Radio Tadio

Jamii

18 April 2023, 3:39 pm

Dc kongwa akerwa na ubadhirifu wa fedha 6,394,000/=

Katika taarifa iliyosomwa inaonyesha kiasi cha shilingi milioni 6,394,000 hazijathibitika matumizi yake NA Bernadetha Mwakilabi, Kongwa Mkuu wa wilaya ya Kongwa Mheshimiwa Remidius Mwema Emmanuel ameagiza ofisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU wilaya ya Kongwa kufanya uchunguzi juu…

17 April 2023, 9:15 PM

TCB Bank yatoa msaada shule ya sekondari Nangomba

NANYUMBU Tanzania Commercial BankTawi la Wilaya ya Masasi Mjini  leo imetoa msaada wa viti ,menza na kabati za  kutunzia vifaa katika maktaba ya shule ya sekondari nangomba kama ilivyo sesturi waliojiwekea kama bank  kurudisha faida kwenye jamii walicho vuna, mradi…

17 April 2023, 2:20 pm

Yafahamu maajabu na ishara za mnyama adimu Kakakuona

Mnyama huyu anapo onekana katikajamii nini huwa kinafanyika. Na Yussuph Hassan. Jamii nyingi huamini ishara za mnyama huyo kwani anapo onekana wanajamii huwa na hamu ya kufamamu ni nini ambacho atatabiri katika jamii hiyo hivyo hufanya mila ikiwemo kupiga ngoma…

17 April 2023, 12:08 pm

Waziri Masauni awataka Wazazi kusimamia maadili kwa watoto

Maadili yameshuka kwa Kasi hivyo ni jukumu la wazazi na walezi kuwalea watoto kwa kufuata misingi ya Dini. Na Hafidh Ally Wazazi wametakiwa kuwale watoto katika Maadili Mema ili kuwaepusha watoto na matukio ya ukatili dhidi ya watoto yanayosababishwa na…

11 April 2023, 1:34 pm

Jamii yatakiwa kuchukua mikopo kwa malengo

Wananchi wengi wamekuwa wakijiingiza kwenye mikopo ambayo baadae huwa changamoto kwao. Na Leonard Mwacha. Jamii imepaswa kuepuka mikopo ambayo hugeuka kuwa changamoto kwao badala yake wafuate utaratibu wa kifedha ili kuweza kukopa kwa malengo.

3 April 2023, 5:02 pm

CCM Bahi haijaridhishwa na Ujenzi wa kituo cha mabasi

kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi ccm wilayani humo imetembelea na kukagua zaidi ya miradi 26 ya maendeleo ikiwemo miradi ya afya, elimu, maji, na miundombinu ya barabara ili kuona namna ILANI ya ccm inavyotekelezwa. Na Benard Magawa. Chama…

3 April 2023, 12:24 pm

Jamii yatakiwa kusaidia watoto wenye usonji

Kuna haja ya kuwajumuisha watu wenye ulemavu ikiwemo wenye usonji ili kutimiza azma ya Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs ya kutomuacha yeyote nyuma. Na Seleman Kodima. Jamii imetakiwa kushirikia kikamilifu kusaidia kutatua changamoto zote zinazowakumba watoto wenye usonji bila kutazama…