Radio Tadio

Maji

29 May 2023, 7:39 pm

Kongwa: Wananchi waridhia kuhama kupisha chanzo cha maji

Na Bernadetha Mwakilabi. Wananchi wa kitongoji cha Kawawa kilichopo katika mamlaka ya mji mdogo Kibaigwa wilayani Kongwa wameridhia kuhama ili kupisha eneo la chanzo cha maji lililopo kitongojini hapo lenye ukubwa wa hekari 28. Hayo yamejiri mapema katika ziara yake…

19 May 2023, 3:45 pm

Mgogoro wa maji Subugo kutafutiwa ufumbuzi

Viongozi wa Kijiji wametakiwa kuwa wabunifu kutambua fursa za kiuchumi zilizopo katika maeneo yao kama kilimo chenye tija ili waweze kuwakwamua wananchi kiuchumi na kupata maendeleo. Na Bernadetha Mwakilabi. Mgogoro wa maji uliopo kitongoji cha Subugo kati ya Serikali ya…

2 May 2023, 3:06 pm

DUWASA kutatua changamoto ya maji Nala

Mkoa wa Dodoma, umekuwa na Uendelezaji wa vyanzo vya maji (uchimbaji wa visima na ujenzi wa mabwawa) kwa kutumia vyanzo vikuu kama vile Uchimbaji wa visima virefu 34. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma imesema…

26 April 2023, 5:11 pm

Mlowa Bwawani walalamika ujenzi wa Tanki kutokamilika

Mradi huo ulitarajiwa kukamilika ndani ya Mwezi mmoja baada ya kutambulisha october 30 2022 lakini hadi sasa hakuna kinachoendelea kutokana na changamoto mbalimbali. Na Mindi Joseph. Wananchi wa Kijiji Cha Mlowa Bwawani Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wamelalamikia kutokukamilika kwa…

22 April 2023, 9:33 am

Ukosefu wa Maji Safi na Salama, Kilio Itenka

KATAVI Kufuatia changamoto ya magonjwa ya Tumbo na minyoo jamii imetakiwa kuzingatia kanuni za afya ili kuondokana na magonjwa hayo kwa baadhi ya wakazi wa Itenka Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi. Hayo yamejiri mara baada ya wakazi wa Intenka halmashauri…