Habari
13 March 2023, 2:18 pm
UZIKWASA yawakutanisha viongozi wa vyombo vya Habari Tanzania
Kwa miaka mingi Shirika la UZIKWASA limekuwa likitoa mafunzo ya ‘mguso’ ambayo yamekuwa yakiwawezesha watu binafsi kutafakari nafasi zao katika kuchochea mabadiliko chanya pamoja na mabadiliko ya kitaasisi na Jamii kwa ujumla. Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani…
13 March 2023, 8:52 am
TASAC yakanusha madai ya rushwa kwa CMA
Suala hilo ni miongoni malalamiko matatu yaliyoripotiwa kupitia mitandao ya kijamii ambapo pia kupitia mitandao hiyo vijana hao wamelalamikia kuvunjwa kwa mikataba bila ya kufuata utaratibu na kufanya kazi bila ya bima ya afya. Na Mindi Joseph. SHIRIKA la Wakala…
13 March 2023, 8:43 am
DAS Bunda, maafisa kilimo toeni elimu kwa wakulima matumizi sahihi ya viuadudu k…
Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Halfani Mtelela amewataka maafisa kilimo ngazi ya halmashauri na kata kuwaelimisha wakulima namna bora ya kutumia pembejeo za kilimo zinazoletwa na serikali hasa katika zao la pamba. Hayo ameyasema wakati akipokea viuatilifu vya zao…
11 March 2023, 2:08 pm
Polisi Bunda watembelea wagonjwa hospitali ya Bunda DDH kuonesha matendo ya huru…
Jeshi la polisi wilaya ya Bunda mkoani Mara wametembelea na kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wagonjwa hospitali ya Bunda DDH ikiwa ni siku ya familia kwa jeshi hilo yenye kauli mbiu ( Bunda Family Day Tushirikiane Kutokomeza Uharifu )…
10 March 2023, 3:45 pm
Watumishi watakiwa kuimarisha ufanisi katika utendaji
Dkt. Jim Yonazi, amewataka watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kuimarisha ufanisi katika utendaji kazi wa kila siku ili kufanikiwa katika kufikia malengo ya Serikali. Na Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge…
10 March 2023, 12:52 pm
DC Naano: Maslahi binafsi, usimamizi duni, ni miongoni mwa sababu za mapato ya h…
Mkuu Wa Wilaya Ya Bunda Daktari Vicent Naano Anney Amesema Kuwa Changamoto Nyingi Zilizopo Katika Halmashauri ya wilaya ya bunda Zinatokana Na Usimamizi Duni wa Watendaji Unaosababishwa Na Watu Kupenda Maslahi Yao Binafsi Suala Linaloaibisha Taasisi Ya Saerikali. Hayo Ameyasema…
9 March 2023, 8:38 pm
UZIKWASA yaadhimisha Kipekee Siku ya Wanawake Duniani 2023
Katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya wanawake 2023 yenye kauli mbiu isemayo ‘Ubunifu na mabadiliko ya teknolojia, chachu katika kuleta usawa wa kijinsia’. Shirika la UZIKWASA kwa mara ya kwanza limetoa nafasi kwa kamati za mazingira kuonyesha…
8 March 2023, 23:06 pm
Watoto 8,172 wapata ujauzizo mkoani Mtwara
Na Mohamed Massanga Watoto zaidi ya 8,172 wenye umri wa kuanzia miaka 10 hadi 19, wameripotiwa kupata Mimba Mkoani Mtwara kuanzia mwezi Januari hadi Disemba mwaka 2022. Akizungumza leo Machi 8, 2023 katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Mwanamke…
8 March 2023, 11:54 am
Wanawake BUWASSA Bunda waadhimisha siku ya wanawake duniani kwa kutoa msaada
Wafanyakazi wanawake wa mamlaka ya maji na usafi wa mazingira bunda BUWASA wamesherekea siku ya wanawake duniani kwa kutoa vitu mbalimbali kwa watoto wahitaji na kutembea wodi ya mama waliojifungua hospitali ya Bunda DDH Akizungumza katika siku hiyo kaimu mkurugenzi…
7 March 2023, 00:12 am
Mhe. Waziri Ndalichako awasili Mtwara
Na Mohamed Massanga Waziri wa Nchi – Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amewasili mkoani Mtwara leo Machi 6, 2023 kwa ziara ya siku mbili kwa lengo la kukagua maendeleo ya maandalizi ya Uzinduzi wa Mwenge…