Chai FM

Habari za kitaifa

22 February 2022, 8:41 am

Ubovu wa barabara kikwazo katika maendeleo

RUNGWE -MBEYA Wafanyabiashara pamoja na wakazi wa kijiji cha Mpandapanda kilichopo kata ya Kiwira wilayani Rungwe ambapo wameeleza namna wanavyoshindwa kufanya maendeleo ya kiuchumi kutokana na uharibifu wa miundombinu ya barabara. wakibainisha hayo baadhi ya wakazi pamoja na  wafanyabiashara wamesema…

21 February 2022, 9:45 am

Jamii yatakiwa kutowatenga wagonjwa wa fistula

RUNGWE-MBEYA NA:BETRIDA ANYEGILE Wito umetolewa kwa jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya kuachana na dhana potofu juu ya ugonjwa wa Fistula kwani ugonjwa huo unatibika bure bila mgonjwa kugharamia gharama yoyote. Akizungumza kwa njia ya Simu na Chai FM Program manager…

21 February 2022, 8:14 am

Malezi mabaya kwa watoto chanzo cha matukio ya uhalifu

RUNGWE-MBEYA Malezi mabaya kwa watoto wilayani Rungwe Mkoani Mbeya imeelezwa kuwa chanzo cha matukio mbalimbali ya uhalifu ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia na mauaji. Ameyasema hayo Mch wa kanisa la Baptist Tukuyu mjini Mch. .HALLENCE MWASOMOLA, wakati akizungumza na redio chai…

20 February 2022, 5:08 pm

Wananchi wamshukuru Rais Samia fedha ujenzi shule ya sekondari

RUNGWE-MBEYA Umoja na ushirikiano  wa wakazi wa kata ya Msasani wilayani Rungwe umetajwa kuwa chanzo cha kumalizwa kwa ujenzi wa shule ya sekondari Msasani inayojengwa katika mtaa wa Bulongwe. Ameyasema hayo diwani wa kata ya msasani mh ROBIN MWAKAPESA, wakati…

16 February 2022, 10:03 am

Vijana wachangamkie mikopo ya halmashauri

RUNGWE-MBEYA. NA:JUDITH MWAKIBIBI Wananchi wilayani Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa  kujiunga na vikundi mbalimbali ilikuweza kunufaika na mikopo inayotolewa na Halmashauri ikiwa ni vikundi vya watu wenye ulemavu ,wanawake na vijana. Akizungumza na redio Chai FM ofisini kwake Mratibu Wa Dawati …

14 February 2022, 12:45 pm

Uhaba wa soko kilio wakulima wa ndizi Rungwe

RUNGWE-MBEYA Kukosekana kwa soko la uhakika la ndizi imetajwa kuwa sababu inayopelekea wakulima wa zao hilo kuuza mazao yao kabla ya wakati husika. Hayo yamezungumzwa na baadhi ya wakulima wilayani Rungwe  ambapo wamesema kuwa inawalazimu kuuza ndizi zao mashambani  kabla…

13 February 2022, 1:20 pm

Halmashauri ya Rungwe imekusanya mapato kwa asilimia 80%

Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Rungwe limefanya kikao kilichotoa taswira hali ya ukusanyaji mapato huku Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mhe. Mpokigwa Mwankuga akiwataka Madiwani pamoja na watendaji idara mbalimbali kuendeleza juhudi za kusimamia miradi na mapato…

10 February 2022, 12:10 pm

Wauguzi wajengewa uwezo kuhusu mdomo Sungura

MBEYA Mafunzo ya siku tatu kuwajengea uwezo wauguzi wa hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya yameanza rasmi ili kukabiliana na watoto wanaozaliwa mdomo wazi na mdomo sungura ili waweze kupatiwa matibabu mapema. Dkt Zackaria Amos ni Mkufunzi wa mafunzo hayo…

8 February 2022, 5:58 pm

Waandishi wawe chachu elimu dhidi ya vitendo vya ukatili

MBEYA Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Kaimu Afisa Elimu Mkoa Wilbrod Yanga amewataka Waandishi wa habari chipukizi ishirini na moja Mkoani Mbeya walionufaika na mradi wa SAUTI MPYA kuendeleza elimu waliyoipata baada ya mradi huo wa…

7 February 2022, 10:58 am

Wanafunzi waliomajumbani kwa changamoto za ujauzito warudi shule

MBEYA Serikali mkoani Mbeya kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewataka wanafunzi waliomajumbani kwa changamoto za ujauzito kurudi kuendelea na masomo kwa utaratibu ambao serikali imeupanga. Homera ameyasema  kuwa serikali ya awamu ya sita kupitia kwa Rais…