Utamaduni
Juni 7, 2024, 9:11 mu
Wawili wachomwa moto kwa tuhuma za wizi Shinyanga
Vijana wawili waliofahamika kwa majina ya Bahati Dotto na Emma wakazi wa manispaa ya Shinyanga wamepigwa na wananchi wenye hasira kali na kisha kuchomwa moto hadi kupoteza maisha wakituhumiwa kujihusisha na matukio ya wizi. Tukio hilo limeteokea jana mtaa wa…
3 Juni 2024, 7:23 um
Maonesho ya siku ya mazingira yazinduliwa Jijini Dodoma
Urejeshaji wa ardhi iliyo haribiwa na ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kutumia Bunifu na Teknolojia mbalimbali za utunzaji wa mazingira ili kunusuru mazingira. Maonesho ya siku ya mazingira ambayo kitaifa yanafanyika hapa Jijini Dodoma…
21 Mei 2024, 1:30 um
Uhai wa viumbe hai unavyobebwa na uchavushaji
Na Mariam Kasawa.Kwa mujibu wa watafiti wanasema kuwa asilimia 80 ya uchavushaji unaonaofanywa na nyuki ni muhimu kwa viumbe hai kwani pasipo uchavushaji hakuna maisha. Mustakabali wa binadamu na mifumo ya ekolojia hutegemea uchavushaji takriban asilimia 80 ya spishi za…
30 Aprili 2024, 6:45 um
Kaulimbiu ya TEF yamkosha Naibu waziri mkuu
Hapo jana April 29 Jukwaa la wahaariri TEF lilizindua mkutano wa 13 hapa jijini Dodoma ambapo mgeni rasmi katika mkutano huo alikuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Dotto Biteko . Na Mariam Kasawa.Kaulimbiu ya mkutano wa…
25 Aprili 2024, 6:38 um
Gesi ya ukaa hatari kwa mazingira
Kuboresha na kutunza mazingira ardhini na baharini ni mojawapo ya mikakati mikuu ya kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa uzalishaji wa gesi ya ukaa usipopunguzwa kwa asilimia 7.6 kila mwaka dunia haitaweza kufikia nyuzijoto 1.5 za kiwango…
16 Aprili 2024, 10:21 mu
Ushiriki wa mwanamke katika kulinda, kutunza mazingira
Wakati mkutano wa 23 wa mabadiliko ya tabianchi wa Umoja wa Mataifa, COP 23, ukiingia wiki ya mwisho ya majadiliano mjini Bonn, Ujerumani, Rais wa mkutano huo alitangaza mpango wa utekelezaji wa kijinsia kwa kutambua nafasi ya wanawake katika suala…
27 Machi 2024, 5:38 um
Elimu ya utunzaji Mazingira yawanufaisha wanafunzi
Wadau wa mazingira wanasema vijana wanapaswa kutambua kwamba jukumu la utunzaji wa mazingira ni la kila mmoja katika jamii hivyo ni vema washiriki katika shughuli za utunzaji wa mazingira. Na Mariam Kasawa. Elimu ya utunzaji mazingira na kilimo inatajwa kuwanufaisha…
26 Machi 2024, 8:11 um
Wasomi watakiwa kuwa mfano upandaji wa miti
Hapa nchini kampeni nyingi za upandaji miti zimekuwa zikianzishwa na kutekezwa na wadau mbalimbali pamoja na wadau wa mazingira ili kuunga mkono juhudu za raisi wa Tanzania mama Samia Suluhu za kutaka mazingira Bora kwa wananchi. Na Mariam Kasawa.Wasomi na…
26 Machi 2024, 7:13 um
Utupaji wa taka ngumu katika mifumo ya maji taka wachangia kuziba kwa mifumo
Mhandishi Aron Joseph akiwa sambamba na wataalamu kutoka Mamlaka hiyo na Viongozi wa kata hiyo kufanya Ziara katika mtaa huo ambao unakabiliwa na changamoto ya kuziba kwa mifumo ya maji taka . Na Seleman Kodima.Utupaji taka ovyo katika mifumo ya…
19 Machi 2024, 6:20 um
Endeleeni kuitekeleza kampeni ya mita tano usafi wangu usafi wangu mita tano
Kimaro amewataka wananchi kutii sheria bila shuruti kwani sheria ndogo ya jiji la Dodoma inasema mtu asipo jitokeza kwenye usafi wa eneo lake la makazi , taasisi na biashara, faini yake ni kati ya shilingi 50,000-200,000 au kifungo kisichozidi miezi…