afya
11 August 2021, 12:48 pm
Wakazi Mkoani Dodoma waomba kuboreshewa huduma kupitia mfuko wa jamii wa CHF
Na;Yussuph Hans. Wakazi mkoani hapa wameomba kuboreshewa huduma zinazopatikana kupitia mfuko wa afya wa jamii (CHF) hususani maeneo ya vijijini ikiwemo vipimo pamoja na upatikanaji wa dawa katika vituo vya afya. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya wakazi hao wamesema…
9 August 2021, 1:31 pm
Kata ya Hogoro , wilayani Kongwa yakabiliwa na uhaba wa wodi za wazazi na upung…
Na ;Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya hogoro wanakabiliwa na changamoto ya uhaba wa wodi za wazazi pamoja na wahudumu afya na kuomba wadau kwa kushirikiana na serikali kuwaasaiidia kutatua adha hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya…
6 August 2021, 9:59 am
Kwa mujibu wa tafiti zilizo fanywa 2018 asilimia 31.8 ya watoto Nchini wakabiliw…
Na;Mindi Joseph . Ikiwa ni Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji Maziwa ya mama Duniani asilimia 31.8 ya watoto nchini wametajwa kuwa na udumavu kwa mujibu wa utafiti wa hali ya lishe mwaka 2018. Hayo yamebainishwa leo na Mratibu wa Lishe…
29 July 2021, 11:25 am
Masinyeti waomba Serikali iwasaidie kujenga zahanati
Na; Alfred Bulahya. Wananchi wa kijiji cha masinyeti Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwaunga mkono katika ujenzi wa zahanati ya kijiji ili kuwezesha kupata huduma za afya kijini hapo. Hayo yamebainishwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na…
29 July 2021, 10:52 am
Akina mama wajawazito watakiwa kuzingatia lishe bora ili kuepuka kujifungua mto…
Na; Benard Filbert. Akina mama wajawazito wameshauriwa kuzingatia lishe bora kwa kil mlo ili kuepuka kujifungua mtoto mwenye matatizo ya mdomo wazi. Ushauri huo umetolewa na daktari kutoka hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma (General) daktari Peter Mabula wakati…
26 July 2021, 10:13 am
Wakazi wa Chamwino walalamikia ukosefu wa huduma bora za Afya kwa watu wa makund…
Na; Shani Nicolous. Wakazi wa Wilaya ya Chamwino jijini Dodoma wamelalamikia ukosefu wa huduma bora za afya kwa watu wa makundi maalumu kama wazee, watoto ,akina mama wajawazito na walemavu. Wakizungumza na Dodoma Fm kupitia kipindi cha Dodoma live wamesema…
23 July 2021, 12:41 pm
Wakazi wa Matongoro wakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Matongoro Wilaya ya Kongwa wanakabiliwa na uhaba wa watumishi katika huduma ya afya pamoja na nyumba za watumishi hao. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesena wanakabiliwa na uhaba wa…
16 July 2021, 11:08 am
Wakazi wa Songambele A waishukuru serikali kwa kuwapatia fedha kwaajili ya ujenz…
Na; Victor Chigwada. Wananchi katika Kata ya Songambele A wameishukuru Serikali kwa kuwapatia fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya . Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi wa kata hiyo wamesema kuwepo kwa Zahanati kutarahisisha upatikanaji…
13 July 2021, 12:35 pm
Wakazi wa Dodoma wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Uviko 19
Na; Shani Nicolous. Wakazi jijini Dodoma wamehimizwa kuchukua tahadhari ya kujikinga na maambukizi ya uviko kwani ugonjwa huo ni hatari ulimwenguni kote. Akizungumza na Dodoma fm Dr. Nassoro Ally Matuzya na maratibu wa elimu ya afya kwa umma mkoa wa…
8 July 2021, 1:15 pm
Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona
Na; Benard Filbert. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 kwa mujibu wa maelekezo ambayo yamekuwa yakitolewa na Serikali pamoja na wataalamu wa afya. Wito huo umetolewa na afisa afya wa Jiji la Dodoma Bw. Abdallah Mahiya…