Utamaduni
19 Febuari 2026, 4:24 um
Wakazi wa Idilo walia na uharibifu wa mazingira
Viongozi wa eneo hilo wamelalamikiwa kushidwa kuwachukulia hatua wahusika wa uharibifu wa mazingira hayo. Na Steven Noel. WAKAZI WA Kitongoji cha Mcheula Kijiji cha Idilo kata ya Mazae wilaya ya Mpwapwa wamelalamikia matokeo ya uharibifu wa Mazingira Katika milima ya…
16 Febuari 2026, 11:46 um
Je unajua yalipo mafanikio yako?
“Hapo mwanzo tulikuwa tumepanga lakini baada ya migogoro yetu kuisha tumejenga nyumba na tumenunua shamba.“ Na Cosmas Clement Uwezo wa wanandoa kushughulikia migogoro baina yao imetajwa kuwa chachu ya kuwawezesha kupiga hatua za maendeleo katika familia zao. Hayo yamesemwa na…
10 Febuari 2026, 12:14 um
Nyumba zilizopanda miti Iyumbu zakabidhiwa vyeti
Amewasisitiza wananchi kuzingatia sheria ya kuzuia mifugo kuzurura ovyo mitaani kwnai inachangia kwa kiasi kikubwa uharibifu wa mazingira. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amekabidhi vyeti kwa kaya zilizofanya vizuri kwenye zoezi la upandaji miti nyumba…
30 Januari 2026, 2:29 um
Wananchi Mnase waomba elimu zaidi ya nishati safi
Picha ni Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akifungua Baraza Kuu la 55 la Wafanyakazi wa TANESCO. Picha na Wizara ya Nishati. Serikali imeweka malengo ya kuhakikisha angalau 80 % ya kaya za Tanzania zinatumia nishati safi ya kupikia kufikia…
28 Januari 2026, 12:38 um
Wananchi wahimizwa kuwa na utaratibu wa kupanda miti
Picha ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Dodoma, Sakina Mbugi akipanda mti katika shule ya msingi Mbwanga, jijini Dodoma. Picha na Lilian Leopold. Zoezi la upandaji wa miti limefanyika katika maeneo mbalimbali ya jiji ikiwemo shuleni, taasisi za umma na…
21 Januari 2026, 4:11 um
Nyankumbu yazindua kampeni ya upandaji wa miti laki tano
Siku ya kwanza ya uzinduzi wa zoezi hili imepandwa miti zaidi ya 10,000 katika taasisi za umma na binafsi pamoja na majumbani. Na Mrisho Sadick: Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita, imezindua kampeni maalum ya upandaji wa miti…
16 Januari 2026, 12:05 um
Kampeni ya kukijanisha Dodoma yawafikia wananchi Nala
Zoezi hilo ni sehemu ya kampeni kubwa ya serikali ya kuikijanisha Dodoma kwa kupanda miti. Na Lilian Leopold. Katika jitihada za kuufanya mkoa wa Dodoma kuwa wa kijani na kustawisha mazingira, zoezi la ugawaji wa miche ya matunda na kivuli…
7 Januari 2026, 4:48 um
Serikali Manyara yawataka wananchi kutovamia maeneo ya wazi
Serikali mkoani Manyara imewataka wananachi mkoani Manyara kutovamia maeneo yaliyotengwa na serikali kwa ajili ya shughuli maalum ili kuepuka migogoro ambayo imekuwa ikitokea. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Kamishna wa ardhi mkoa wa Manyara Wensilaus Mtui wakati…
Januari 5, 2026, 6:39 um
Walimu wakuu, tehama Mbozi wapata mafunzo ya SIS
Ni mafunzo ya mfumo wa School Information System. Na Devi Moses JUMLA ya walimu 110 kutoka Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wameshiriki mafunzo ya matumizi ya mfumo wa School Information System (SIS) yaliyofanyika ukumbi wa Shule ya Sekondari Vwawa Day. Mafunzo hayo…
2 Januari 2026, 3:38 um
Dodoma yaendelea kupiga hatua kampeni ya upandaji miti
“Ndugu zangu, miti ina faida nyingi tuitikie wito huu. Dhamira ya mheshimiwa rais wetu ni njema sana ndio maana aliwaagiza TFS kuandaa miche kila mwaka na kugawia wananchi bure ili waipande hali itakayohamasisha wengine kupenda mazingira na kupanda miti” alisema…