Radio Tadio

Maji

12 Disemba 2024, 8:59 um

Reacts In kumaliza utapiamlo wilaya za Maswa, Meatu

“Suala la lishe ni mtambuka bila ushirikiano wa jamii na wadau hatuwezi kumaliza utapiamlo kwenye jamii yetu”. Na, Daniel Manyanga Katika kupambana na utapiamlo mkoani Simiyu halmashauri za wilaya ya Maswa na Meatu zimepokea mbegu za mahindi na maharage lishe…

10 Disemba 2024, 12:15 um

DC Kaminyoge aongoza wananchi wa Isageng’he kupanda miti

“Tanzania siyo kisiwa hivyo hatuwezi kujitenga katika vita ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kama ambavyo dunia inataka ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia na upandaji wa miti”. Na, Nicholaus Machunda Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi…

27 Novemba 2024, 4:03 um

Wananchi Maswa wapongeza zoezi la upigaji kura uchaguzi serikali za mitaa

Wananchi  Wilayani   Maswa  Mkoani   Simiyu  Wameipongeza  Serikali   kwa  Mandalizi  Mazuri  ya  zoezi  la  Uchaguzi  wa  Serikali  za  Mitaa  uliofanyika  leo  Nov,  17, 2024 Wakizungumza  kwa  nyakati tofauti  baada  ya  kupiga  kura  wamesema  kuwa   wananchi  wamehamasika  kupiga  kura  kwa  Wingi  ili …

23 Novemba 2024, 10:59 mu

Watu wenye ulemavu waomba kipaumbele kwenye uchaguzi

Watu wenye ulemavu, wanawake na vijana wametakiwa kuhamasika kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa ili kutimiza haki yao ya msingi ya kikatiba. Na: Ester Mabula – Geita Sikiliza simulizi ya Bi. Zainabu John (39) mwanamke mwenye ulemavu ambaye anaeleza…

20 Novemba 2024, 8:43 um

TAWA yavuna viboko wawili, watoa kitoweo kwa wananchi Busega

“Usalama wa raia ni ajenda ya kwanza katika Taifa lolote hatuwezi kuzungumzia maendeleo wakati huo raia wake wanapitia changamoto za kiusalama wao na mazao hasa waishio kandokando ya mapori au hifadhi.” Na, Daniel Manyanga Viboko wawili waliokuwa wanahatarisha usalama wa…

19 Novemba 2024, 8:53 um

Kipindupindu ni zaidi ya vita Simiyu, Amref watia nguvu

“Adui wa maendeleo ni maradhi hatuwezi kufanya kazi za kiuchumi wakati huo wananchi wanachangamoto ya kiafya hivyo jukumu letu ni usalama kwanza wa raia”. Na, Daniel Manyanga Shirika la Amref  Heath of Africa chini ya mradi wa Afya Thabithi unatekelezwa…

19 Novemba 2024, 3:36 um

RC Kihongosi achukizwa na siasa za chuki kwa vyama vya siasa

“Nchi yetu inafata misingi ya kidemokrasia hivyo linapofika swala la uchaguzi hatutaki siasa za chuki ambazo zitaliingiza Taifa kwenye migogoro ya kisiasa  ambayo ni adui wa maendeleo ya wananchi.”  Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi amevitaka vyama…