Habari za Jumla
1 Agosti 2024, 5:13 um
Katibu wa Amcos ya Kidema wilayani Maswa matatani
Mwendesha Mashtaka wa Takukuru ameeleza kuwa Mshtakiwa alifikishwa Mahakamani hapo Januari 05, 2023 kwa Makosa Mawili ya kutoa fedha kiasi Tsh. 1,228,000/= kwenye akaunti ya KIDEMA AMCOS na kuzitumia kwa matumizi yake binafsi badala ya kulipa ushuru kwenye akaunti ya chama kikuu Cha…
01/08/2024, 14:42
Chem chem Association yakabidhi maboma 15 kwa wafugaji Manyara.
Kutokana na uwelewa mdogo wa wafugaji namna ya kulinda mifugo yao ili isivamiwe na wanyama wakali serikali itaendelea kutoa elimu kwa kushirikiana na wadau ili kujenga maboma hai mengine na kulinda wanyama wanaofugwa na binadamu . Na Marino Kawishe Taasisi…
1 Agosti 2024, 07:53
Kurasa za magazeti August 1, 2024
31 Julai 2024, 10:16
Kurasa za magazeti ya Tanzania Julai 31, 2024
30 Julai 2024, 18:53
Barabara ya Mbalizi-Shigamba kupendwa kwa shilingi bilioni 2
Barabara ni kiunganishi kikubwa cha maendeleo ya nchi na watu, ukosefu wa miundombinu hiyo husababisha watu kushindwa kuzalisha na kupata uchumi Mara nyingine hata kukosa huduma Bora za afya hasa pindi mama majamzito anapokwenda kujifungua . Na Josea Sinkala, Mbeya…
30 Julai 2024, 3:34 um
Maendeleo ya miundombinu Kata ya Terrati Simanjiro Mkoani Manyara
Diwani wa Kata ya Terrat bwana Jackson Materi picha na Isack Dickson Na Evanda Barnaba Ujenzi wa Barabara ya kuunganisha vijiji vya Terrat,Loswaki na Engonongoi bado unaendelea kusubiri mfumo wa serikali unaohusisha kutolewa kwa fedha mara baada ya mwaka wa…
Julai 30, 2024, 3:04 um
Wananchi wapongeza ulinzi shirikishi kutekeleza majukumu yake
Wakazi wa Kata ya Nyihogo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameonyesha kufurahishwa na utendaji kazi wa Ulinzi shirikishi ambapo kwa asilimia kubwa umeweza kukabiliana na wimbi la vibaka na kuimalisha ulinzi na usalama. Wakizungumza hii leo wameeleza kuwa ,Ulinzi…
30 Julai 2024, 11:55 mu
Katavi :Bilion moja kutolewa kwa wasanii halmashauri ya Nsimbo
Afisa mtendaji mkuu mfuko wa utamaduni na sanaa Tanzania Nyakaho Mturi Mahemba .picha na Samwel Mbugi “amewataka wananchi kuacha kukopa mikopo ya kausha damu kwani imekuwa ikirudisha maendeleo nyuma kwa wananchi.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Afisa mtendaji mkuu mfuko wa…
30 Julai 2024, 11:42
Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji Buhigwe
Serikali wilayani Buhigwe mkoani kigoma imesema itaendelea kutoa elimu ya utunzaji wa mazingira yanayozunguka vya maji ili kusaidia kuhifadhi vyanzo vya manufaa ya jamii nzima. Na Michael Mpunije – Buhigwe Wananchi wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kutunza vyanzo vya maji…
24/07/2024, 17:37
Manyara yajipanga kukuza uwezo wa wafanyabiashara
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema baada ya maonesho ya wafanyabiasha sabasaba yaliyofanyika jijini Dar es salaam nakuwakutanisha wafanyabiashara kinamama na taasisi inayojishughulisha na wakina mama wanaosafirisha bidhaa nje ya nchi wanatarajia kufanya mkutano na kinamama wazalishaji na…