Radio Tadio

Habari za Jumla

26 Agosti 2024, 5:19 um

NEC yawaomba wananchi Simiyu  kujitokeza kuboresha taarifa zao

Tume huru ya uchaguzi imewataka wananchi mkoani simiyu kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura, ili wawe na sifa za kushiriki uchaguzi ujao. Akizungumza katika  Mkutano  huo   uliowakutanisha wadau mbalimbali mhe. Jaji mustaafu MBAROUK…

26/08/2024, 15:02

Wadau Geita wapongeza mfumo mpya wa NECTA

Wanafunzi wa darasa la 7 kote nchini wanatarajia kuanza kufanya mtihani wa taifa wa kuhitimu elimu hiyo septemba 11 na 12 mwaka huu. Na: Ester Mabula – Geita Mkurugenzi wa shule ya awali na msingi Kadama Bi. Leticia Pastory amesema…

22 Agosti 2024, 9:33 mu

367 wahamia Msomera licha ya maandamano Ngorongoro

Kumekuwa na maandamano kwa wananchi wanaoishi tarafa ya Ngorongoro wakiitaka serikali kuwasikiliza na kutatua changamoto na kero zinazowakabili bila ya mafanikio, hata hivyo wengine wameendelea kukubali kuhama kwa hiari kulekea Msomera. Na mwandishi wetu. Mwitikio wa wananchi wanaoishi katika eneo…

20 Agosti 2024, 12:13 um

Wakatazwa kujihusisha na kilevi wakati wa uandikishaji

Tume huru ya uchaguzi nchini inatarajia kuanza zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura kwa mikoa ya Mwanza na Shinyanga tar21/08/2024 Na:Emmanuel Twimanye Maafisa uandikishaji  wa  uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura katika  Jimbo la Sengerema…