Radio Tadio

Habari

12 Mei 2025, 2:36 um

Wazazi wapeni watoto elimu ya kijinsia bila kupepesa macho

Toka kuundwe kwa dawati la kijinsia katika shule hiyo wanafunzi wamepata elimu ya kufahamu  madhara ya mimba za utotoni na kufahamu namna ya kuepuka vishawishi Na Theresia Damasi Katika kuhakikisha ukatili dhidi ya watoto unakomeshwa na kupingwa vikali katika jamii,Shule…

5 Aprili 2025, 18:24 um

Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora miradi ya Mwenge

Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…

25 Machi 2025, 9:10 mu

Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya m-pox

Diwani wa wa kata ya kumunyika Bw. Seleman Kwirusha kutoa rai kwa wananchi kuhakikisha wanajikinga na ugonjwa hatari wa homa ya nyami kwa kufuata taratibu za kiafya. Na. Emmanuel Kamangu Diwani wa wa kata ya kumunyika ambaye pia ni Makamu…