Uncategorized
14 February 2024, 5:38 pm
Bei elekezi kwa zao la parachichi Busokelo
Mkurugenzi wa halmashauri ya Busokelo Loema peter akisungumza kwenye kikao cha wadau wa parachichi Wadau na wakulima wameishukuru serikali kwa kutuoa bei elekezi ya parachichi kwani itamsaidia mwananchi wa kawaida. Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mtendaji wa Hamshauri ya Wilaya ya…
8 February 2024, 3:31 pm
Madiwani waonywa Rungwe
Wanasiasa wametakiwa kuwa msitari wa mbele kuwahamasisha wananchi katika shughuli za kimaendeleo ili kuimarisha uchumi wa mmojammoja na Taifa kwa ujumla. RUNGWE-MBEYA Na Lennox MwamakulaMkuu wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe Jaffar Hanniu amewataka wafanyabiashara kutopanga bidhaa zao kando ya…
17 December 2023, 10:59 am
Tulia asambaza ujumbe wa upendo kwenye jamii
katika kuhakikisha jamii inakuwa na usawa Taasisi ya Tulia Trust imeendelea kukipinda bendera ya yenye ujumbe wa upendo na kwa kuwatembelea watu wenye mahitaji mbalimbali wirayani Rungwe. Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Ttrust Joshua Mwakanolo akiwa na vijana pamoja…
23 November 2023, 10:18 am
Rungwe yakusanya 122.22% ya mapato robo ya kwanza
Elimu ya ulipaji wa kodi inayotolewa kwa jamii imeonesha matokeo chanya kwa baadhi ya halmashauri hapa nchini kwa kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Halmashauri ya wilaya ya Rungwe katika kipindi cha robo ya kwanza kuanzia…
18 August 2023, 12:21 pm
Ujenzi daraja mto Lufilyo mkombozi kwa wakazi wa Luteba, Lufilyo
Na Lennox Mwamakula Wananchi wa kata ya Luteba Halmashauri ya Busokelo wameonesha kufurahishwa na ujenzi wa daraja ambalo linaunganisha kata ya Luteba na Lufilyo. Akiongea katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Lulasi kata ya Luteba Mbunge wa Jimbo la…
8 May 2023, 8:22 am
uhaba wa chakula shuleni chanzo cha matokeo mabaya Busokelo
RUNGWE Na, Robert Mwakyusa Walimu wilayani Rungwe wameaswa kuwa na mbinu mpya za ufundishaji ili kuboresha ufaulu wa wanafunzi wa masomo ya sayansi. Hayo yamejili kwenye baraza la madiwani lililo fanyika mwishoni mwa juma katika ukumbi wa halmashuari ya Busokelo.…
20 December 2022, 11:18 am
Rungwe yavuka malengo chanjo ya Uviko-19
KIPINDI: Sikiliza kipindi cha mimi na afya yangu makala maalumu kuhusu Uvumi juu ya chanjo ya Uviko-19 wilayani Rungwe. sikiliza hapa sehemu ya kwanza .
19 May 2022, 2:22 pm
Mkurabita awa Mkombozi kwa wafanyabiashara
Wafanyabiashara Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wametakiwa kurasimisha shughuli zao za biashara ili kupanua wigo wa kuzifikia fursa mbalimbali ikiwa ni pamoja na urahisi wa kupata mikopo na leseni za biashara. Hayo yamejiri katika ufunguzi wa mafunzo ya kurasimisha biashara za…
22 April 2022, 1:03 pm
MH. ANTON MWANTONA ametoa vifaa ukarabati na ujenzi wa vyoo shule ya msingi Mab…
RUNGWE-MBEYA Mbunge wa Jimbo la Rungwe MH. ANTON MWANTONA ametoa msaada wa vifaa kwa ajiri ya ukarabati na ujenzi wa vyoo katika shule ya msingi Mabonde iliyopo kata ya Msasani wilayani Rungwe. Akimwakilisha Mbunge kukabidhi vifaa katibu wa mbunge wa…
15 April 2022, 11:34 am
Ukosefu wa pembejeo pamoja na vikundi tazizo wakulima wa Parachichi
RUNGWE-MBEYA Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dr.VICENT ANNEY amefanya ziara ya kuwatembelea wakulima wa mapachichi kwa lengo la kujua changamoto zinazowakabili katika zao hilo. Wakulima zao la palachichi wa kijiji cha Ibungila kata ya Malindo wameeleza changamoto zinazowakabili katika zao…