Utamaduni
9 June 2025, 16:30
Jamii yatakiwa kuwalinda watu wenye ualbino dhidi ya ukatili
Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kuwalinda dhidi ya vitendo vya ukatili watu wenye ualbino huku wakitakiwa pia kuondokana na imani potofu za kishirikina kuhusu watu hao. Na Josephine Kiravu June 13 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya uelewa…
4 June 2025, 7:00 pm
GGML yasisitiza utunzaji wa mazingira Geita
Utunzaji na usafishaji wa mazingira Manispaa ya Geita umendeelea kupewa nguvu na wadau mbalimbali ili kukabiliana na changamoto ya magonjwa ya milipuko. Na Mwandishi Ester Mabula: Kuelekea katika kilele Cha siku ya Mazingira duniani Mgodi wa GGML kwa kushirikiana na…
3 June 2025, 2:46 pm
‘Mita tano usafi wangu, usafi wangu mita tano’ kuzingatiwa
Kilele cha wiki ya Mazingira Duniani hufanyika Juni 05 kila mwaka ambapo mwaka huu kaulimbiu ya siku ya mazingira ni mazingira yetu na Tanzania ijayo tuwajibike sasa dhibiti matumizi ya plastiki. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa jiji la Dodoma wamehimizwa…
31 May 2025, 2:49 pm
Wachafuzi wa mazingira kukiona cha moto Geita
Serikali wilaya ya Geita imesema haitawafumbia macho wananchi watakaobainika kuwa chanzo cha uchafuzi wa mazingira. Na: Kale Chongela: Kauli hiyo imetolewa leo Mei 31, 2025 na mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba akiwa katika mtaa wa Mwatulole uliopo…
20 May 2025, 16:30 pm
Wanawake viongozi wafunguka kuhusu nafasi zao katika siasa
Na Mwanaidi Kopakopa, Mwanahamisi Chikambu Wanawake walioko katika nafasi za uongozi wamesema kuwa nafasi wanazopewa kama madiwani au wabunge zinawajengea uwezo na kujiamini kugombea nafasi nyingine za juu za uongozi wa kisiasa. Katika makala haya, wanawake hao wameeleza kwa kina…
12 May 2025, 7:57 pm
Heche asisitiza No reform No elections akiwa Sengerema
Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema kinaendelea na oparesheni yake ya No reform No eleections,ambapo tayari imeshaanza kanda ya victoria yenye mikoa ya Kagera,Geita na Mwanza. Na Emmanuel Twimanye Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) bara John…
10 May 2025, 1:29 pm
DC Geita aipongeza Storm FM kuhamasisha kampeni ya usafi
Wilaya ya Geita imeendelea na kampeni ya usafi wa mazingira yenye lengo la kuweka manispaa kuwa safi sambamba na kuepuka magonjwa yatokanayo na uchafu. Na: Kale Chongela: Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba ameipongeza redio ya Storm FM…
5 May 2025, 1:55 pm
Sita wafikishwa ofisi ya mtaa kwa uchafu Mwatulole
Kampeni ya HYAGULAGA GEITA ikimaanisha SAFISHA/FAGIA GEITA imeendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali ikiwa sambamba na uhamasishaji wa usafi wa maeneo ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Watu sita wamefikishwa katika ofisi ya polisi jamii katika mtaa wa Mwatulole kata…
30 April 2025, 6:49 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kuboresha taarifa zao daftari la mpiga kura
Tume huru ya taifa ya uchaguzi (INEC) imetangaza siku saba za wananchi kuboresha taarifa za mpiga kura katika jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza. Na,Elisha Magege Afsa mwandikishaji jimbo la Sengerema Binuru Mussa Shekidele amewataka maafsa uandikishaji wanaotarajia kwenda kuanza kuboresha…
26 April 2025, 2:05 pm
Vinara wa uchafu kupewa bendera wilaya ya Geita
“Na tukikupa bendera hii maana yake wewe ndio unaturudisha nyuma kwenye suala la usafi na unatakiwa kubadilika” – Mkuu wa wilaya ya Geita Na: Kale Chongela: Serikali wilaya ya Geita imeadhimisha siku ya kumbukizi ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar…