Radio Tadio

Jamii

22 October 2025, 3:50 pm

Wananchi watakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia chanya

Hadi sasa, mamlaka mbalimbali zimeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu usalama wa mitandaoni na matumizi sahihi ya teknolojia, huku ikiendelea kuhamasisha matumizi bora ya TEHAMA kwa maendeleo ya jamii. Na Anwary Shaban.Wananchi nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia…

29 September 2025, 2:23 pm

UCSAF yakamilisha minara 734, ujenzi wafikia asilimia 96.83

Minara iliyosalia ni 24 pekee, na inatarajiwa kukamilika hivi karibuni ili kuhakikisha huduma za mawasiliano zinafika katika maeneo yote yaliyopangwa. Na Mariam Matundu.Ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano unaosimamiwa na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umefikia hatua kubwa ya…

18 August 2025, 5:17 pm

UCSAF yawataka wananchi kuripoti kwao kero ya mtandao

Aidha, wananchi walielezwa kuhusu miradi mbalimbali ya kimkakati inayotekelezwa na UCSAF ikiwemo maendeleo ya ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano nchini. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa mawasiliano ni muhimu katika kukuza uchumi wa Taifa hili hasa katika shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo…

30 July 2025, 1:20 pm

Manda, Ilangali watembea umbali mrefu kusaka mtandao

UCSAF imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wananchi waishio vijijini wanapata huduma bora za mawasiliano. Na Victor Chigwada.Ikiwa Sera ya Mawasiliano inabainisha kuwa wananchi wote wanapata huduma bora, salama, na nafuu za mawasiliano bila ubaguz,Hali ni tofauti kwa Wakazi wa vijiji…

8 July 2025, 7:56 pm

Mchele wageuka kuwa sabuni Katavi

Mwalimu Benjamin Chahe kutoka chuo Mkwawa V.T.C Iringa. Picha na Anna Mhina “Leo nimefurahi mchele kumbe ni sabuni!” Na Anna Mhina Wajasiriamali ambao wanapatiwa mafunzo ya ufugaji bora wa kuku, utengenezaji wa sabuni na batiki wameonesha kufurahia mafunzo ya utengenezaji…

8 July 2025, 16:18

Mabingwa wa ligi Burundi kuweka kambi Afrika Kusini

Timu ya Aigles Noirs CS kutoka Mkoa wa Makamba imeelekea Afrika Kusinini kwa ajili ya kambi ya kujianda na msimu wa mpya wa mwaka 2025/ 2026 Na Bukuru Daniel Timu ya Aigles Noirs CS kutoka mkoa wa Makamba imeondoka Jumanne,…