![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Siasa
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/17/2023/07/whatsapp-image-2023-04-07-at-114859-am-1-350x350.jpeg )
February 10, 2025, 5:40 pm
Mbaroni kwa kuiba mtoto wa siku 1 Kahama
Wanawake kuwa makini na watu wanaojitokeza kama ndugu au marafiki baada ya kujifungua kufuatia uwepo wa matukio mengi ya wizi wa watoto na kutoa rai kwa wananchi kuwa wizi wa watoto ni kosa la jinai na hatua kali za kisheria…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/14/2025/01/img-20250129-wa0022-350x350.jpg )
31 January 2025, 4:12 pm
Mkurugenzi TECTO community aelezea fursa za ajira kupitia utalii kanda ya ziwa
“Kanda ya ziwa inavivutio vingi vya utalii mbavyo ni fursa Katika kutatua tatizo la ukosefu wa ajira nchini” Na Catherine Msafiri, Mkurugenzi wa TECTO community company Bw.Juma Elias Elias ameeleza kuwa Kanda ya ziwa Kuna fursa nyingi zinazowezakupunguza tatizo la…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/4/2024/12/picha-za-makungwi-1-350x350.jpg )
31 December 2024, 14:25 pm
Mila, desturi katika jando na unyago kwa watoto Mtwara
Na Mwanahamisi Chikambu na Gregory Millanzi Jando na Unyago ni mila na desturi muhimu zinazopatikana katika jamii nyingi za Tanzania na Afrika Mashariki. Sherehe hizi za mpito ni sehemu ya mchakato wa kuwafunda vijana wanaoingia utu uzima. Jando:Sherehe hii…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/13/2024/12/2-350x350.jpg )
19 December 2024, 4:35 pm
Sotta Mining Sengerema kuanza ujenzi January 2025
Mradi wa uchimbaji mkubwa wa dhahabu uliopo Nyanzaga-Sengerema unatarajiwa kuanza kazi za awali za ujenzi wa mgodi ifikapo Januari, 2025. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazokuja kutokana na mgodi wa Sotta Mining Ltd unaotarajia…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/11/img-20241118-wa0201-350x350.jpg )
18 November 2024, 9:00 pm
Manyara kuanzisha kliniki ya madaktari bingwa
Mkoa wa Manyara unatarajia kuzindua zoezi la utoaji Huduma za kliniki maalamu za Madaktari Bingwa wa Ndani ya Mkoa Wa Manyara Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema mkoa wa Manyara umeanzisha kliniki ya kwanza ya…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/13/2024/10/img-20241011-155833-343-350x350.jpg )
13 October 2024, 12:01 pm
Mavunde awatuliza wananchi mgodi wa Sota Sengerema
Mgodi wa dhahabu wa SOTA GOLD Mining uliopo kata ya Igalula wilayani Sengerema mkoani Mwanza unatarajiwa kuanza uzalishaji mwakani 2025, ambapo kwasasa wameaanza madalizi ya ujenzi wa Mgodi huo,ikiwemo kuwahamisha wananchi wenye maeneo yanayo pakana na eneo la mgodi huo.…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/10/img-20241008-084437-849-350x350.jpg )
9 October 2024, 9:48 am
Watishia kufunga barabara kutokana na mwendokasi wa bodaboda
Matukio ya ajali zinazosababishwa na mwendokasi wa baadhi ya madereva yawakera wananchi waishio maeneo ya Msufini mtaa wa Msalala road mjini Geita. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi wa maeneo ya Msufini Mtaa wa Msalala Road Halmashauri ya…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/10/img-20241003-113312-796-350x350.jpg )
7 October 2024, 9:52 am
Wananchi wahofia kupita daraja la Katundu nyakati za usiku
Uwepo wa daraja la Katundu ambalo linatumiwa na wananchi mbalimbali umepelekea hofu kwa baadhi ya wananchi kutokana na baadhi ya vijana kukaa hasa nyakati za usiku. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi halmashauri ya mji wa Geita wanaoutumia…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/09/baada-ya-mtoto-kufariki-kisimani-ndugu-na-majirani-watoa-lawama-kwa-wamiliki-wa-visima-youtube-and-5-more-pages-profile-1-microsoft-edge-350x350.jpg )
26 September 2024, 10:17 pm
Mtoto (3) afariki dunia kwa kutumbukia kisimani Geita
Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu amefariki dunia kwa kutumbukia katika kisima baada ya kudaiwa kutoweka nyumbani na kisha kukutwa ndani ya kisimani. Na: Ediga Rwenduru – Geita Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu aliyetambulika kwa jina la Junior Mussa…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/09/pichaa-350x350.jpg )
24 September 2024, 7:26 pm
Anastazia aliyevunjika mgongo bado anaomba msaada
Mkazi wa Geita na Tanzania tuungane kwa mara nyingine tena kuendelea kumsaidia Anastazia kwakuwa pesa ulizojitoa kumchangia nakupata nafasi ya kupata matibabu katika Hosptali ya Bungando Jijini Mwanza zimeisha namba ya msaada ni 0756397026. Na Mrisho Sadick: Siku zote hatuwezi…