Habari
17 Machi 2023, 15:08
Wakufunzi 10 kubadili vyombo vya habari kijinsia
Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limehitimisha mafunzo maalumu ya siku 4 yaliyowakutanisha viongozi waandamizi wa vyombo vya Habari vya Tanzania bara…
15 Machi 2023, 16:28
Wananchi wajeruhiwa na wengine kupoteza makazi baada ya mvua kubwa kunyesha
Nyumba zipatazo 16 zimebomoka kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali,mkoani Dodoma na kusababisha baadhi ya wananchi kujeruhiwa huku wengine wakibaki bila makazi. Na Alfred Bulahya. Nyumba zipatazo 16 zimebomoka kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali, katika…
14 Machi 2023, 7:35 um
Waandishi Katavi walia na changamoto kwa Mkuu wa Mkoa
KATAVI Waandishi wa Habari mkoani Katavi wamemuomba mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko kutatua changamoto zinazowakabili , ikiwemo kukosa bima ya afya, kukosa mikopo na kukosa ushirikiano kwa baadhi ya wakuu wa idara. Wakizungumza mbele ya mkuu wa…
14 Machi 2023, 14:34
Wananchi Bahi waahidiwa kutatuliwa kero zinazowakabili
Kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wananchi wa wilaya ya Bahi kutokana na kero zinazowakuta mheshimiwa Godwin Gondwe ameahidi kuyapeleka malalamiko hayo kwenye vikao vya uongozi ili yaweze kupatiwa ufumbuzi. Na Benard Magawa. Kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka…
14 Machi 2023, 13:13
Nguvu ya mafunzo ya mguso kuboresha vyombo vya habari
Kwa miaka mingi Shirika la UZIKWASA limekuwa likitoa mafunzo ya ‘mguso’ ambayo yamekuwa yakiwawezesha watu binafsi kutafakari nafasi zao katika kuchochea mabadiliko chanya pamoja na mabadiliko ya kitaasisi na Jamii kwa ujumla. Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani…
13 Machi 2023, 14:18
UZIKWASA yawakutanisha viongozi wa vyombo vya Habari Tanzania
Kwa miaka mingi Shirika la UZIKWASA limekuwa likitoa mafunzo ya ‘mguso’ ambayo yamekuwa yakiwawezesha watu binafsi kutafakari nafasi zao katika kuchochea mabadiliko chanya pamoja na mabadiliko ya kitaasisi na Jamii kwa ujumla. Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani…
13 Machi 2023, 08:52
TASAC yakanusha madai ya rushwa kwa CMA
Suala hilo ni miongoni malalamiko matatu yaliyoripotiwa kupitia mitandao ya kijamii ambapo pia kupitia mitandao hiyo vijana hao wamelalamikia kuvunjwa kwa mikataba bila ya kufuata utaratibu na kufanya kazi bila ya bima ya afya. Na Mindi Joseph. SHIRIKA la Wakala…
13 Machi 2023, 08:43
DAS Bunda, maafisa kilimo toeni elimu kwa wakulima matumizi sahihi ya viuadudu k…
Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Halfani Mtelela amewataka maafisa kilimo ngazi ya halmashauri na kata kuwaelimisha wakulima namna bora ya kutumia pembejeo za kilimo zinazoletwa na serikali hasa katika zao la pamba. Hayo ameyasema wakati akipokea viuatilifu vya zao…
11 Machi 2023, 14:08
Polisi Bunda watembelea wagonjwa hospitali ya Bunda DDH kuonesha matendo ya huru…
Jeshi la polisi wilaya ya Bunda mkoani Mara wametembelea na kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wagonjwa hospitali ya Bunda DDH ikiwa ni siku ya familia kwa jeshi hilo yenye kauli mbiu ( Bunda Family Day Tushirikiane Kutokomeza Uharifu )…
10 Machi 2023, 15:45
Watumishi watakiwa kuimarisha ufanisi katika utendaji
Dkt. Jim Yonazi, amewataka watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kuimarisha ufanisi katika utendaji kazi wa kila siku ili kufanikiwa katika kufikia malengo ya Serikali. Na Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge…