Habari za Jumla
17 Juni 2024, 15:34
Waislamu wametakiwa kuwajali wasiojiweza
Wakati waislamu duniani kote wakiwa wameungana kusherekea siku ya Eid El Hajj wito umetolewa kwao kuendelea kuwasaidia watu wasiojiweza hasa wanaishikatika mazingira magumu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Waumini wa dini ya Kiislamu wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameaswa kusherehekea sikukuu…
17 Juni 2024, 1:21 um
Maswa: Serikali yaombwa kuwekeza kwenye elimu jumuishi kwa watoto,vijana
“Elimu jumuishi kwa watoto na vijana itasaidia sana kupunguza wimbi la watoto mitaani na utegemezi wa ajira kutoka serikalini hivyo tusiogope kuwekeza kwenye elimu jumuishi.” Na Daniel Manyanga Wadau wa maendeleo kwa watoto na vijana wilayani Maswa mkoani Simiyu wameomba…
16 Juni 2024, 11:39
Wawili wafariki, 16 kujeruhiwa Mafinga
Na Bestina Nyangaro Watu wawili wamefariki Dunia na wengine 16 kujeruhiwa, wakiwemo watumishi 6 wa shirika la umeme (TANESCO) Mafinga na wakatamiti katika shamba la miti Sao Hill. Ajali hiyo imetokea Juni 15, 2024 ikihusisha gari namba T195 EDF aina…
15 Juni 2024, 11:15 mu
Wazazi Katavi waaswa kutowaozesha mabinti katika umri mdogo
“Wazazi wanachangia mimba za utotoni kwa watoto wao kutokana na kuruhusu watoto hao kuwa na mahusiano katika umri mdogo“ Na Lilian Vicent -Katavi Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo hufanyika kila tarehe 16 Juni kila mwaka, halmashauri…
14 Juni 2024, 9:07 mu
Dc Ngorongoro:Tatueni migogoro kwenye kata zenu
Na Zacharia James Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mhe.kanali Wilson Sakulo amewataka waheshimiwa madiwani kushiriki kikamilifu kusaidia kutatua migogoro yote iliyopo katika maeneo ya kata zao kwani wao wananguvu kubwa na imani ya Wananchi wao. Ameyasema hayo katika mkutano wa…
12 Juni 2024, 7:14 um
Ashambuliwa na sime kisa kulisha ng’ombe chumvi Ngorongoro
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Paul Makonda wakati anawasili kwa mara ya kwanza mkoani hapa alinukuliwa akisema mkoa wa Arusha una migogoro mingi ya aridhi na kumpa kamishina wa Aridhi miezi mitatu kuhakikisha anaimaliza migogoro hiyo. Na Edward Shao.…
12 Juni 2024, 4:20 um
Mboje wa Singida atupwa jela miaka 30,faini ya laki tatu kwa kubaka Maswa
“Ukatili wa kijinsia umetajwa vyanzo vya matatizo ya kisakolojia kwa wahanga hivyo sheria ziwe na makali kwa mtuhumiwa hali ambayo itaweza kupunguza au kumaliza ukatili.” Na, Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu, Mboje Paul (28) mkazi…
12 Juni 2024, 3:17 um
Madereva Tax Katavi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani
mkaguzi msaidizi Jofrey Brighton kutoka jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Katavi akiwa anafanya ukaguzi “baadhi ya madereva wamekuwa wakifanya makosa ya kuzidisha abiria, kupakia abiria pamoja na mizigo hatarishi“ Na John Benjamini-Katavi Madereva wa Tax maarufu probox…
12 Juni 2024, 14:43
Serikali kupunguza kero kukatika umeme kwa kuanzisha njia mbadala
Shirika la umeme TANESCO limeboresha huduma za nishati hiyo na kupunguza kukatikatika kwa umeme kwenye maeneo mengi nchini. Na Hobokela Lwinga Serikali kupitia shirika la umeme Tanzania TANESCO linatekeleza uanzishwaji wa vyanzo mbalimbali vya uzalishaji umeme ili kuondokana na kero…
12 Juni 2024, 14:04
Wananchi washiriki mdahalo wa wazi wa katiba,waomba mchakato uharakishwe
Katiba Ni Muongozo Ambao Unawekwa Kwa Ajili Ya Kuongoza Mambo Mbalimbali Iwe Katika Nchi,Vikundi Hata Taasisi Mbalimbali. Na Deus Mellah Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS kinaendelea kuendesha mijadala ya wazi yenye kujenga, kusikiliza na kupokea maoni ya Wananchi kuhusu…