Radio Tadio

Habari za Jumla

2 Mei 2024, 17:02

Wananchi wajenga shule kunusuru watoto wao na mimba

Serikali imesema itaendelea kusaidiana na wananchi katika kuhakikisha wanafanikisha utoaji wa huduma muhumu ikiwemo kujenga shule ili kutatua changamoto za wanafunzi kutembea umbali mrefu kutafuta elimu katika kijiji kingine. Na Michael Mpunije – Buhigwe Wananchi wa kijiji cha Nyankoronko kata…

2 Mei 2024, 12:25

Wananchi kufikishwa mahakamani waliohujumu eneo la uwekezaji

Serikali wilayani kibondo imesema itaendelea kuwachukulia hatua wanaokiuka taratibu za uwekezaji kwa kuvamia maeneo yanayokuwa yamepangwa kwa ajili ya uwekezaji. Na James Jovin – Kibondo Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma inapanga kuwaburuza mahakamani baadhi ya wananchi wa vijiji…

2 Mei 2024, 11:58

Viongozi idara za Moravian zapewa elimu kupinga ukatili

Utaratibu wa kanisa Moravian Ni kuhakikisha idara zake zinakuwa sehemu ya kuungana na jamii kupinga masuala ya ukatili yanayofanywa kwenye jamii. Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini kupitia Idara yake ya Ustawi wa jamii Inaendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo…

2 Mei 2024, 11:26

TRA Kigoma yakamata bidhaa feki

Serikali kupitia mamlaka ya mapato imewataka wananchi na wadau mbalimbali ili kusaidia kukabiliana na wimbi la uingizwaji wa bidhaa feki Nchini. Na Lucas Hoha – Kigoma Mamlaka ya mapato Tanzania TRA, Mkoa wa kigoma imekamata bidhaa mbalimbali ikiwemo vipodozi na…

2 Mei 2024, 9:46 mu

Serikali kuboresha miundombinu ya elimu Iringa

Serikali inatambua haki ya kila mtu kupata elimu na hivyo inawekeza katika kuweka mifumo na miundombinu stahiki ya kielimu Kwa ajili ya wanafunzi nchini. Na Joyce Buganda Serikali imedhamiria kuendelea kuimarisha sekta ya elimu Kwa kuimarisha miundombinu na kuboresha stahiki…

1 Mei 2024, 11:59 um

Wafanyakazi mkoani Katavi watoa ya moyoni

Miongoni mwa wafanyakazi waliofika katika viwanja vya Kashaulili kusherehekea maadhimisho ya siku hiyo .picha na Ben Gadau “waajiri wasiopeleka makato katika taasisi zinazopaswa kupeleka fedha hizo wanavunja sheria “ Na Ben Gadau -Katavi Wafanyakazi mkoani Katavi wamelalamikia adha ya waajiri…

1 Mei 2024, 6:47 um

Serikali kuagiza kuundwa kwa mabaraza sherehe za mei mosi

ili kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji wa kinjisia mahala pakazi mabaraza yametakiwa kuamzisha lengo ni kukabiliana na changamoto kwa watumishi. Rungwe-Mbeya Na Lennox Mwamakula Serikali imeziagiza taasisi zote umma na binafsi kuunda mabaraza kwenye taasisi hizo ili kuwawezesha watumishi  wao…

1 Mei 2024, 15:13

Acheni kunyanyasa wafanyakazi katika maeneo ya kazi

Wafanyakazi wa sekta mbalimbali leo wameadhimisha siku ya wafanyakazi huku wakiomba serikali kupitia vyama vya wafanyakazi kuangalia namna ya kutatua changamoto zinazowakabili wafanyakazi. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa Jeshi la Zimamto…

1 Mei 2024, 13:29

Dc kasulu akerwa na vitendo vya uvunjifu wa amani

Vitendo vya wizi na uharifu kwenye jamii wilayani kasulu vimeendelea kuumiza vichwa kwa viongozi huku wananchi wakiendelea kuumia kwa mali zao kuibiwa na wengine kuharisha maisha yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutoa taarifa…

1 Mei 2024, 13:06

Shilingi bilioni 2.7 kutekeleza miradi ya afya na elimu kibondo

Serikali imesema itaendelea kusimamia na kutoa kipaumbele kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo ili kuwafikishia huduma wananchi. Na James Jovin – Kibondo Halimashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma kupitia ruzuku ya serikali kuu imepokea fedha kiasi cha shilingi bilioni 2.7…