Radio Tadio

Habari za Jumla

Mei 15, 2024, 11:17 mu

Mkoa wa Shinyanga watajwa kuongoza kwa ukatili

Vitendo vya ukatili kwa watoto hasa ulawiti wa watoto wa kiume zimeendelea kushamiri huku akina mama wakitajwa kutochukua hatua ya kuwalinda watoto. Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Shinyanga, Grace Bizulu amewataka wazazi na walezi…

15 Mei 2024, 09:40

Migogoro ya kifamilia huathiri malezi na makuzi ya watoto

Serikali ya mkoa wa Kigoma imesema kuwa wazazi kwa kushirikiana na jamii hawana budi kukaa na kutatua migogoro ya familia ili iwe suluhisho la watoto kukua katika maadili na malezi bora. Na Josephine Kiravu – Kigoma Katibu tawala mkoani Kigoma…

14 Mei 2024, 5:30 um

Roundabout kumaliza ajali za barabarani Lamadi

Barabara ya mzunguko ilichelewa sana kuwepo na huenda ajali za barabarani zisingekuwepo au kuwepo lakini kwa kiwango cha chini tofauti na hivi sasa. Na, Daniel Manyanga  Kukamilika kwa barabara ya mzunguko  (roundabout) inayounganisha barabara za Lamadi Bariadi,Mwanza na Mara kunatajwa…

Mei 14, 2024, 3:58 um

Miundombinu ya umeme yaanza kuwekwa mashine za mpunga Kahama

Siku chache baada ya kurusha taarifa ya changamoto ya kukosekana kwa umeme wa kutosha katika eneo la viwanda vidogo na vya kati vya kuchakata mpunga/mchele, lililopo kata ya Kagongwa manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, shirika la Umeme Tanzania TANESCO wilayani…

14 Mei 2024, 9:34 mu

Bei ya pamba haina tija kwa wakulima wa Bariadi

Kutokana na bei ya pamba kuwa ndogo katika msimu wa kilimo wa mwaka 2024/25 iliyotangazwa mkoani Shinyanga wakulima wameanza kuangalia namna ya kuachana na kilimo hicho. Na, Daniel Manyanga Baraza la Madiwani la halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu…

13 Mei 2024, 15:41

UNHCR na tanzania zatoa msimamo kwa wakimbizi wa burundi.

Wakimbizi wa nchi ya burundi wanaohifadhiwa mkoani Kigoma, wametakiwa Kurejea Nchini Burundi mara moja ili kuungana na ndugu zao kujenga Taifa hilo,  kabla ya kufutiwa hadhi ya Ukimbizi  na kukosa misaada ya Kibinadamu ifikapo Mwezi Desember Mwaka huu. Na, Lucas…

Mei 11, 2024, 5:00 um

Hakuna kupita bila kupingwa-ACT Wazalendo

Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni mwenyekiti wa ACT – Wazalendo Taifa, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, amekabidhiwa uchifu (utemi wa nchi) na wazee wa Kahama, kuwa mtemi/chifu wa kabila la wasukuma na wanyamwezi. Zoezi hilo limefanyika…