Mawasiliano
27 Juni 2023, 6:28 um
Serikali yaondoa tozo miamala ya kutuma fedha kwa njia ya simu
Mkoa wa Dodoma umebahatika kupata minara 36 huku 6 ikijengwa na Vodacom. Na Mindi Joseph. Serikali imeondoa tozo kwenye miamala ya kutuma fedha katika mitandao mbalimbali ya simu ili kuondoa adha kwa watazania. Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na…
7 Juni 2023, 10:59 mu
Mafunzo uongozi yatolewa Katavi
KATAVI Maafisa tarafa na watendaji wa kata mkoa wa Katavi wametakiwa kutekeleza majukumu ya serikali katika maeneo yao. Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akimwakilisha mkuu wa mkoa wa Katavi wakati wa utolewaji wa mafunzo ya…
15 Mei 2023, 7:34 um
Waandishi wa Habari Katavi, Kazi Iendelee
KATAVI Waandishi wa Habari Mkoa wa Katavi wameaswa kuendelea kuhabarisha mambo yanayofanywa na serikali katika sekta Mbalimbali ili wananchi wafahamu namna serikali inanyo sogeza huduma hizo kwa Wananchi. Deodatus Kangu Afisa utumishi wa Manispaa ya Mpanda aliye Mwakilisha Msitahiki meya…
8 Machi 2023, 11:19 mu
TASAC labainisha kutekeleza miongozo inayotolewa na serikali
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa linatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA). Na Mindi Joseph. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa inatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) katika…
21 Febuari 2023, 2:25 um
Kuibuka kwa wimbi kubwa la matapeli kwa njia ya mitandao ya simu
Kuibuka kwa wimbi kubwa la matapeli kwa njia ya mitandao ya simu ,imetajwa kusababisha baadhi ya watu kupoteza fedha na mali kwa watu wasiojulikana. Na Victor Chigwada. Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya Habari kuzungumza na Baadhi ya wananchi wa…
11 Novemba 2022, 5:24 mu
Kauli ya Nape malalamiko ya kupunjwa ‘bando’
Waziri wa Mawasiliano Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape amesema wizara yake imeiagiza Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) kuwaita watoa huduma baada ya kutokea sintofahamu ya bei ya vifurushi. Spika Dk Tulia Ackson amemtaka Waziri huyo kufafanua uwepo wa utata…
27 Oktoba 2022, 10:35 mu
Wakazi wa Gulwe wakosa mawasiliano ya simu
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya mawasiliano katika Kijiji Cha Gulwe imeendelea kuwaathiri wananchi kutokana na uhaba wa minara ya mitandao ya simu. Wananchi hao wa Gurwe wamesema kuwa wamekuwa wakipata wakati mgumu wanapo hitaji kufanya mawasiliano kwa njia ya simu…
25 Oktoba 2022, 4:02 um
Mikoa Mitano Yaongoza Kuwa Na Laini Za Simu Zinazotumika
Ripoti ya Utendaji wa Kisekta imeonesha ongezeko la asilimia 3.4 kwa laini za simu zinazotumika, ambapo hadi mwezi Juni 2022 kulikuwa na laini Milioni 56.2 idadi iliyoongezeka hadi kufikia laini milioni 58.1 Septemba 2022. Takwimu zinaonyesha kwamba mikoa mitano nchini…
14 Aprili 2021, 9:48 mu
Jamii imetakiwa kujali na kuwathamini watoto wanao ishi na kufanya kazi mtaani
Na Mariam Kasawa Imeelezwa kuwa mtoto anae ishi mtaani ana haki ya kupata haki zote za msingi kama anazopatiwa mtoto mwingine ili kumkinga na maovu. Akizungumza na Kapu kubwa la Dodoma fm Afisa ustawi wa jamii ngazi ya mtaani wa…