Uvuvi
30 Januari 2026, 11:18 mu
Mwedukenya aupiga mwingi kitongoji cha Laizer
Na Nyangusi Olesang’ida Mwenyekiti wa Kitongoji cha Laizer, kata ya Oligilai Mkoani Arusha Willguard Eliakimu Medukenya, amewataka wananchi wa Kata ya Oligilai kujitokeza kujiandikisha kwa Diwani wa Kata ili kupata huduma ya umeme kupitia mradi wa REA. Mwedukenya ametoa wito…
12 Januari 2026, 1:45 um
Wabunge Simiyu walia na ubovu wa miundombinu ya barabara
“Ndiyo kusema wakandarasi wanaojenga barabara za lami hawajui ni aina gani ya magari yanayotakiwa kutumia hiyo miundombinu au ndiyo kusema wanatimiza wajibu tu maana haiwezekani kila baada ya muda mchache tunaanza kuweka viraka hata barabara haijamaliza hata mwaka mmoja hapa…
Januari 5, 2026, 6:39 um
Walimu wakuu, tehama Mbozi wapata mafunzo ya SIS
Ni mafunzo ya mfumo wa School Information System. Na Devi Moses JUMLA ya walimu 110 kutoka Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wameshiriki mafunzo ya matumizi ya mfumo wa School Information System (SIS) yaliyofanyika ukumbi wa Shule ya Sekondari Vwawa Day. Mafunzo hayo…
5 Disemba 2025, 09:05
Nyavu haramu 197 zateketezwa Uvinza
Mkuu wa Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma Dinah Mathamani amesema wataendelea kufanya oparesheni ili kubaini na kukamata nyavu haramu zinazotumiwa na wavuvi ndani ya ziwa Tanganyika Na Mwandishi wetu Serikali wilayani Uvinza imeziteketeza nyavu haramu 197 katika Kijiji cha Rubengela kata…
9 Oktoba 2025, 9:48 um
Manyara watakiwa kuongeza thamani ya mbogamboga, mikunde
Wakulima mkoani Manyara wametakiwa kuongeza thamani ya mazao ya mbogamboga na mikunde kwa kutengeneza bidhaa mbalimbali zinazotokana na mazao hayo ili kupata masoko ya uhakika ya ndani na nje ya nchi badala ya kuuza mazao ghafi kwa bei ya chini.…
1 Septemba 2025, 15:27
Wachakataji mazao ya uvuvi ziwa Tanganyika walia na masoko
Serikali imesema itaendelea kuwasaidia wavuvi na wachakataji wa mazao ya uvuvi na kuwapatia masoko. Na Kadislaus Ezekie Wananchi mkoani Kigoma ambao wamejikita katika ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba kwa kufuga samaki aina ya sato wa Ziwa Tanganyika pamoja…
28 Julai 2025, 16:50 um
Makala: Mabadiliko ya tabianchi na athari za uchumi
“Tunatoa wito wa kuchukua hatua za pamoja, utunzaji wa miundombinu, kuboresha miundombinu, kuwahamisha watu kutoka maeneo hatarishi na kuimarisha elimu ya tabianchi“ Na Musa Mtepa, Mabadiliko ya hali ya hewa yanaathiri maisha ya Watanzania, hasa katika mikoa ya Kusini kama…
24 Julai 2025, 9:47 mu
Kutojua gharama kikwazo sekta ya utalii Katavi
Kimori Chiwa askari muhifadhi kitengo cha utalii hifadhi ya Taifa Katavi. Picha na Anna Mhina “Tumeweka gharama ndogo ili kila mtanzania aweze kuja kufanya utalii” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…
8 Juni 2025, 10:09 mu
Kipindi: Taka za plastiki chanzo kikuu mabadiliko ya tabianchi
Haya yalikuwa mahojiaono ya moja kwa moja studio na maafisa wa Mazingira kutoka Baraza la uhifadhi na utunzaji wa Mazingira NEMC kanda ya kusini siku ya june 5,2025 ikiwa ni siku ya Mazingira Duniani. Na Musa Mtepa Dunia inaendelea kuathirika…
6 Machi 2025, 5:29 um
Anusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba akioga
Anusurika kifo baada ya kushambuliwa na Mamba alipokwenda ziwani asubuhi, rafiki apanda juu ya mamba kunusuru ndugu yake. Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Baraka Jumanne Maseke mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Neruma kata…