Radio Tadio

Habari za Jumla

Mei 3, 2024, 7:28 mu

CWT Songwe yawanyima sare walimu siku ya Mei Mosi

Na Denis Sinkonde,Songwe Zaidi ya walimu 5000 wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Songwe wamelalamikia uongozi wa chama hicho taifa kushindwa kuwanunulia sare kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) ambayo mkoani Songwe yamefanyika wilayani…

3 Mei 2024, 12:27 mu

Kikokotoo  bado fumbo kwa watumishi wastaafu

Bango la shirika la Posta katika maandamano ya Mei Mosi – Picha na Isidory Matandula Mishahara duni, miundo mbinu mibovu, mikataba mibovu ya ajira, kuchelewa posho za uhamisho na kikokotoo cha wastaafu ni msalaba unaowaelemea watumishi . Na: Isidory Matandula…

2 Mei 2024, 7:23 um

Ujangili unakuingiza kwenye makosa ya jinai-Kipindi

Jamii katika Bonde la Kilombero imetakiwa kufuata sheria zilizowekwa katika kuvuna rasilimali mbalimbali badala ya kufanya ujangili hali ambayo watajikuta wakiangukia kwenye makosa ya jinai. Mhifadhi Pori la Akiba Kilombero Kamanda Bigilamungu Kagoma amesema ili mtu aweze kuvuna rasilimali zinazosimamiwa…

2 Mei 2024, 17:02

Wananchi wajenga shule kunusuru watoto wao na mimba

Serikali imesema itaendelea kusaidiana na wananchi katika kuhakikisha wanafanikisha utoaji wa huduma muhumu ikiwemo kujenga shule ili kutatua changamoto za wanafunzi kutembea umbali mrefu kutafuta elimu katika kijiji kingine. Na Michael Mpunije – Buhigwe Wananchi wa kijiji cha Nyankoronko kata…

2 Mei 2024, 12:25

Wananchi kufikishwa mahakamani waliohujumu eneo la uwekezaji

Serikali wilayani kibondo imesema itaendelea kuwachukulia hatua wanaokiuka taratibu za uwekezaji kwa kuvamia maeneo yanayokuwa yamepangwa kwa ajili ya uwekezaji. Na James Jovin – Kibondo Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma inapanga kuwaburuza mahakamani baadhi ya wananchi wa vijiji…

2 Mei 2024, 11:58

Viongozi idara za Moravian zapewa elimu kupinga ukatili

Utaratibu wa kanisa Moravian Ni kuhakikisha idara zake zinakuwa sehemu ya kuungana na jamii kupinga masuala ya ukatili yanayofanywa kwenye jamii. Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini kupitia Idara yake ya Ustawi wa jamii Inaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo…

2 Mei 2024, 11:26

TRA Kigoma yakamata bidhaa feki

Serikali kupitia mamlaka ya mapato imewataka wananchi na wadau mbalimbali ili kusaidia kukabiliana na wimbi la uingizwaji wa bidhaa feki Nchini. Na Lucas Hoha – Kigoma Mamlaka ya mapato Tanzania TRA, Mkoa wa kigoma imekamata bidhaa mbalimbali ikiwemo vipodozi na…