Habari
4 Febuari 2026, 07:50 mu
Watanzania wanufaika na mageuzi ya sheria ya madini
Mabadiliko ya sheria ya Madini, zaidi ya Asilimia 97 ya watanzania wajitokeza kufanya kazi kwenye sekta ya madini Na Gregory Milanzi Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yamewezesha watanzania wengi kufanya kazi katika sekta ya madini, ambapo…
3 Febuari 2026, 1:21 mu
Bima ya afya kwa wote sasa bure kwa kaya masikini
Naomba mkatoe elimu kwa wananchi na kuhakikisha wanaelewa mkakati wa serikali wa kutoa bima ya afya kwa wote Na. Emmanual Kamangu Wanufaika kaya masikini TASAF elfu 66800 mkoani kigoma Kunufaika bure na bima ya afya kwa wote ikiwa ni mpango…
24 Disemba 2025, 7:19 um
Mazoezi ni muhimu kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza
Tunatakiwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo pia kuendelea kujenga afya zetu. Na Emmanuel Kamangu. Wananchi wilayani kasulu wametakiwa kujenga tabia ya kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo kujenga afya…
26 Oktoba 2025, 8:42 um
Wasimamizi vituo vya kupigia kura watakiwa kuzingatia sheria
Zaidi ya wasimamizi wakuu na wasaidizi wa vituo vya kupigia kura 1,950 wanatarajia kwenda kusimamia vituo 650 vya kupigia kura katika jimbo la Sengerema wamekura kiapo cha uadilifu ili kutekeleza jukumu la uchaguzi mkuu jimbo la Sengerema. Na Mwandishi wetu…
6 Oktoba 2025, 11:26 mu
Wazazi watakiwa kuendeleza malezi kwa wahitimu kidato cha nne
Malezi kwa vijana wanaohitimu kidato cha nne ni jukumu la wazazi na walezi sambamba na jamii inayowazunguka wakizingatia kulinda mila na desturi Na Ospicia Didace, Karagwe Wazazi na walezi wilayani Karagwe wameaswa kuwatunza watoto wao hata baada ya kuhitimu ngazi…
2 Oktoba 2025, 3:15 um
Wazee walia na huduma duni za afya Bukoba
Wazee katika maeneo mbalimbali nchini wameitumia siku ya wazee duniani kupaza sauti zao kwa serikali wakilalamikia mambo kadha kubwa likitawala suala la huduma duni za afya Na Theophilida Felician, Bukoba. Tarehe 1 Oktoba kila mwaka ni siku ya wazee duniani…
27 Septemba 2025, 7:31 um
DC Tabora azindua dawati la uwezeshaji biashara
Na Wilson Makalla Mkuu wa wilaya ya Tabora, Upendo Wella amezindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara kwa Wananchi mkoa wa Tabora siku ya Jumanne Septemba 23, 2025 katika Ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA ) Mkoa wa Tabora na…
27 Septemba 2025, 7:14 um
RC Chacha awasihi wafanyabiashara kujisajili mfumo wa NeST
“Serikali inaendelea kushirikiana kwa karibu na wananchi kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa sambamba na kuweka mazingira bora ya biashara na uwekezaji”, Paul Chacha. Na Wilson Makalla Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amewataka wafanya biashara ndogondogo Mkoani Tabora kujiweka…
Septemba 25, 2025, 7:05 um
BAKWATA Arusha yatoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalum
Uongozi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Arusha umetembelea na kutoa msaada wa vifaa mbalimbali katika shule ya msingi Kaloleni, inayowahudumia watoto wenye mahitaji maalum, kama sehemu ya kuelekea maadhimisho ya Maulid yatakayofanyika Jumamosi hii jijini Arusha.…
13 Septemba 2025, 9:04 mu
TRA Iringa yazindua dawati la uwezeshaji biashara
Dawati hilo lina lengo la kuboresha uhusiano kati ya TRA na wafanyabiashara. Na Adelphina Kutika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa imezindua Dawati Maalumu la Uwezeshaji Biashara, hatua inayolenga kuboresha mahusiano kati ya serikali na wafanyabiashara sambamba na…