia vitambulisho ambapo mpaka kufikia Machi 2020/2021 Asimilia 87 ya makadirio ya Wazee wote nchini wamepatiwa Vitambulisho hivyo. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini…

24 June 2021, 8:15 am

Serikali yaombwa kutatua changamoto ya watumishi wa zahanati

Na; Victor chigwada Wananchi wa mtaa wa Chololo Kata ya Kikombo jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwatatulia changamoto ya uhaba wa watumishi kwenye zahanati na Shule ya msingi.Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema pamoja na kupaza sauti…

23 June 2021, 11:25 am

Tanzania yafikia 90% ya udhibi wa dawa za kulevya

Na; Mindi Joseph Kuelekea siku ya kimataifa ya kupambana na dawa za kulevya Tanzania imetajwa kufikia zaidi ya asilimia 90 ya udhibiti na kupambana na dawa hizo. Hii ni kwa mujibu wa Riporti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la…