Habari za Jumla
11 September 2024, 7:37 pm
Zaidi ya wakulima 290 kunufaika na skimu ya umwagiliaji Dodoma
Zaidi ya wakulima 290 wanatarajia kunufaika kupitia Uwekezaji mkubwa katika shamba la wananchi CHABUMA lililopo Chinangali II Mkoani Dodoma. Na Mindi Joseph Zaidi ya wakulima 290 wanatarajia kunufaika kupitia uwekezaji mkubwa katika shamba la wananchi CHABUMA lililopo Chinangali II Mkoani…
11 September 2024, 7:36 pm
Miundombinu wezeshi yahitajika Mahitaji Maalumu kushiriki uchaguzi Serikali y…
Na Steven Noel. Watu wenye mahitaji maluum Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwapatia vifaa saidizi kwenye zoezi la upigaji kura Serikali ya Mtaa. Wamesema hayo kwenye ushiriki wa utoaji elimu ya mpiga kura. Afisa uchaguzi Wilayani Mpwapwa Bwn,…
9 September 2024, 7:52 pm
Balozi wa shina afariki baada ya majaribio mawili ya kujiua
Na Nazael Mkude. Balozi wa Shina namba 10 anayejulikana kwa jina la John Mathayo Mkutani Mkazi wa Mtaa wa Miganga kata ya Mkonze jijini Dodoma amekutwa amejinyonga hadi kufa katika moja ya shamba la jirani na makazi yake mwishoni mwa…
9 September 2024, 7:51 pm
Green Samia kutoa elimu ya mazingira kwa vijana
Na Mariam Kasawa. Bwn. Reuben Chacha mhandisi wa mazingira kutoka mkoani Iringa anasema kijana ni muathirika namba moja katika mabadiliko ya tabianchi kutokana na shughuli wanazo fanya ambazo si rafiki kwa mazingira hivyo kupelekea mabadiliko ya tabianchi. Amesema kupitia vijana…
9 September 2024, 7:30 pm
Katavi: Mwenyekiti CHADEMA awataka wanachama wa chama hicho kutokubali kuchukul…
Mwenyekiti chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake .picha na John mwasomola “kutokana na matukio yanayojitokeza ya watu kutekwa na kuuawa wanatakiwa kujilinda na kutokubali kuchukuliwa“ Na John Mwasomola -Katavi Mwenyekiti wa chama cha…
September 9, 2024, 5:19 pm
wananchi wametakiwa kuacha Mila potofu juu ya ugonjwa wa fistula
Mshana amewataka wanawake wajawazito wanapopata uchungu wanashauriwa kufika hospitali mapema pasipo kutumia dawa za asili ili aweze kujifungua salama. Na Sebastin Mnakaya Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamekiwa kuacha tabia ya imani potofu ya kudhani ugonjwa wa fistula unawapata wanawake…
September 9, 2024, 3:49 pm
Auawa kwa kuchomwa moto na wasiojulikana Ushetu
“Tukio hili ni kwanza kutokea katika kijiji hiki na hatufahamu kabisa akina nani wamefanya tukio hili na hatumfahamu huyu mtu lakini kwa vile polisi wamefika uchunguzi utafanyika na itajulikana hii ni mara ya kwanza kwa tukio kama hili” Na Mwandishi…
5 September 2024, 8:03 pm
DC Mpwapwa atoa wito JKT kumlinda Rais dhidi ya uhalifu mtandoni
Kikosi 826 KJ wakati wa kuhitimisha mafunzo ya kijeshi Wilayani Mpwapwa DC Mpwapwa atoa wito JKT kumlinda Rais dhidi ya uhalifu mtandoni Na Steven Noel. Mkuu wa Wilaya ya Mheshimiwa Sophia Kizigo amewataka Wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga…
5 September 2024, 8:02 pm
Mgogoro wa ardhi Zanka mbioni kutatuliwa
Mbunge wa jimbo la bahi mh Kenneth Nolo mkoan Dodoma amehahidi kumaliza mgogoro wa ardhi unaowakabili wanachi wa kijij cha Zanka Mgogoro wa ardhi Zanka mbioni kutatuliwa Na Nazaeli Mkude Mbunge wa jimbo la Bahi Mhe, Kenneth Nolo Mkoan Dodoma…
5 September 2024, 8:02 pm
Katiba na Sheria yazindua kituo cha huduma kwa mteja
Kituo hicho kinalenga kupokea taarifa za rushwa malalamiko na hoja kutoka kwa wananchi. Katiba na Sheria yazindua kituo cha huduma kwa mteja Na Mindi Joseph . Wananchi Mkoani Dodoma wamepongeza kuzinduliwa kwa Kituo cha utoaji huduma kwa wateja kinacholenga…