Siasa
17 Febuari 2026, 20:09 um
Paka wa ajabu aibua taharuki Mtwara vijijini
Wananchi wa kitongoji cha Shangani, Nangumi, wamekumbwa na taharuki baada ya paka kupatikana amekufa na kuvalishwa hirizi katika nyumba ya mkazi mmoja. Tukio hilo limeibua hofu na maswali, huku viongozi wa kijiji wakieleza kusikitishwa na hali hiyo isiyo ya kawaida…
17 Febuari 2026, 6:26 um
Jinsi vyeo, nafasi za uongozi zinavyoumiza wananchi
“Mimi baada ya mafunzo haya nitakaa na vijana wangu pale ofisini ili niwaeleze njia sahihi za matumizi ya vyeo na nafasi zetu“ Na Cosmas Clement Matumizi yasiyo sahihi ya vyeo na nafasi kwa viongozi vimetajwa kuwa miongoni mwa mikwamo ya…
27 Januari 2026, 8:32 um
TANAPA Kanda ya Magharibi wapanda miti 7000 birthday ya Rais Samia
Jumla ya miti elfu 7 imepandwa katika hifadhi zote zilizopo kanda ya magharibi Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kupanda miti na kutunza mazingira ili kupunguza athari za mabadiriko ya tabia ya nchi. Hayo yamesemwa leo Jan 27, 2026…
27 Januari 2026, 08:04
ENABEL yakabidhi vifaa kwa vijana wanaoishi mazingira magumu Kigoma
Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kijitokeza na kuwasaidia vijana wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kufikia ndoto zao Na Mwandishi wetu Shirika la Maendeleo la watu wa Ubelgiji (Enabel) kupitia Programu ya wezesha binti, limekabidhi vifaa mbalimbali…
22 Januari 2026, 7:10 um
Kambi ya madaktari bingwa kuanza Januari 26 Manyara
Wizara ya afya chini ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya rufaa Kanda ya Mbeya pamoja na shirika la KCCO wameandaa kambi ya madaktari bingwa maalumu wa mifupa ,pua, sikio,koo na macho itakayofanyika mkoani…
15 Januari 2026, 4:39 um
Wazikimbia nyumba kisa moto wa ajabu Geita
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni tukio hilo la kushangaza limewaacha wakazi wa mtaa huo katika hali ya taharuki. Na Mrisho Sadick: Moto wa ajabu umezikumba familia mbili katika mtaa wa Nyantorotoro Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita Mkoani Geita…
16 Disemba 2025, 5:47 um
RC Sendiga azindua klinik ya madaktari bingwa Mbulu
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amezindua clinik ya madaktari bingwa ya magonjwa ya binadamu katika halmashauri ya mji Mbulu ili kuwasaidia wananchi kupunguza kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya za kibingwa Na Emmy Peter Sendiga amezindua kliniki…
10 Disemba 2025, 21:16 um
Wananchi kuchangia 2,000 kumleta mganga wa asili kijijini
Wananchi wa Kitongoji cha Nunu, Msakala, wameamua kuchangia shilingi 2,000 kwa kila nyumba ili kumleta mganga wa jadi baada ya hofu ya “mlipuko wa ugonjwa wa moyo.” suluhisho Na Musa Mtepa Katika hali ya kushangaza, wananchi wa kitongoji cha Nunu…
5 Disemba 2025, 2:03 um
Moto wa ajabu wateketeza samani za ndani Geita
Hakuna madhara ya kibinadamu kwakuwa jitihada kubwa zilifanyika kuuzima moto huo kwa kushirikiana na majirani. Kale Chongela: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vitu vya ndani katika chumba cha Bw. David Pankras, mkazi wa Mtaa wa Nyantorotoro A Kata ya…
24 Novemba 2025, 6:44 um
Wananchi waaswa kushiriki mbio za utalii, mazingira
Wanaotaka kushiriki Serengeti Safari Marathon walipie mix by yas shilingi 45 kwa mbio za kilometa 5,21 na 42. Na Catherine Msafiri, Yas wamesema wataendelea kudhamini shughuli mbalimbali za kijamii ikiwa ni Sehemu ya kurudisha shukurani kwa wateja wao. Hayo yamesemwa…