Maji
24 September 2025, 10:20 am
Sukambi aahidi taa masoko ya jioni , ujenzi kituo cha polisi Nyankumbu
Changamoto kubwa kwa wananchi wa Nyankumbu ni usalama na mazingira bora ya kufanyia biashara, hivyo utekelezaji wa ahadi hizo utakuwa mkombozi Na Mrisho Sadick: Mgombea Udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita,…
24 September 2025, 9:45 am
Mapung’o aahidi kuipeleka kata ya Butobela kileleni
Vyama mbalimbali vya siasa nchini Tanzania vimeendelea kunadi sera na ilani za vyama vyao ikiwa ni kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Butobela, jimbo la Busanda, wilaya ya Geita,…
18 September 2025, 7:22 pm
UWT kusaka kura milioni 16 za Dkt. Samia
Zaidi ya wanawake 700,000 wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura Mkoani Geita hali ambayo inawapa matumaini UWT Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) imeweka mkakati wa kutafuta kura milioni 16 kwa ajili ya mgombea…
17 September 2025, 10:22 pm
Shilabela yaitika kusikiliza sera za mgombea ubunge (CCM) jimbo la Geita mjini
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea kufanya kampeni ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula
16 September 2025, 8:34 pm
CHAUMMA yaahidi kujenga viwanda Geita
Mpango huo ni nyenzo ya maendeleo endelevu na njia ya kuinua maisha ya wananchi wa Geita na maeneo jirani. Na Mrisho Sadick: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ukombozi wa umma CHAUMMA Salum Mwalimu ameahidi…
16 September 2025, 11:10 am
UDP yaahidi kusimamia rasilimali za nchi
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ikiwa ni njia ya kunadi sera na mipango yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Edga Rwenduru Chama cha United Democratic Party (UDP) kimewaahidi watanzania kusimamia rasilimali za nchi kwa…
16 September 2025, 7:39 am
Dkt. Jafari Rajabu aahidi maendeleo kwa wananchi Busanda
Mgombea ubunge wa Jimbo la Busanda, wilaya ya Geita kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jafari Rajabu Seif, amezindua rasmi kampeni zake Septemba 15, 2025 kwa kuahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Na: Ester Mabula Akizungumza wakati wa uzinduzi…
15 September 2025, 8:25 am
Katoro waitika uzinduzi wa kampeni za CCM jimbo hilo
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi mikakati ya kuhakikisha maendeleo yanashuka hadi ngazi za chini. Na Mrisho Sadick: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua rasmi kampeni katika Jimbo jipya la Katoro Mkoani Geita kwa msisitizo wa kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi hususan…
13 September 2025, 2:22 pm
Katibu wa vijana CHADEMA Nyarugusu ajiunga CCM
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ya kunadi sera za ila i ya vyama vyao kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Mwandishi wetu Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kata ya Nyarugusu,…
12 September 2025, 5:28 am
Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi CCM akemea makundi
“Kazi kubwa iliyopo kwa sasa ni kutafuta ushindi wa chama chetu na sio kuendelea kuvunja nguvu katika masuala yasiyo leta tija ndani ya chama” – Mwenyekiti Nyamaigoro Na: Ester Mabula Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi ya CCM wilaya ya Geita…