Radio Tadio

Jamii

March 7, 2025, 2:08 pm

Wanawake Shinyanga kunufaika na mikopo ya 10%

wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mikopo isiyo na riba inayotolewa na Halmashauri ikiwa na Lengo la kuwainua kiuchumi kuliko kukimbilia mikopo ya kausha damu inayotolewa kwa masharti magumu pamoja na riba kubwa inayopelekea kudidimia kiuchumi Na Sebastian Mnakaya Mkuu wa…

5 March 2025, 1:00 pm

Tanzania yashiriki mkutano wa dunia wa mawasiliano ya simu

Wakati huo huo, Waziri Silaa ameshiriki Mjadala wa Kitaifa (National Dialogue Tanzania: Towards a Fully Digitalized Economy) katika kikao cha pembeni na Kampuni ya Watoa Huduma za Mawasiliano Duniani (GSMA) ambao ni waandaji wakuu wa mkutano wa MWC 2025. Na…

8 November 2024, 7:14 pm

TCRA yadhibiti utapeli  mtandao

Na Anwary Shabani                                                              Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kanda ya kati imedhibiti  uhalifu wa mitandao  kwa kiwango kikubwa kupitia Kampeni ya Ni Rahisi Sana. Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kanda ya kati Mhandisi Asajile John  amesema kuwa kampeni…

10 October 2024, 3:28 pm

Utumaji wa nyaraka, usafirishaji vifurushi posta ni salama zaidi

Na Anwary Shabani                                                              Utumaji wa nyaraka na usafirishaji wa vivurushi kupitia Shirika la Posta ni salama zaidi kulinganisha na njia zingine. Wadau na watumiaji wa huduma za Posta wamebainisha hayo wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa watumiaji bora wa…