Radio Tadio

Utamaduni

30 Januari 2026, 2:29 um

Wananchi Mnase waomba elimu zaidi ya nishati safi

Picha ni Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akifungua  Baraza Kuu la 55 la Wafanyakazi wa TANESCO. Picha na Wizara ya Nishati. Serikali imeweka malengo ya kuhakikisha angalau 80 % ya kaya za Tanzania zinatumia nishati safi ya kupikia kufikia…

28 Januari 2026, 12:38 um

Wananchi wahimizwa kuwa na utaratibu wa kupanda miti

Picha ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Dodoma, Sakina Mbugi akipanda mti katika shule ya msingi Mbwanga, jijini Dodoma. Picha na Lilian Leopold. Zoezi la upandaji wa miti limefanyika katika maeneo mbalimbali ya jiji ikiwemo shuleni, taasisi za umma na…

21 Januari 2026, 4:11 um

Nyankumbu yazindua kampeni ya upandaji wa miti laki tano

Siku ya kwanza ya uzinduzi wa zoezi hili imepandwa miti zaidi ya 10,000 katika taasisi za umma na binafsi pamoja na majumbani. Na Mrisho Sadick: Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita, imezindua kampeni maalum ya upandaji wa miti…

16 Januari 2026, 12:05 um

Kampeni ya kukijanisha Dodoma yawafikia wananchi Nala

Zoezi hilo ni sehemu ya kampeni kubwa ya serikali ya kuikijanisha Dodoma kwa kupanda miti. Na Lilian Leopold. Katika jitihada za kuufanya mkoa wa Dodoma kuwa wa kijani na kustawisha mazingira, zoezi la ugawaji wa miche ya matunda na kivuli…

7 Januari 2026, 4:48 um

Serikali Manyara yawataka wananchi kutovamia maeneo ya wazi

Serikali mkoani Manyara imewataka wananachi mkoani Manyara  kutovamia maeneo yaliyotengwa na serikali kwa ajili ya shughuli maalum ili kuepuka migogoro ambayo imekuwa ikitokea. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Kamishna wa ardhi mkoa wa Manyara Wensilaus Mtui wakati…

Januari 5, 2026, 6:39 um

Walimu wakuu, tehama Mbozi wapata mafunzo ya SIS

Ni mafunzo ya mfumo wa School Information System. Na Devi Moses JUMLA  ya walimu 110 kutoka Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wameshiriki mafunzo ya matumizi ya mfumo wa School Information  System (SIS) yaliyofanyika ukumbi wa Shule ya Sekondari Vwawa Day. Mafunzo hayo…

2 Januari 2026, 3:38 um

Dodoma yaendelea kupiga hatua kampeni ya upandaji miti

“Ndugu zangu, miti ina faida nyingi tuitikie wito huu. Dhamira ya mheshimiwa rais wetu ni njema sana ndio maana aliwaagiza TFS kuandaa miche kila mwaka na kugawia wananchi bure ili waipande hali itakayohamasisha wengine kupenda mazingira na kupanda miti” alisema…

15 Disemba 2025, 3:51 um

Wananchi wahimizwa kutunza mazingira

Utunzaji wa mazingira ni muhimu katika jamii hususani utunzaji wa milima. Na Farashuu Abdallah. Wananchi wamehimizwa kutunza mazingira ili kuepuka athari hasi zinazoweza kutokea katika jamii. Wito huo umetolewa na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini halmashauri ya jiji la…

11 Disemba 2025, 5:19 um

Umuhimu wa milima katika mazingira

Na Farashuu Abdallah.Kila Desemba 11 ni maadhimisho ya Siku ya Milima Duniani ambayo lengo lake ni kuhamasisha ulimwengu kuhusu umuhimu wa milima kwa maisha ya binadamu, mazingira na maendeleo endelevu. Farashuu Abdallah amezungumza na baadhi ya wananchi mkoani Dodoma ili…