Jamii
18 Febuari 2026, 4:55 um
TCRA yaimarisha dawati la huduma kwa wateja
Changamoto na mapendekezo yao kwa haraka zaidi, huku mifumo ya kidijitali ya ufuatiliaji ikihakikisha mawasiliano yanakuwa ya wakati na yenye tija. Na Yussuph Hassan.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeimarisha Dawati la Huduma kwa Wateja pamoja na mifumo ya ufuatiliaji wa…
Febuari 2, 2026, 6:57 um
RC Songwe azindua gari SORECU
Hafla ya uzinduzi na kukabidhi gari ya SORECU. Na Devi Moses MKUU wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Makame, amezindua na kukabidhi gari la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU), lililonunuliwa kwa fedha za chama hicho, katika hafla…
30 Januari 2026, 5:32 um
Airtel yazindua minara mitano mipya nchini
Airtel Tanzania inaendelea kuipa kipaumbele upanuzi wa mtandao kama sehemu ya dhamira yake ya kukuza ujumuishi wa kidijitali, kuhakikisha wananchi wote nchini wanapata huduma za simu na intaneti zenye uhakika, gharama nafuu, na ubora wa juu. Na Bennard Komba Kampuni…
16 Januari 2026, 3:27 um
Vodacom kutoa kipaumbele kwa wenye mahitaji maalum
Besiimire amesema duka hilo ni mkombozi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma na mikoa jirani iliyo katika Kanda ya Kati kutokana na kuboreshwa kwa huduma zake. Na Yussuph Hassan. Kampuni ya Mtandao wa Simu ya Vodacom imesema imejipanga kuhakikisha inatoa…
18 Disemba 2025, 14:28
Kigoma Ujiji, Makamba kucheza fainali kombe la ujirani mwema Burundi
Mashindani ya ujirani mwema baina ya timu kutoka Mkoani Kigoma Tanzania na Burundi kukutana fainali Na Mwandishi wetu Timu ya Kombaini ya Makamba ya nchini Burundi na Timu ya Kombaini ya Manispaa ya Kigoma Ujiji ya mkoa Kigoma nchini Tanzania…
16 Disemba 2025, 13:15
Kibondo, Uvinza zatolewa mashindano ya ujirani mwema Burundi
Mashindano ya ujirani mwema yaliyokuwa yanaendelea katika Wilaya ya Makamba Nchini Burundi Timu kutoka Mkoa wa Kigoma Tanzania zimetolewa kwa kipigo Na Mwandishi wetu Burungu, Burundi Timu za wachezaji mchanganyiko za wilaya za Kibondo na Uvinza za mkoani Kigoma nchini…
12 Disemba 2025, 9:24 mu
Millya amemteua Ole Njidai kuwa katibu wa ofisi ya mbunge ukanda wa Terrat
Picha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mbunge wa Simanjiro, James Ole Milya Na mwandishi wetu Evanda Barnaba Naibu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki na mbunge wa jimbo la simanjiro…
Novemba 27, 2025, 6:58 mu
Mbolea ya ruzuku yakamatwa ikiuzwa kwa bei ya ulanguzi
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
20 Novemba 2025, 10:37
CAF yamtunuku Dkt Samia tuzo ya usimamizi bora sekta ya michezo
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwa marais watatu waliotunukiwa tuzo ya heshima kwa kuandaa fainali za CHAN 2024 iliyofanyika mwezi Agosti mwaka huu katika mataifa ya Kenya, Uganda na Tanzania. Na Mwandishi wetu Shiriko la Soka…
22 Oktoba 2025, 3:50 um
Wananchi watakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia chanya
Hadi sasa, mamlaka mbalimbali zimeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu usalama wa mitandaoni na matumizi sahihi ya teknolojia, huku ikiendelea kuhamasisha matumizi bora ya TEHAMA kwa maendeleo ya jamii. Na Anwary Shaban.Wananchi nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia…