
Uvuvi

6 March 2025, 5:29 pm
Anusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba akioga
Anusurika kifo baada ya kushambuliwa na Mamba alipokwenda ziwani asubuhi, rafiki apanda juu ya mamba kunusuru ndugu yake. Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Baraka Jumanne Maseke mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Neruma kata…

February 3, 2025, 6:29 pm
Watendaji katika taasisi za utoaji haki watakiwa kuzingatia weledi wakati w…
Kilele cha Wiki ya Sheria ni kiashiria cha kuanza rasmi kwa shughuli za Mahakama ambapo kwa mwaka huu maadhimisho hayo yameongozwa na Kauli isemayo “Tanzania ya 2050, nafasi ya Taasisi zinazosimamia haki Madai katika kufikia malengo Makuu ya Dira ya…

10 January 2025, 5:12 pm
Wafanyabiashara Babati walalamika kuondolewa kwa vibanda vyao
Wajasiriamali wanaofanya shughuli zao katika hifadhi ya eneo la barabara kuu mjini Babati mkoani Manyara wamesema serikali ingewashirikisha na kuwapa mda wa kutafuta maeneo mengine kabla ya kuwaondoa kwenye maeneo hayo. Na George Agustino Kufuatia zoezi la kuwaondosha wajasiriamali wanaofanya…

26 December 2024, 10:52 am
Prof. Lyala asherehekea Krismas na wafungwa Magu
Wakirsto ulimwenguni kote husherekea sikukuu ya kuzaliwa bwana yesu Kristo kila mwaka tar 25,ambapo pia hufanya matendo mbalimbali ya hisani kwa jamii. Na,Elisha Magege Prof.Edwinus Chrisantus Lyaya amekabidhi kitoweo cha Ng’ombe kwa wafungwa katika Gereza la Magu ili washerekee sikukuu…

3 September 2024, 18:52
Madereva, makondakta Mbeya waomba kazi yao iheshimiwe
Sekta ya usafirishaji ni sekta inayotegemewa kwa kiwango kikubwa kutokana na uwepo wa sekta hiyo ajira nyingi zimetengenezwa licha ya uwepo wa changamoto wanazokutana nazo watendaji katika sekta hiyo. Na Hobokela Lwinga Baadhi ya maafisa usafirishaji na madereva wa daladala…

18 June 2024, 8:27 am
Umeme vijijini ulivyobadilisha maisha Geita
Na Adelina Ukugani: Karibu katika makala ya Tafakari Pevu, kipindi kinachokukutanisha wewe msikilizaji na kiongozi wako kujadili masuala mbalimbali yanayotatiza utekelezaji wa dhana ya utawala bora Mkoani Geita. Tafakari Pevu inatoa nafasi kwako kuibua changamoto katika eneo lako zinazokwamisha mikakati ya wananchi na viongozi kujiletea…

11 January 2024, 17:46
RC Dendego aingia kazini kusaka mamba Mtera
Na Moses Mbwambo,Iringa Ikiwa ni siku chache vyombo vya habari kuripoti tukio la mwananchi aliyeliwa na mamba katika bwawa la mtera lililopo kata ya migori, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego leo amefanya…

9 January 2024, 18:06
Shughuri za uvuvi zasitishwa ziwa Tanganyika
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Abdalah Ulega ametangaza rasmi kusitishwa kwa shughuli za uvuvi ndani ya Ziwa Tanganyika ili kulinda mazalia ya Samaki ambayo yanazidi kupotea huku akiwatoa hofu wavuvi kuhusu shughuli gani watakazofanya pale utekelezaji huu utakapoanza. Na,…

2 January 2024, 8:41 am
Wafanyabiashara wa samaki walia na ushuru njiani, Geita
Kilio kimeendelea kwa wafanyabiashara wa samaki kutozwa tozo kubwa wanawapokuwa njiani wakati wanataka kuzifikisha samaki hizo sokoni na kuamua kutoa ya moyoni. Na Zubeda Handrish- Geita Wafanyabiashara wa samaki katika soko la jioni (Joshoni) Nyankumbu mjini Geita, wamezungumzia changamoto ya…

20 November 2023, 13:55
Uchumi wa wavuvi Kigoma kuchochewa na vifaa vya kisasa walivyokabidhiwa
Baadhi ya wavuvi wanaofanya shughuli za uvuvi ndani ya Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma wanatarajia kujikwamua kiuchumi baada ya serikali kuwawezesha zana za kisasa za uvuvi ikiwemo boti 9 na vifaa vyake zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 500. Na,…