Radio Tadio

Utamaduni

3 December 2025, 3:28 pm

Waokota taka rejeshi kuboreshewa mazingira ya kazi

Licha ya uokotaji taka kuwa chanzo cha kipato kwao, mchango wao katika kuweka mazingira katika hali ya usafi umeendelea kutambuliwa na wadau wa mazingira. Picha na Google. Hatua nyingine ni kuhakikisha waokota taka wanapatiwa vitambulisho rasmi vitakavyowatambua na kutambua kazi…

25 November 2025, 3:22 pm

‘Waokota taka rejeshi wapewe heshima na jamii’

Ikumbukwe kwua Kazi ya ukusanyaji taka rejeshi imeelezwa kuwa ni sehemu muhimu ya uhifadhi wa mazingira na chanzo cha mapato kwa watu wengi, hivyo jamii inapaswa kuondoa dhana hasi na kutambua mchango wa wahusika wa kazi hiyo. Na ;Anwary Shaban.Jamii…

24 October 2025, 8:47 pm

Serikali yalipa fidia bilioni 2.9 Manyara

Kaya (28) za maeneo ya Msasani Maisaka A na Maisaka Kati Wilayani Babati, mkoa wa Manyara zimelipwa fidia ya bilioni 2.9 baada ya maeneo yao kuchukuliwa  na serikali kwa matumizi ya huduma za kijamii. Na Mzidalfa Zaid Taarifa ya malipo…

22 October 2025, 6:51 pm

SAU Kushughulikia changamoto za afya na barabara Buchosa

Kampeni kuelekea uchaguzi mkuu zinaendelea maeneo mbalimbali ya nchi ambapo wagombea watoa ahadi ili wachaguliwe october 29 2025 Na,Mwandishi wetu Mgombea ubunge jimbo la Buchosa kwa chama cha Sauti ya umma (SAU) Bi.Consolatha Cleophance Mtalyantula ameahidi kutatua changamoto za barabara…

12 October 2025, 5:02 pm

Mgombea CHAUMMA aahidi kuleta maendeleo Buchosa

Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025 chama cha CHAUMMA kimeendelea na kampeni zake za kusaka kura kwa wananchi, kwa kuelezea sera na irani ya chama hicho. Na,Mwandishi wetu Mgombea ubunge jimbo la Buchosa kupitia chama cha Ukombozi wa umma (CHAUMMA) Ester…

29 September 2025, 2:13 pm

Uzembe kisheria unavyoharibu mazingira Dodoma sehemu ya 2

Utupaji wa taka ovyo unatajwa kuharibu mazingira kwa kiasi kikubwa kwa kusababisha taka nyingi kusambaa ovyo. Na Mariam Kasawa. Msikilizaji, leo tunazungumzia Kutotekelezwa kwa sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 sura 20 kufungu cha 114-116 kumesababisha kulundikana kwa…

26 September 2025, 2:14 pm

Uzembe kisheria unavyoharibu mazingira Dodoma

Msikilizaji, leo tunazungumzia Kutotekelezwa kwa sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 sura 20 kufungu cha 114-116 kumesababisha kulundikana kwa taka za majumbani katika mitaa ya Chanagnyikeni, Kibaoni na St Gemma katika kata ya Miyuji Jijini Dodoma. Na Mariam…

14 August 2025, 5:40 pm

Yafahamu maua kwa ishara ya usafi na uwiano wa asili

Ethaning Flowers wanaamini kuwa utunzaji wa mazingira na maua ni mambo yanayoshirikiana kwa karibu. Na Lilian Leopold. Katika ulimwengu wa leo unaokabiliwa na changamoto za mabadiliko ya tabianchi na uchafuzi wa mazingira, Ethaning Flowers wamejipambanua kama taasisi inayothamini uzuri na…