afya
6 April 2022, 3:22 pm
Wazazi watakiwa kuwapeleka watoto katika vituo vya Afya
Na;Yussuph Hassan. Wazazi na walezi Mkoani Dodoma wameshauriwa kuhakikisha wanawapeleka Watoto wao katika vituo vya afya kufanya uchunguzi wa Magonjwa mbalimbali ambayo mara nyingi huwa kama yamesahauliwa katika jamii. Akizungumza na kituo hiki Dkt Matthew Gaudance kutoka kituo cha Afya…
6 April 2022, 3:12 pm
Rais Samia Azindua mfumo wa M-mama
Na; Mariam Kasawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh samia Suluhu Hassani amezindua mpando wa M-mama utao wezesha usafirishaji wa dharura kwa wajawazito na watoto wachanga. Uzinduzi huo umefanyika leo katika viwanja vya Chinangali Park vilivyopo jiji Dodoma…
5 April 2022, 1:37 pm
Uvutaji wa sigara hadharani upigwe marufuku
Na;Yussuph Hassan. Wananchi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kutilia mkazo suala la baadhi ya watu kuvuta sigara hadharani kwani suala hilo limekuwa na madhara makubwa kiafya. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya wakazi hao wamesema kuwa kutokana na baadhi ya watumiaji…
28 March 2022, 2:48 pm
Wakazi wa Chang’ombe Ihumwa walalamikia huduma ya Afya kuto kujitosheleza
Na;Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa chang’ombe kata ya Ihumwa jijini Dodoma wameelezea changamoto zao ikiwa ni pamoja na kutojitosheleza kwa huduma ya afya katika kata hiyo Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema kwa sasa ongezeko…
15 March 2022, 2:07 pm
Wazazi watakiwa kusimamia Afya ya kinywa ya watoto wao
Na;Yussuph Hassan. Katika kuhakikisha Mtoto anapata makuzi bora ya afya ya kinywa, imeelezwa kuwa Mzazi ana wajibu wa kumsimamia Mtoto wake kuanzia umri wa Mwaka mmoja hadi kufikia umri wa miaka Tisa. Usafi wa kinywa hujumuisha usafi wa meno, fizi,…
10 March 2022, 3:14 pm
Jamii yatakiwa kuacha imani za kishirikina juu ya uchangiaji damu
Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kuachana na imani za kishirikina juu ya suala la kuchangia damu ili kupunguza idadi ya wagonjwa wanaofariki kutokana na kukosa damu. Akizungumza katika mahojiano maalum na kipindi cha taswira ya habari Daktari kutoka katika hospitali…
15 February 2022, 4:42 pm
Wananchi waomba kupatiwa elimu juu ya mazoezi ya viungo
Na ;Thadei Tesha. Mwitikio wa watu kufanya mazoezi bado umeendelea kuwa wa wastani kutokana na watu kutopata elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa kufanya mazoezi. Taswira ya habari imefanya mahojiano na wananchi jijini hapa kufahamu ni kwa kiasi gani …
14 February 2022, 5:44 pm
Wakazi wa Chitabuli waomba kujengewa Zahanati
Na; Neema Shirima. Wananchi wa kijiji cha Chitabuli katika kata ya Membe jijini Dodoma wameiomba serikali iwajengee zahanati ili waweze kuondokana na changamoto ya ukosefu wa huduma hiyo katika kijiji hicho Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema changamoto…
2 February 2022, 4:05 pm
Wafanyabiashara wa vyakula watakiwa kufuata sheria ya Afya ya jamii
Na; Benard Filbert. Idara ya afya katika jiji la Dodoma imeanza oparesheni ya ukaguzi wa maeneo yanayotumika kuuzia vyakula na vinywaji katika kata zote lengo ikiwa kuwataka wauzaji hao kufuata sheria ya afya ya jamii ya mwaka 2009. Hayo yameelezwa…
26 January 2022, 3:58 pm
Maduka ya Dawa yaliyopo mita 500 kutoka hospitali yatakiwa kuondoewa
Na; Benard Filbert. Baadhi ya wadau wa afya wanaomiliki maduka ya dawa karibu na Hospitali za Serikali wametakiwa kuachana na vitendo vya hujuma kutokana na kutopatikana baadhi ya dawa ndani ya Hosptali huku zikipatikana kwenye maduka yao. Wito huo umetolewa…