Jamii
November 27, 2025, 6:58 am
Mbolea ya ruzuku yakamatwa ikiuzwa kwa bei ya ulanguzi
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
20 November 2025, 10:37
CAF yamtunuku Dkt Samia tuzo ya usimamizi bora sekta ya michezo
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwa marais watatu waliotunukiwa tuzo ya heshima kwa kuandaa fainali za CHAN 2024 iliyofanyika mwezi Agosti mwaka huu katika mataifa ya Kenya, Uganda na Tanzania. Na Mwandishi wetu Shiriko la Soka…
22 October 2025, 3:50 pm
Wananchi watakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia chanya
Hadi sasa, mamlaka mbalimbali zimeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu usalama wa mitandaoni na matumizi sahihi ya teknolojia, huku ikiendelea kuhamasisha matumizi bora ya TEHAMA kwa maendeleo ya jamii. Na Anwary Shaban.Wananchi nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia…
22 October 2025, 11:59 am
Serikali kupitia UCSAF kufikisha mawasiliano katika maeneo ya kimkakati
Vijiji vilivyofikishiwa mawasiliano vimeanza kunufaika na huduma za kifedha, elimu, biashara mtandao na fursa nyingine za kidijitali zinazochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Na Mariam Matundu.Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya…
8 October 2025, 8:48 am
DC Anney awaalika wananchi Maswa kupata huduma za kibingwa
Niwapongeze sana Hospitali ya Barikiwa kwa kutekeleza azima ya Serikali ya kusogeza huduma kwa wananchi hivyo niwasihi wananchi wa Maswa na viunga vyake waitumie vyema fulsa hii ya Ujio wa Kambi ya Madaktari Bingwa ” Dkt Vicent Naano Anney Mkuu…
29 September 2025, 2:23 pm
UCSAF yakamilisha minara 734, ujenzi wafikia asilimia 96.83
Minara iliyosalia ni 24 pekee, na inatarajiwa kukamilika hivi karibuni ili kuhakikisha huduma za mawasiliano zinafika katika maeneo yote yaliyopangwa. Na Mariam Matundu.Ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano unaosimamiwa na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umefikia hatua kubwa ya…
18 August 2025, 5:17 pm
UCSAF yawataka wananchi kuripoti kwao kero ya mtandao
Aidha, wananchi walielezwa kuhusu miradi mbalimbali ya kimkakati inayotekelezwa na UCSAF ikiwemo maendeleo ya ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano nchini. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa mawasiliano ni muhimu katika kukuza uchumi wa Taifa hili hasa katika shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo…
30 July 2025, 1:20 pm
Manda, Ilangali watembea umbali mrefu kusaka mtandao
UCSAF imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wananchi waishio vijijini wanapata huduma bora za mawasiliano. Na Victor Chigwada.Ikiwa Sera ya Mawasiliano inabainisha kuwa wananchi wote wanapata huduma bora, salama, na nafuu za mawasiliano bila ubaguz,Hali ni tofauti kwa Wakazi wa vijiji…
8 July 2025, 7:56 pm
Mchele wageuka kuwa sabuni Katavi
Mwalimu Benjamin Chahe kutoka chuo Mkwawa V.T.C Iringa. Picha na Anna Mhina “Leo nimefurahi mchele kumbe ni sabuni!” Na Anna Mhina Wajasiriamali ambao wanapatiwa mafunzo ya ufugaji bora wa kuku, utengenezaji wa sabuni na batiki wameonesha kufurahia mafunzo ya utengenezaji…
8 July 2025, 16:18
Mabingwa wa ligi Burundi kuweka kambi Afrika Kusini
Timu ya Aigles Noirs CS kutoka Mkoa wa Makamba imeelekea Afrika Kusinini kwa ajili ya kambi ya kujianda na msimu wa mpya wa mwaka 2025/ 2026 Na Bukuru Daniel Timu ya Aigles Noirs CS kutoka mkoa wa Makamba imeondoka Jumanne,…