Kilimo
15 Januari 2025, 12:34
DC Kasulu ataka ufuatiliaji usalama wa mazao ya chakula
Kutokana na umuhimu wa chakula kwa maisha ya binadamu, ustawi na maendeleo ya nchi, suala la kuhakikisha kuwa chakula ni salama kwa matumizi ya binadamu linapewa kipaumbele na kuzingatiwa kikamilifu kwa lengo la kulinda afya ya walaji na kuwezesha utoshelevu…
14 Januari 2025, 9:52 um
wananchi mtaa wa Mpadeco walalamikia kutozolewa takataka kwa wakati
“wamelalamikia kutozolewa taka kwa wakati huku wakiwa na hofu kutokana na uwepo wa mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu“ Na Samwel Mbugi -Katavi Baadhi ya wananchi wa mtaa wa mpadeco kata ya Makanyagio Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia serikali kutokutoa…
13 Januari 2025, 14:27
Wavuvi ziwa Tanganyika walia na upepo mkali mitumbwi ikipotea
Wavuvi Mkoani Kigoma wametakiwa wametakiwa kufuatailia utabiri wa hali ya hewa ili kuweza kufahamu muda gani wa kuingia ziwani kuvua na kuepuka dhoruba za upepo wawapo ziwani. Baadhi ya wavuvi katika Ziwa Tanganyika wamelalamikia changamoto ya upepo mkali na mvua…
10 Januari 2025, 12:39
DED Buhigwe atakiwa kusimamia ujenzi sekondari Kahimba.
wakati shule zikitarajiwa kufunguliwa wiki ijayo jumatatu ya januari 13 ambapo maelengo ya serikali ni kuhakikisha miundombinu ya madarasa inakuwa tayari na wanafunzi kuanza kuyatumia. Na Josephine Kiravu. Katibu Tawala mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amemtaka Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri…
8 Januari 2025, 8:05 um
Idadi ya watalii wa ndani imeshuka pori la akiba Kijereshi
“Elimu ya utalii bado inahitajika kwa jamii ili kuwajengea uzoefu wa kupenda kutembelea vivutio mbalimbali kwa lengo la kujifunza pamoja na kuchangia pato la Taifa”. Na, Daniel Manyanga Imeelezwa kuwa elimu utalii bado inahitajika kwa wananchi mkoani Simiyu ili waweze…
6 Januari 2025, 12:15
Wadau watakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji
Katika kuhakikisha mtoto mlemavu kupata elimu na kutimiza ndoto zao wadau wa maendeleo na wazazi kuibua na kuwatoa nje watoto hao ili kupata haki ya elimu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wadau wa maendeleo wilayani Kasulu mkoani Kigoni wametakiwa kuwasaidia…
12 Disemba 2024, 12:51
DC kasulu atangaza vita wazazi kuzuia watoto kwenda shule
Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu ameliagiza baraza la madiwani la halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kuhakikisha wanafuatilia watoto wenye umri wa kwenda shule wanaandikishwa ili kuanza elimu ya awali na msingi na wale waliofaulu kujiunga kidato…
12 Disemba 2024, 09:21
DC Kasulu aeleza kutoridhishwa na ufaulu wa wanafunzi matokeo ya darasa la 7
Idara ya elimu Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma imetakiwa kuanza kufuatilia walimu ambao hawawajibiki ipasavyo katika suala la ufundishaji hali inayosababisha matokeo kuendelea kuporomoka katika wilaya hiyo hasa katika matokeo ya darasa la saba. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkuu wa…
11 Disemba 2024, 16:12
Vijana waomba kupewa elimu ya Kujitegemea Kigoma
Ili kuwa na vionozi wenye maadili mema vijana wanapaswa kuandaliwa wakiwa bado katika umri mdogo Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana Mkoani Kigoma wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya kujitegemea ili kuondokana na dhana ambayo imejengeka kwamba vijana wengi wamekuwa wapambe…
11 Disemba 2024, 11:32
Waumini wa dini ya kikristo watakiwa kiliombea Taifa
Kuendelea kupiga vita vitendo vya ukatili Viongozi wa dini wameendelea kuwasisitiza waumini wa madhehebu mbalimbali kuliombea Taifa. Waumini wa dini ya kikristo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuliombea taifa la Tanzania kuendelea kuwa na amani ili kuepuka vitendo vya ukatili…