Radio Tadio
13 Mei 2021, 10:39 mu
Na; Yussuph Hans. Waandishi wa Habari wa Redio za kijamii Nchini wametakiwa kutumia malengo ya maendeleo endelevu ya 2030 katika kuibua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii zao kwa lengo la kuleta ufumbuzi. Hayo yamesemwa na Afisa Programu wa shirika la…
16 Aprili 2021, 12:42 um
Na; Benard Filbert. Wito umetolewa kwa waandishi wa habari nchini kutumia kalamu zao ili kuhamasisha maendeleo ya Nchi na si vinginevyo. Wito huo umetolewa na msemaji mkuu wa serikali na mkurugenzi wa idara ya habari maelezo Mh. Gerson Msigwa wakati…