Maji
21 Oktoba 2025, 8:39 um
Magumba wa Lali jela miaka 30 kwa kubaka mwanae
“Jamii inahitaji sasa elimu ya hali ya juu ya kulinda tamaa za kimwili maana pamoja na kuwa na sheria kali zilizotungwa lakini bado tu jamii inafanya vitendo vya ukatili kwa watoto.” Na,Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu…
20 Oktoba 2025, 9:02 um
DC Maswa wezi wa vifaa vya trekta kupandishwa kotini
“Kuna misemo huko mtaani kuwa mali ya serikali haina mwenyewe nataka kuwaambia kuwa haya matrekta mwenyewe yupo ukifanya unavyojuwa wewe tutakuchukulia hatua kali za kisheria”. Na,Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, Dkt.Vicent Naano Anney ameitaka bodi Pamba…
18 Oktoba 2025, 9:12 um
Serikali ya ADA TADEA migodi yote kumilikiwa na wazawa
Hatua hiyo inalenga kurejesha mamlaka ya kiuchumi mikononi mwa wananchi na kuhakikisha rasilimali za taifa zinawanufaisha Watanzania wengi badala ya wachache. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA TADEA, Georges Busungu, amesema…
18 Oktoba 2025, 3:52 mu
Dkt. Jafari aahidi kuibeba ajenda ya halmashauri mpya
Ni mchaka mchaka kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, ambapo mgombea wa Ubunge Jimbo la Busanda kwa tiketi ya CCM ameendelea kusaka kura kwa wananchi. Na: Ester Mabula Mgombea Ubunge wa jimbo la Busanda kupitia tiketi ya…
17 Oktoba 2025, 10:01 um
Chama Cha Makini chatua kwa Hayati Magufuli, chaonya maandamano
Onyo kwa baadhi ya watu au makundi yanayopanga kufanya maandamano au kuchochea machafuko kabla au baada ya uchaguzi Na Mrisho Sadick – Geita Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Makini Coaster Kibonde ametoa wito kwa…
15 Oktoba 2025, 3:07 um
AAFP yasema daktari akizuia maiti anawekwa kwenye jeneza yeye
Ngombalemwiru ameeleza kuwa serikali atakayoiunda itaweka mfumo rafiki wa huduma za afya utakaolenga utu na heshima ya binadamu. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wakulima Tanzania (AAFP) Kunje Ngombalemwiru ameahidi kuondoa kabisa…
11 Oktoba 2025, 6:37 um
Wanawake Geita wajipanga kumpokea Dkt Samia
Ujio wa Dkt. Samia unaleta ari mpya ya kisiasa na ni fursa ya kumpongeza kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuendeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini. Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Geita na Wananchi…
10 Oktoba 2025, 6:51 mu
UVCCM (W) Geita waongoza mbio mapokezi ya Dkt. Samia
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufika mkoani Geita Oktoba 13, 2025 ikiwa ni mwendelezo wa kampeni za chama hicho. Na: Ester Mabula Umoja wa vijana wilaya ya Geita umeongoza mbio za picha ya mgombea…
10 Oktoba 2025, 5:37 mu
Eng. Chacha, Sukambi waahidi kuijenga Nyankumbu mpya
“Chacha ni Nzagamba lililoshiba, liko tayari kwaajili ya kuleta maendeleo katika jimbo la Geita mjini na kuendeleza kutekeleza ilani ya CCM” – Chacha Wambura Na: Ester Mabula Katika mwendelezo wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Geita mjini kwa tiketi…
9 Oktoba 2025, 5:34 mu
Costantine Morandi aomba mitano tena kwa wakazi wa Samina
Ikiwa zimesalia siku 19 tu kuweza kufanyika uchaguzi mkuu kwa mwaka 2025, wagombea wa nafasi mbalimbali wameendelea kunadi sera pamoja na ilani za vyama vyao. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani katika kata ya Mtakuja kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi…