Habari za Jumla
21 June 2024, 14:11
Mwenge wa Uhuru kuzindua miradi yenye thamani zaidi ya Bilioni 600 Iringa
Na Moses Mbwambo Iringa Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuwasili mkoani Iringa Juni 22,2024 ukitokea mkoani Njombe ambapo utazinduaa miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 600 na utakimbizwa kwenye Halmashauri 5 za mkoa wa Iringa. Mkuu wa Mkoa wa Iringa…
21 June 2024, 11:34
Vijana 192 kupata ajira Sao Hill
Na Kefa Sika Mafinga Takribani vijana 192 wanatarajia kupata ajira za ulinzi wa misitu dhidi ya majanga ya moto shamba la miti saohill lenye ukubwa wa hekta 134,903 wilayani Mufindi kuanzia julai Mosi Mwaka huu. Hayo yamesemwa na Msaidizi wa…
20 June 2024, 8:12 pm
Aliyetoroka na kwenda Msomera kwa kulazimishwa kuolewa arejea Ngorongoro
Mwanamke huyo anasema alitolewa mahari akiwa darasa la pili na mwanaume ambaye alihitaji kumuoa baada ya binti huyo kuhitImu kidato cha nne lakini binti huyo hakuwa tayari kuolewa na mwanaume huyo licha ya kuishi naye kwa muda mchache na kuambulia…
20 June 2024, 18:48
Kwaya kuu kanisa la Moravian jimbo la kusini magharibi wafanya ziara Uswiss
Baadhi ya Wanakwaya ya Wawakilishi Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi wakiwa nchi ya Uswiss Na Ezekiel Kamanga Makamu Mwenyekiti wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mchungaji Asulumenye Ever Mwahalende ameongoza Kwaya ya Jimbo katika…
20 June 2024, 15:21
Mbeya DC yanufaika na mabilioni ya fedha za Dkt. Rais samia
Shukrani ni sehemu ya kukubali matokeo ya jambo ambalo mtu au watu wanakuwa wamelipata,katika halmashauri ya Mbeya wananchi wameipongeza serikali kupitia ziara ya MNEC Ndele Mwaselela kwa kupeleka maendeleo kwenye maeneo yao. Na Hobokela Lwinga Serikali kupitia ilani ya chama…
19 June 2024, 6:51 pm
Wanahabari Manyara wanolewa mradi bomba la mafuta
Ili kutekeleza mradi wa bomba la mafuta hoima Uganda hadi jiji Tanga na mkoa wa Manyara waandishi wa habari mkoani Manyara watakiwa kuendlea kutoa elimu kwa jamii kuhusu mradi huo na manufaa yake. Na Geogre Augustino Zaidi ya asilimia 99…
19 June 2024, 4:44 pm
Jamii ya Maasai kuongozwa na viongozi wa kimila wanawake
Ni mara chache kushuhudia viongozi wa kimila wanawake wameaminiwa na kupewa nafasi katika kuongoza jamii, lakini shirika la Memutie limefanikiwa kuielimisha jamii ya kimaasai na kukubali kupata viongozi wa kimila wanawake maarufu Ingaigwanak na kuwasimika rasmi tayari kuanza majukumu yao.…
18 June 2024, 8:45 pm
Waumini wa dini ya Kiislam Katavi watakiwa kujikita katika shughuli za maendeleo
Katika swala ya Eid Al Adha. “Ibada nzuri ni ile ya kuifikia jamii katika shughuli mbalimbali za maendeleo.” Na Fatuma Said -Katavi Katika kusherehekea sikukuu ya Eid Al Adha, Shehe Mkuu wa mkoa wa Katavi Mashaka Kakulukulu, amewataka waumini wa…
17 June 2024, 15:34
Waislamu wametakiwa kuwajali wasiojiweza
Wakati waislamu duniani kote wakiwa wameungana kusherekea siku ya Eid El Hajj wito umetolewa kwao kuendelea kuwasaidia watu wasiojiweza hasa wanaishikatika mazingira magumu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Waumini wa dini ya Kiislamu wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameaswa kusherehekea sikukuu…
17 June 2024, 1:21 pm
Maswa: Serikali yaombwa kuwekeza kwenye elimu jumuishi kwa watoto,vijana
“Elimu jumuishi kwa watoto na vijana itasaidia sana kupunguza wimbi la watoto mitaani na utegemezi wa ajira kutoka serikalini hivyo tusiogope kuwekeza kwenye elimu jumuishi.” Na Daniel Manyanga Wadau wa maendeleo kwa watoto na vijana wilayani Maswa mkoani Simiyu wameomba…