afya
3 May 2021, 9:59 am
Wananchi Mbalawala waombwa kuchangia uboreshwaji maabara
Na ;Afred Bulahya. Wakazi wa mtaa wa Kawawa kata ya Mbalawala jijini Dodoma wameombwa kuchangia kiasi kidogo cha pesa kitakacho wezesha zoezi la uboreshaji wa maabara ya zahanati ya Lugala. Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa kamati ya afya ya…
30 April 2021, 12:01 pm
TACAIDS yawajengea uwezo wasichana kutambua haki zao
Na; Mariam Matundu. Tume ya kudhibiti Ukimwi nchini TACAIDS chini ya uratibu wa masuala ya ukimwi kwa mtazamo wa kijinsia imetoa mafunzo kwa wasichana na wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi ili kuwapatia utambuzi wa haki zao za msingi katika maeneo yao. Akizungumza…
29 April 2021, 2:50 pm
Upungufu wa vituo vya huduma ya Afya ya uzazi kwa vijana warudisha nyuma mapamba…
Na; Mariam Matundu. Upungufu wa vituo vinavyotoa huduma rafiki za afya ya uzazi kwa vijana umetajwa kuwa moja ya changamoto inayorudisha nyuma mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi . hayo yamesemwa na Rosemary Shani balozi wa wasichana balehe…
27 April 2021, 11:39 am
Mpalanga wakabiliwa na changamoto ya wahudumu wa Afya
Na; Victor Chigwada Kituo cha afya kilichopo katika Kijiji cha Mpalanga Wilayani Bahi kinakabiliwa na upungufu wa wahudumu wa afya pamoja na mganga mkuu hali inayodhohofisha utoaji huduma. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wa Kata hiyo wakati wakizungumza na…
27 April 2021, 8:53 am
Akina mama wajawazito washauriwa kutumia unga ulioongezwa virutubishi
Na;Jayunga Pius Wanawake walio katika umri wa kujifungua wameshauriwa kutumia chakula aina ya ugali unatokana na unga ambao umeongezwa virutubishi ili kuepuka kujifungua watoto walio na matatizo mbalimbali ya kiafya ikiwemo kichwa kikubwa na mgongo wazi. Ushauri huo umetolewa na…
21 April 2021, 12:27 pm
Elimu ya Afya ya uzazi fumbo kubwa kwa vijana wasio na uelewa
Na; Mariam Matundu . Baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka vyuo mbalimbali wametajwa kuwa miongoni mwa vijana ambao bado hawana ujasiri wa kuzungumza masuala ya afya ya uzazi kwa uwazi. Hayo yamesemwa na kijana, mwanafunzi wa chuo cha…
20 April 2021, 11:49 am
Wananchi vijijini wanufaika na Elimu ya mfuko wa bima ya Afya CHF
Na; Benard Filbert. Elimu iliyotolewa kwa wananchi wa maeneo ya Vijijini kuhusu mfuko wa bima ya afya CHF imesaidia kwa kiasi kikubwa kuamsha hamasa ya kujiunga na kutumia bima hiyo. Hayo yameelezwa na mratibu wa bima ya afya CHF Mkoa…
19 April 2021, 12:48 pm
Serikali yatenga fedha kuimarisha usimamizi na uratibu wa lishe
Na; Mariam Matundu Serikali kupitia Halmashauri nchini imetenga shilingi elfu moja(1000) kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano ili kutekeleza afua mbalimbali za lishe ikiwemo kuanzisha kamati elekezi yenye lengo la kuimarisha usimamizi na uratibu wa suala la…