Radio Tadio

Maji

1 August 2022, 9:11 am

Wananchi Wazuia Msafara Wa Waziri Wa Maji, Walia Kero Ya Maji

WANANCHI wa Mto wa Mbu wilayani Monduli mkoani Arusha wamezimka kuuzuia msafara wa Waziri  wa Maji, Jumaa Aweso kulalamikia kukosa maji ya matumizi mbalimbali kwa muda mrefu. Kufuatia hali hiyo Waziri Aweso alilazimika kuchukua maamuzi magumu ya kutangaza kuzivunja Jumuiya…

27 July 2022, 11:41 am

WANANCHI WILAYANI MASWA WAASWA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI.

Balozi  wa  Maji nchini  Mrisho  Mpoto maarufu  kwa  Jina  la  Mjomba  Amewaasa  Wananchi Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  kutunza  vyanzo   vya  Maji  likiwemo  Bwawa  la  New  Sola   lililopo  katika   kijiji  cha  Zanzui  kata  ya  Zanzui.. Balozi  Mpoto  ametoa   nasaha  hizo alipotembelea …

19 July 2022, 1:35 pm

Serikali yatenga bilioni 387. 73 kwaajili ya maji vijijini

Na;Mindi Joseph . Serikali imetenga Shilingi Bilion 387.73 kwa ajili ya uwekezaji wa huduma ya  maji maeneo ya vijijini ili kutatua changamoto inayowakabili wananchi. Akizungumza leo jijini Dodoma na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa shughuli mbalimbali Mkurungezi Mkuu wa…

28 June 2022, 9:17 am

Kisima cha maji chaleta Neema kwa wakazi wa Farkwa.

Na ;Victor Chigwada. Kupatikana kwa mita ya kisima Cha maji katika Kijiji cha Farkwa imesaidia kupunguza changamoto ya maji katika eneo hilo. Akizungumza na taswira ya habari Diwani wa Kata hiyo Bw.Stephano Patrick amekiri hali ya upatikanaji wa maji Kijiji…

31 May 2022, 1:30 pm

Uhaba wa maji Suguta ni kikwazo cha ndoa nyingi

Na;Mindi Joseph .           Wananchi Kijiji cha Suguta wilayani kongwa wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya maji ambayo inawakabili kwa Muda mrefu. Taswira ya habari imezungumza na Baadhi ya wanawake ambapo wamesema wamekuwa wakilazimika kukaa kisima kwa muda mrefu wakisubiria kuchota maji.…

6 May 2022, 3:13 pm

Mazae waendelea kupata changamoto ya maji

Na,Mindi Joseph. Changamoto ya upatikanaji wa maji bado inaendelea kuwakabili wananchi wa kijiji cha mazae wilayani mpwapwa. Taswira ya habari imezungumza na Mwenyekiti wa kijiji cha mazae steven Makasi ambapo amesema changamoto hii imekuwepo kwa muda  kirefu. Ameongeza kuwa wananchi…

October 2, 2021, 2:34 pm

Kahama:wakurugenzi kusimamia mabaraza ya wazee.

Serikali mkoani Shinyanga imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote sita kuhakikisha wanasimamia na kuyawezesha mabaraza ya wazee ili yaweze kufanya kazi kikamilifu pamoja na kutenga fedha kwa ajili ya utekelezaji wa shuguli za wazee. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa…