Siasa
16 Disemba 2025, 5:47 um
RC Sendiga azindua Clinik ya madaktari bingwa Mbulu
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amezindua clinik ya madaktari bingwa ya magonjwa ya binadamu katika halmashauri ya mji Mbulu ili kuwasaidia wananchi kupunguza kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya za kibingwa Na Emmy Peter Sendiga amezindua kliniki…
10 Disemba 2025, 21:16 um
Wananchi kuchangia 2,000 kumleta mganga wa asili kijijini
Wananchi wa Kitongoji cha Nunu, Msakala, wameamua kuchangia shilingi 2,000 kwa kila nyumba ili kumleta mganga wa jadi baada ya hofu ya “mlipuko wa ugonjwa wa moyo.” suluhisho Na Musa Mtepa Katika hali ya kushangaza, wananchi wa kitongoji cha Nunu…
5 Disemba 2025, 2:03 um
Moto wa ajabu wateketeza samani za ndani Geita
Hakuna madhara ya kibinadamu kwakuwa jitihada kubwa zilifanyika kuuzima moto huo kwa kushirikiana na majirani. Kale Chongela: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vitu vya ndani katika chumba cha Bw. David Pankras, mkazi wa Mtaa wa Nyantorotoro A Kata ya…
24 Novemba 2025, 6:44 um
Wananchi waaswa kushiriki mbio za utalii, mazingira
Wanaotaka kushiriki Serengeti Safari Marathon walipie mix by yas shilingi 45 kwa mbio za kilometa 5,21 na 42. Na Catherine Msafiri, Yas wamesema wataendelea kudhamini shughuli mbalimbali za kijamii ikiwa ni Sehemu ya kurudisha shukurani kwa wateja wao. Hayo yamesemwa…
27 Oktoba 2025, 14:36
RC Sirro atembelea wakazi waliopisha hifadhi Kasulu
Serikali imesema itahakikisha inapeleka huduma zote muhimu kwa wananchi waliohama kupisha hifadhi ya kitalu cha uwindaji Makere – Uvinza na kuanza makazi mapya katika kitongoji cha Katoto Wilayani Kasulu Na Mwandishi wetu Zaidi ya wakazi 800 wamehamisha makazi yao kutoka…
17 Oktoba 2025, 8:18 mu
Wahanga wa bili kubwa za maji Terrat waeleza changamoto
Na Isack Dickson Wakazi wa Kijiji cha Terrat, Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wanakabiliwa na changamoto ya kupokea bili za maji ambazo hazilingani na matumizi yao halisi, huku wakidai kuwa bei hizo ni kubwa na zinawatesa. Baadhi yao wanasema kuwa bili…
13 Oktoba 2025, 14:49 um
Kijiji chaingiwa hofu ya ushirikina mkoani Mtwara
Taharuki yatanda Magomeni Nyasi baada ya kugunduliwa kifaa kisichojulikana chenye hirizi, kinachodhaniwa kuhusika na imani za kishirikina. Wakazi wataka uchunguzi wa kina kufuatia ongezeko la matukio ya aina hiyo kijijini Na Musa Mtepa Mtwara –Wakazi wa kijiji cha Magomeni Nyasi,…
12 Oktoba 2025, 1:48 um
TAWA yaweka mikakati kukabili wanyamapori wakali
Bw. Lusato Masinde, amesema ongezeko la migongano kati ya binadamu na wanyamapori linachangiwa na upanuzi wa makazi ya binadamu, mabadiliko ya tabianchi, pamoja na uharibifu wa mazingira ya asili ya wanyama hao. Na Catherine Msafiri Wakala wa Huduma za Wanyamapori…
8 Oktoba 2025, 5:49 mu
Picha: Ajali yaua mmoja, kujeruhi wengine Geita
Licha ya elimu na jitihada mbalimbali zinazofanywa kuzuia ajali za barabarani, bado matukio ya ajali yamekuwa yakitokea na kupelekea vifo, majeruhi pamoja na uharibifu wa mali. Na: Mrisho Sadick Mtu mmoja amefariki Dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia ajali ya…
3 Oktoba 2025, 12:25 um
Elimu juu ya madhara ya mila ya ukeketaji sehemu 2
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…