Habari za Jumla
17 Septemba 2024, 8:59 um
Chemba siyo sehemu ya utafutaji dada wa kazi
Upo utamaduni uliojengeka miongoni jamii kuwa Wilaya ya Chemba kuwa ni sehemu ya kutafuta wadada wa kazi Na Leonard Mwacha Upo utamaduni uliojengeka miongoni jamii kuwa Wilaya ya Chemba kuwa ni sehemu ya kutafuta wadada wa kazi kutokana na sababu…
17 Septemba 2024, 10:25 mu
Awamu ya pili madaktari bingwa wa mama Samia waweka kambi Lindi
Na Hadija Omary Wananchi Mkoani Lindi wametakiwa kutumia siku sita za ujio wa madaktari bingwa na ubingwa bobezi wa Rais Samia kupata huduma za kibingwa kwa karibu katika hospitali za Wilaya za Mkoa huo Rai hiyo imetolewa na Mganga Mkuu…
17 Septemba 2024, 06:41
Kurasa za magazeti leo Septemba 17,2024
16 Septemba 2024, 7:00 um
World Vision yawapiga msasa wajumbe wa kamati ya maafa Maswa
“Katika kukabiliana na maafa mbalimbali hapa nchini shirika lisilo la kiserikali la World vision limeendesha mafunzo kwa kamati za maafa ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji wakati ,kabla na baada ya maafa”. Na, Daniel Manyanga Kamati za Maafa za wilaya zimetakiwa…
16 Septemba 2024, 6:12 um
BAKWATA yaibuka na matukio ya utekaji na mauaji nchini
Kutokana na uwepo wa matukio ya watu kutekwa na wengine kuuawa makundi mbalimbali katika jamii yanalaani juu ya matukio hayo ikiwemo viongozi wa dini. Na Mrisho Sadick: Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA limelaani vikali matukio ya utekaji na mauaji…
14 Septemba 2024, 06:23
Kurasa za magazeti leo 14,Septemba 2024
13 Septemba 2024, 11:59 mu
Katavi:Kiongozi wa mbio za mwenge”miradi iendane na thamani ya pesa”
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa katika picha akiwa na viongozi wengine wilaya ya mpanda akiwemo mkuu wa wilaya ya mpanda Jamila Yusuph.picha na Betord Chove “Wajibu wa watekelezaji wa mradi huo pamoja na serikali kuhakikisha jengo hilo linakuwa na…
11 Septemba 2024, 7:38 um
Virusi vya homa ya ini ni hatari kuliko VVU
Virusi vya ugonjwa wa homa ya ini ni rahisi kuambukizwa kutoka kwa mtu mwenye maambukizi hadi mwingine na kuleta madhara kwa muda mfupi kuliko VVU Na Yusuph Hassan. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya nchini inakadiriwa kiwango cha ushamiri wa…
11 Septemba 2024, 7:37 um
Zaidi ya wakulima 290 kunufaika na skimu ya umwagiliaji Dodoma
Zaidi ya wakulima 290 wanatarajia kunufaika kupitia Uwekezaji mkubwa katika shamba la wananchi CHABUMA lililopo Chinangali II Mkoani Dodoma. Na Mindi Joseph Zaidi ya wakulima 290 wanatarajia kunufaika kupitia uwekezaji mkubwa katika shamba la wananchi CHABUMA lililopo Chinangali II Mkoani…
11 Septemba 2024, 7:36 um
Miundombinu wezeshi yahitajika Mahitaji Maalumu kushiriki uchaguzi Serikali y…
Na Steven Noel. Watu wenye mahitaji maluum Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwapatia vifaa saidizi kwenye zoezi la upigaji kura Serikali ya Mtaa. Wamesema hayo kwenye ushiriki wa utoaji elimu ya mpiga kura. Afisa uchaguzi Wilayani Mpwapwa Bwn,…