Habari
August 24, 2023, 2:12 pm
TAKUKURU yabaini madudu matengenezo barabara Shinyanga
TAASISI ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Shinyanga, imembana Mkandarasi kutoka Kampuni ya Brampem Global Investment LTD, kurudia matengenezo ya barabara aliyojenga chini ya kiwango, pamoja na kukatwa fedha kutokana na kuchelewesha matengenezo hayo kinyume cha Mkataba,…
24 August 2023, 1:32 pm
Mapya yaibuka kifo cha mtoto aliyekutwa jengo la shule, wazazi wafunguka
Mwili wa mtoto aliyekutwa amefariki dunia maeneo ya shule ya sekondary ya Ellys iliyoko mtaa wa Mbugani kata ya Manyamanyama halmashauri ya mji wa Bunda umetambuliwa. Na Adelinus Banenwa Mussa Iramba mkazi wa Hunyari ambaye ni baba mzazi wa mtoto…
August 23, 2023, 2:15 pm
Mawe ya dhahabu yakamatwa yakitoroshwa kutoka mgodi wa Bulyanhulu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limekamata mawe yenye madini ya dhahabu yenye uzito wa gramu 6753.4 na thamani ya Tsh. Milioni 9 yakitoroshwa kutoka kwenye mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu wilayani Kahama huku pia likikamata Carbon yenye mchanga wenye…
August 21, 2023, 6:08 pm
Ilindi waomba kata kupunguza safari ndefu kwenda Zongomela
Mwenyekiti wa mtaa wa Ilindi kata ya Zongomela Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Dogo Mheziwa, ameliomba baraza la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kuhalalisha mtaa wa Mwime ya Ilindi kuwa kata inayoweza kujiendesha yenyewe ili kupunguza…
18 August 2023, 10:18 am
Wakazi Bunda Stoo walia ukosefu wa maji
Suala la maji katika Mtaa wa idara ya maji hasa maeneo ya panda miti imekuwa ni kikwazo ambapo wamesema hulazimika kuamka usiku wa manane ili kwenda kufata maji. Na Adelinus Banenwa Wakazi Mtaa wa Idara ya Maji kata ya Bunda…
16 August 2023, 9:50 am
DC Naano: Bunda inaongoza kwa kutokuwa na vyoo Mara
Bunda ni miongoni mwa wilaya zinaongoza kwa kutokuwa na vyoo mkoani Mara Na Thomas Masalu Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe. Dr,Vicent Naano amegiza kushughulikiwa kikamilifu suala la usafi wa mazingira hasa kuwa na vyoo bora majumbani ili kusaidia kupunguza…
10 August 2023, 1:14 pm
Chama cha wafugaji chatoa msimamo uwekezaji bandari
Wafugaji wanaona yapo manufaa makubwa kwenye uwekezaji wa bandari hivyo wanaunga mkono jitihada zote za serikali katika uwekezaji huo. Na Adelinus Banenwa Chama cha wafugaji Tanzania kupitia kwa mwenyekiti wake kimesema kinaunga mkono mkataba wa mashirikiano ya serikali na kampuni…
9 August 2023, 17:43 pm
Wasanii Mtwara kuchangamkia fursa
Na Msafiri Kipila Serikali imeendelea kuwawezesha na kutoa mafunzo kwa wasanii mkoani MtwaraAgosti 07, 2023 katika Ukumbi Wa TTC Kawaida hapa Mtwara, ili wasanii wapate mikopo na kujiajiri, kushiriki kwenye shughuli za maendeleo na kuchangia pato la taifa. Katika mwaka…
9 August 2023, 6:25 am
Taarifa ya habari Adhana FM Agosti 9, 2023
8 August 2023, 9:27 am