afya
28 May 2021, 1:54 pm
Wazazi wakiri uwepo wa dhana tofauti na uelewa mdogo katika maswala ya hedhi
Na;Yussuph Hans. Ikiwa leo ni siku ya hedhi Duniani moja ya changamoto wanayokutanayo wasichana nchini, ni baadhi ya wazazi kushindwa kubadili mtazamo wao na kuvunja ukimya kuhusu masuala ya hedhi. Hayo yamebainishwa na baadhi ya Wasichana jijini hapa wakati wakizungumza…
21 May 2021, 1:27 pm
Changamoto ya zahanati chamwino wanawake kujifungulia njiani
Na; Benard Filbert Ukosefu wa huduma ya Zahanati katika Kijiji cha Chitabuli Wilayani Chamwino imetajwa kuwa changamoto kwa wananchi hivyo kusababisha wajawazito kujifungulia njiani. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Kijiji hicho wakati wakizungumza na taswira ya habari kuhusu…
21 May 2021, 12:43 pm
Serikali yaahidi kusimamia sheria ya mtoto
Na; Yussuph Hans Katika kuhakikisha inawakomboa wanawake wanaobebeshwa mimba na kutelekezwa, Serikali imeahidi kusimamia ipasavyo sheria ya mtoto ya mwaka 2009 inayotoa maelekezo juu ya matunzo ya mtoto kwa wazazi wote wawili. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu…
18 May 2021, 1:20 pm
Rais Samia: sheria ya PF3 iangaliwe upya
Na; Benard Filbert Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluh Hassan ameliagiza jeshi la Polisi nchini kuangalia upya sheria inayomtaka mgonjwa aliyepata ajali kutokutibiwa bila kuwa na fomu namba tatu ya Polisi(PF3) kwani imekuwa ikisababisha watu wengi kupoteza…
18 May 2021, 12:49 pm
Watanzania wametakiwa kuwa na imani na chanjo ya Corona
Na; Yussuph Hans Wananchi wametakiwa kuwa na imani na chanjo ya covid 19 Akizungmza na Dodoma fm mtaalamu wa uchunguzi tiba kitengo cha maabara kutoka hospitali ya KCMC Dkt.Ahmed Zubeir amesema kuwa katika matumizi ya tiba wakati mwingine huwa na…
13 May 2021, 12:13 pm
Mama lishe zingatieni usafi ili kuepusha maambukizi ya homa ya Ini
NA; SHANI NICOLOUS. Wito umetolewa kwa mama lishe jijini Dodoma kuzingatia usafi katika shughuli zao, hususani wa vijiko vinavyotumika kulia chakula ili kuepusha maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini. Akizungumza na Taswira ya Habari daktari kutoka Hospitali ya Benjamini…
11 May 2021, 12:40 pm
Jamii yatakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo yak…
Na; Mariam Matundu. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo ya kuambukizwa ikiwemo Covid 19 ili kulinda afya zao . Hayo yamesemwa na afisa afya wa jiji la Dodoma Abdallah Mahiya na kuongeza kuwa kutokana…
7 May 2021, 1:52 pm
Uhaba wa Wafamasia, Serikali yaahidi kuajiri watumishi 10,467 maeneo mbalimbali.
Na ; Yussuph Hans Serikali imesema katika kutambua changamoto ya uhaba wa wafamasia nchini katika kipindi cha mwaka 2021/22 ina mpango wa kuajiri watumishi 10,467 ili kuhudumia maeneo mbalimbali nchini Hayo yamesemwa Bungeni hii leo na Naibu Waziri Ofisi ya…
7 May 2021, 12:05 pm
Sambwa ,Kondoa walia na changamoto ya kukosa Zahanati
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji Cha Sambwa Kata ya KK Wilayani Kondoa wamelalamikia ukosefu wa huduma za afya katika Kijiji hicho hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kwa ajili ya matibabu. Bw.Ally Khamis ni mkazi wa Kijiji hicho amesema wamekuwa…
3 May 2021, 10:29 am
Ukosefu wa elimu ya Afya kwa mabinti ni sababu kubwa ya maambukizi ya virusi vya…
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa ili kuongeza ufahamu kuhusu masuala ya afya ya uzazi kwa vijana ni muhimu kuongeza wigo wa utoaji elimu hiyo pamoja na mazingira rafiki yanayomuwezesha kijana kupata elimu hiyo. Debora Frenk ni afisa mradi wa EPIC…