Uchumi
Agosti 22, 2025, 12:42 um
Mjadala mkali waibuka Songwe kuhusu maana ya ilani za vyama
Baadhi ya wakazi wa Songwe wameeleza uelewa wao kuhusu ilani za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu, huku wanasiasa waandamizi wakifafanua maana halisi ya ilani. Na Mkaisa Mrisho Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Songwe wamezungumzia uelewa wao kuhusu kitu…
Agosti 9, 2025, 9:12 um
DC Mbozi atoa onyo kali kwa wavunjifu wa amani kipindi cha uchaguzi
viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini na wadau wengine wa uchaguzi wamekutana Mbozi kuweka mikakati ya kuhakikisha uchaguzi mkuu unafanyika kwa amani na haki, huku DC Hamad Mbega akitoa onyo kali kwa wavunjifu wa amani Na Stephano Simbeye…
23 Julai 2025, 6:38 um
Ubalozi wa amani PPA Kagera wanolewa
Taasisi ya Ubalozi wa Amani Mkoa wa Kagera ni moja kati ya taasisi makini zinazoamini katika huduma bora baada ya kupata mafunzo maalum kuhusu mbinu za ulinzi wa amani nchini Theophilida Felician Wanachama wa taasisi ya ubalozi wa amani PPA…
Julai 17, 2025, 2:03 um
Siwale aweka historia ya kugombea Urais kutoka Songwe
Mzee Siwale (80) kutoka Mbozi, Songwe, achukua fomu ya urais kupitia CUF, akiweka historia ya kuwa mgombea wa kwanza kutoka mkoa huo. Na Stephano Simbeye Mwanachama wa Chama cha Wananchi CUF kutoka wilaya ya Mbozi, mkoa wa Songwe, Nkunyuntila Siwale…
20 Juni 2025, 8:07 um
NGOs zatakiwa kufanya kazi kwa kufuata utaratibu
Uwepo wenu ni chachu kubwa ya maendeleo tunazo NGO’s zisizopungua 48 zingine hazitambuliwi. Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mashirika yasiyo ya kiserikali Wilaya ya Kilombero wamekutana leo katika kikao cha Jukwaa hilo kujadili tathmini ya mchango wao kwa Serikali na jamii,…
27 Mei 2025, 4:03 um
Maonesho ya biashara na viwanda yakuza uchumi Kilolo
Maonesho ya Biashara na Viwanda yaliyofanyika Wilaya ya Kilolo yameonesha kuwaleta pamoja wadau mbalimbali wa sekta hizo ili kukuza soko. Na Joyce Buganda Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Mhe. Rebecca Nsemwa Sanga amewapongeza chemba ya biashara viwanda na Kilimo TCCIA…
22 Mei 2025, 5:00 um
Wilaya ya Kati kinara matukio ya ukatili wa kijinsia Zanzibar
Berema Nassor. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar imesema idadi ya matukio ya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia kwa mwezi Aprili yameongezeka kwa asilimia 30.8 hadi kufikia matukio 102 kwa mwezi wa April 2025 kutoka matukio 78 kwa mwezi…
4 Aprili 2025, 8:21 um
I.P.I yajizatiti kulinda amani kwenye uchaguzi
Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupanda nchini wananchi wametakiwa kuungana pamoja kudumisha na kulinda amani wakati wa uchaguzi huo Na Theophilida Felician. Taasisi ya umoja wa amani kwanza nchini I.P.I imeeleza kuwa katika kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu wa…
30 Machi 2025, 8:46 um
Afariki kwa kupigwa kichwani Hanyengwa mchana
Na Mary Julius. Jeshi la Mkoa wa kusini unguja limesema mtu mmoja, amefariki dunia kwa kupigwa na kitu butu kichwani huko Hanyengwa, wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja.Akizungumza na zenji fm Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kusini Unguja…
27 Machi 2025, 1:58 um
Mtoto wa miaka 14 ambaka mtoto wa mwaka mmoja na nusu
Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kubaka watoto katika matukio mawili tofauti.Akizungumza na waandishi wa habari huko Tunguu, Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Kusini Unguja Kamanda wa Polisi Mkoa…