Maji
12 Disemba 2024, 8:59 um
Reacts In kumaliza utapiamlo wilaya za Maswa, Meatu
“Suala la lishe ni mtambuka bila ushirikiano wa jamii na wadau hatuwezi kumaliza utapiamlo kwenye jamii yetu”. Na, Daniel Manyanga Katika kupambana na utapiamlo mkoani Simiyu halmashauri za wilaya ya Maswa na Meatu zimepokea mbegu za mahindi na maharage lishe…
10 Disemba 2024, 12:15 um
DC Kaminyoge aongoza wananchi wa Isageng’he kupanda miti
“Tanzania siyo kisiwa hivyo hatuwezi kujitenga katika vita ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kama ambavyo dunia inataka ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia na upandaji wa miti”. Na, Nicholaus Machunda Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi…
10 Disemba 2024, 11:37 mu
Maswa:Viongozi wanawake watumikieni wananchi wote bila kujali itikadi za vyama…
“Uongozi ni dhamana ambayo umepewa na wananchi wenye imani na wewe hivyo ukipata nafasi jitahidi sana kuwa kioo kizuri kwenye jamii unayoiongoza ili siku moja uweze kukumbukwa kwa mazuri kutokana na utendaji kazi wako”. Na, Daniel Manyanga Wanawake viongozi walioshinda…
27 Novemba 2024, 4:03 um
Wananchi Maswa wapongeza zoezi la upigaji kura uchaguzi serikali za mitaa
Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wameipongeza Serikali kwa Mandalizi Mazuri ya zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika leo Nov, 17, 2024 Wakizungumza kwa nyakati tofauti baada ya kupiga kura wamesema kuwa wananchi wamehamasika kupiga kura kwa Wingi ili …
23 Novemba 2024, 10:59 mu
Watu wenye ulemavu waomba kipaumbele kwenye uchaguzi
Watu wenye ulemavu, wanawake na vijana wametakiwa kuhamasika kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa ili kutimiza haki yao ya msingi ya kikatiba. Na: Ester Mabula – Geita Sikiliza simulizi ya Bi. Zainabu John (39) mwanamke mwenye ulemavu ambaye anaeleza…
20 Novemba 2024, 8:43 um
TAWA yavuna viboko wawili, watoa kitoweo kwa wananchi Busega
“Usalama wa raia ni ajenda ya kwanza katika Taifa lolote hatuwezi kuzungumzia maendeleo wakati huo raia wake wanapitia changamoto za kiusalama wao na mazao hasa waishio kandokando ya mapori au hifadhi.” Na, Daniel Manyanga Viboko wawili waliokuwa wanahatarisha usalama wa…
19 Novemba 2024, 8:53 um
Kipindupindu ni zaidi ya vita Simiyu, Amref watia nguvu
“Adui wa maendeleo ni maradhi hatuwezi kufanya kazi za kiuchumi wakati huo wananchi wanachangamoto ya kiafya hivyo jukumu letu ni usalama kwanza wa raia”. Na, Daniel Manyanga Shirika la Amref Heath of Africa chini ya mradi wa Afya Thabithi unatekelezwa…
19 Novemba 2024, 3:36 um
RC Kihongosi achukizwa na siasa za chuki kwa vyama vya siasa
“Nchi yetu inafata misingi ya kidemokrasia hivyo linapofika swala la uchaguzi hatutaki siasa za chuki ambazo zitaliingiza Taifa kwenye migogoro ya kisiasa ambayo ni adui wa maendeleo ya wananchi.” Na, Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi amevitaka vyama…
12 Novemba 2024, 4:52 um
Maswa: Zaidi ya milioni 300 kunufaisha wanawake, vijana na walemavu
“Katika kupambana na umasikini nchini kupitia asilimia kumi ya mapato ya ndani ya halmashauri kundi la wanawake,vijana na watu wenye ulemavu wameendelea kunufaika kiuchumi.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya milioni miatatu zitokanazo na makusanyo ya ndani zimetangwa na halmashauri ya…
11 Novemba 2024, 12:44 um
MNEC Evarist atumia zaidi ya milio 600 kujenga ofisi za CCM Mbogwe
Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Mbogwe kimekamilisha ujenzi wa Ofisi 17 za kata wilayani humo nakwamba nguvu inahamia kwenye ngazi ya matawi. Na Mrisho Sadick: Zaidi ya milioni 600 zimetumika kujenga Ofisi za CCM katika Kata 17 za wilaya…