Habari za Jumla
30 Julai 2024, 3:34 um
Maendeleo ya miundombinu Kata ya Terrati Simanjiro Mkoani Manyara
Diwani wa Kata ya Terrat bwana Jackson Materi picha na Isack Dickson Na Evanda Barnaba Ujenzi wa Barabara ya kuunganisha vijiji vya Terrat,Loswaki na Engonongoi bado unaendelea kusubiri mfumo wa serikali unaohusisha kutolewa kwa fedha mara baada ya mwaka wa…
Julai 30, 2024, 3:04 um
Wananchi wapongeza ulinzi shirikishi kutekeleza majukumu yake
Wakazi wa Kata ya Nyihogo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameonyesha kufurahishwa na utendaji kazi wa Ulinzi shirikishi ambapo kwa asilimia kubwa umeweza kukabiliana na wimbi la vibaka na kuimalisha ulinzi na usalama. Wakizungumza hii leo wameeleza kuwa ,Ulinzi…
30 Julai 2024, 11:55 mu
Katavi :Bilion moja kutolewa kwa wasanii halmashauri ya Nsimbo
Afisa mtendaji mkuu mfuko wa utamaduni na sanaa Tanzania Nyakaho Mturi Mahemba .picha na Samwel Mbugi “amewataka wananchi kuacha kukopa mikopo ya kausha damu kwani imekuwa ikirudisha maendeleo nyuma kwa wananchi.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Afisa mtendaji mkuu mfuko wa…
30 Julai 2024, 11:42
Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji Buhigwe
Serikali wilayani Buhigwe mkoani kigoma imesema itaendelea kutoa elimu ya utunzaji wa mazingira yanayozunguka vya maji ili kusaidia kuhifadhi vyanzo vya manufaa ya jamii nzima. Na Michael Mpunije – Buhigwe Wananchi wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kutunza vyanzo vya maji…
24 Julai 2024, 5:37 um
Manyara yajipanga kukuza uwezo wa wafanyabiashara
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema baada ya maonesho ya wafanyabiasha sabasaba  yaliyofanyika jijini Dar es salaam nakuwakutanisha  wafanyabiashara kinamama na taasisi inayojishughulisha na wakina mama wanaosafirisha bidhaa nje ya nchi wanatarajia kufanya mkutano na kinamama wazalishaji na…
24 Julai 2024, 4:06 um
Wamiliki wa silaha mkoani Manyara watakiwa kuhakiki silaha zao
Kamanda wa wa polisi mkoani Manyara Geogre Katabazi amesema jeshi la polisi kwa kushirikiana na timu kutoka makao makuu ya polisi Dodoma watafanya uhakiki wa silaa kwa wamiliki wa silaa ili kujiridhisha kama anuani ya mmiliki wa silaa imebadilika na…
23 Julai 2024, 4:41 um
Mbunge Mlimba ataja miradi iliyotekelezwa hadi sasa, inayotekelezwa
“wakati napata ubunge tatizo la upatikanaji wa maji katika jimbo la Mlimba lilikuwa kubwa sana ukilinganisha na sasa”Mbunge wa jimbo la mlimba godwine Kunambi N a Elias Maganga Kampeni ya kumtua mama ndoo kishwni KATIKA Jimbo la mlimba Wilayani kilombero…
23 Julai 2024, 13:12
Mbunge Sichalwe awawezesha vijana kiuchumi
Kongamano la kuwawezesha vijana kiuchumi lavunja rekodi kutokana na idadi kubwa ya vijana waliojitokeza. Na mwandishi wetu, Momba Songwe Mamia ya vijana kutoka makundi na kanda mbalimbali wamemshukuru Mbunge wa Jimbo la Momba Mheshimiwa Condester Sichalwe (Mundy) kwa kuandaa kongamano…
23 Julai 2024, 10:50
Rais Samia apongezwa kwa utekelezaji miradi ya maendeleo Mbeya
Viongozi wa Serikali wameletwa ili kuiponya Miili ya Watu wakiwemo Viongozi wa dini ndio maana vitabu vya dini vinasisitiza kutii mamlaka iliyojuu ya mtu. Na Hobokela Lwinga Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo amekutana na Kufanya Mazungumzo na Prophet…
18 Julai 2024, 11:35 mu
Nkigi: Abiria acheni uoga
Abiria mkoani Manyara wametakiwa kupaza sauti zao na kutokuwa waoga wanapoona kuna changamoto katika vyombo vya usafiri kama dereva kukimbiza gari kwa kutoa taarifa katika vyombo vya sheria ikiwemo jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani pamoja na chama cha…