Dodoma FM

afya

29 July 2021, 11:25 am

Masinyeti waomba Serikali iwasaidie kujenga zahanati

Na; Alfred Bulahya. Wananchi wa kijiji cha masinyeti Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwaunga mkono katika ujenzi wa zahanati ya kijiji ili kuwezesha kupata huduma za afya kijini hapo. Hayo yamebainishwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na…